Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ni zake lkn cha kushangaza wewe ndo unaumia. Hujishangai?Mwanamke asiye na akili sehemu zake za Siri zitaumia sana.
Amemkosea nini?Msamehe tu maisha yaendelee.
kuniomba nimshauri kumbe alikuwa na maamuzi yake mwenyewe. ndo hapo alinikosea. wewe najua unakitumia ingawa hakijakusaidia. si kwamba kitakusaidia sana... unabaki kama ulivyo mfano kama wewe toka tuanze tumia sisi wana JF umefaidika na nini?Huwezi jua labda nakitumia .
Umesema alichonifanyia huyu dada , nini hapo kimekuuma, angetumia pesa ili apate kazi am sure huu uzi usingekuwepo hapa.
Nautumia kupata raha mkuu. Ona sasa uchi wako unaumia wakati ni wa mwingine uliotumika.kuniomba nimshauri kumbe alikuwa na maamuzi yake mwenyewe. ndo hapo alinikosea. wewe najua unakitumia ingawa hakijakusaidia. si kwamba kitakusaidia sana... unabaki kama ulivyo mfano kama wewe toka tuanze tumia sisi wana JF umefaidika na nini?
Aliporudi jioni akanambia kuwa inaonekana HR anamtaka kimapenzi. ameomba namba yake na kamwambia ili ampitishe inabidi wakutane kujadiliana mambo flani sehemu tulivu. baadaye jamaa akaanza tuma texts za kuonesha anamtaka kimapenz. yule dada aliponambia nikamwambia tujenge mtego tumkamatishe jamaa Takukuru au Polisi. yule dada akakubali. ilikuwa jumatano na wamepanga waonane Jumamosi. baada ya hapo mi nikakata mawasiliano. akaja nipigia nikawa busy, akanipigia alhamis nikawasiliana naye juu juu tu sikuwa napenda sana ku mu entertain kimahusano na mawasiliano ya ukaribu.
Wachaaa enheeeiiiiKwani huyo alikuwa na ndoa? Kaamua kutumia mali ake kupata kazi, hajalazimishwa na mtu yoyote. Kama vile unamuonea wivu. Kamsaliti nani?
kuniomba nimshauri kumbe alikuwa na maamuzi yake mwenyewe. ndo hapo alinikosea. wewe najua unakitumia ingawa hakijakusaidia. si kwamba kitakusaidia sana... unabaki kama ulivyo mfano kama wewe toka tuanze tumia sisi wana JF umefaidika na nini?
johnny, kwanza mimi sikuwa na nia ya kumega sababu ngetaka ngeshamega. ila vigezo vilikosekana kwake. ambacho nimesikitika ni kitendo cha kuruhusu rushwa ya ngono na kunishirikisha mimi nafoka kuwa si sahihi kumbe mwenzangu anaenda saliti msimamo tuliokubaliana ana enda malizana na HR kimya kimya.. .😂😂😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩 nmeumia sana. ni bora angesema tu kuwa ameambiwa hivyo kaamua kutoa K apaate kazi wala nsingemlaumu, ila kwa sasa nawaza mimi nakemea rushwa ya ngono kumbe naye anaenda itoa........Rudia kusoma ulichoandika tena. Kiufupi ww ndiyo una makosa. Mlikubaliana nn na huyo mdada? Ukumbuke yeye anashida na ww ulipaswa uwe msaada sana kwake ila hukutaka mawasiliano yake. Ulitakiwa umwambie ww hautaji kuwa naye kimahusiano lkn ulitakiwa kuwa msaada kwake kimawazo na fedha. Kumsaidia mtu kifedha hata km humjui siyo dhambi
Inaonekana umeumia sana kuona HR amemega.
mkuu, amerudi WWE sasa, kawa MorrisonMlikubaliana nini na ww ulifanya nn?
Unakubaliana vizuri mkamatishe HR kwa TAKUKURU halafu unamtosa.
Kinachokuuma zaidi kuona HR amekula mzigo.
Sisifii alichofanya bali inashangaza huyu mwenzetu kuhusisha na siku ya wanawake duniani. Ninaamini dada wa watu angetumia pesa kupata kazi huu uzi usingekuwepo.Wachaaa enheeeiiii
Kwa hiyo kimfacho mtu chake? Huoni kwa style hiyo ataendelea kuwa mtumwa hata akiwa kwenye ndoa,manake siku akipandishwa daraja,atatoa tena kwa HR mwendo utakuwa huo huo.
Kweli dada yangu unaonekana type zile za "ukichopewa na Mungu kumyima,mwanaume dhambi".
johnny, kwanza mimi sikuwa na nia ya kumega sababu ngetaka ngeshamega. ila vigezo vilikosekana kwake. ambacho nimesikitika ni kitendo cha kuruhusu rushwa ya ngono na kunishirikisha mimi nafoka kuwa si sahihi kumbe mwenzangu anaenda saliti msimamo tuliokubaliana ana enda malizana na HR kimya kimya.. .😂😂😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩 nmeumia sana. ni bora angesema tu kuwa ameambiwa hivyo kaamua kutoa K apaate kazi wala nsingemlaumu, ila kwa sasa nawaza mimi nakemea rushwa ya ngono kumbe naye anaenda itoa........
naona kama jamaa umeumia ulikuwa unajifanya sitaki natakahuyu dada nilimuunganisha na watu wa Kampuni flani kikazi. alikuwa dada mzuri ila sikuwa na mpango naye kabisa. mara nyingi alikuwa anaonesha nia ya kutaka uhusiano. mimi niliona ni kujiongezea shida tu. hana kazi anaishi kwa walezi wake amemaliza chuo , sina mpango naye kimahusiano, sitaki kutumia nafasi aliyo nayo kimapenzi n.k
nlimuunganisha na watu wa kampuni flani toka kwa rafiki yangu mmoja,akaenda kwenye inteview. aliporusi jioni akanambia kuwa inaonekana HR anamtaka kimapenzi. ameomba namba yake na kamwambia ili ampitishe inabidi wakutane kujadiliana mambo flani sehemu tulivu. baadaye jamaa akaanza tuma texts za kuonesha anamtaka kimapenz. yule dada aliponambia nikamwambia tujenge mtego tumkamatishe jamaa Takukuru au Polisi. yule dada akakubali. ilikuwa jumatano na wamepanga waonane Jumamosi. baada ya hapo mi nikakata mawasiliano. akaja nipigia nikawa busy, akanipigia alhamis nikawasiliana naye juu juu tu sikuwa napenda sana ku mu entertain kimahusano na mawasiliano ya ukaribu. akiniita love,sweet na my dear. nakwepa.
jumamosi nikasubiri simu yake. sikusikia. mpaka jumatatu nikamtafuta akawa hapokei tena simu yupo busy sana. mwishowe nikaja fahamu ameshaajiriwa. nikaona manyoya tu.nikajua tayari ashaliwa. wakati mimi nilikuwa nampambania kukomesha tabia ya rushwa ya ngono yeye ndo akaona mimi bwege. yaani nilijisikia vibaya nikikumbuka jinsi nilivyokuwa naponda hiyo tabia na kutaka ikomesha. nlikuwa nimejipanga sana kutaka kumkamatisha jamaa ili tabia hiyo ikome. demu akaniangusha sana. akaonana naye jumamosi wakamalizana na akapewa kazi.
matokeo yake anakuja nitumia msg niachane naye nisimsumbue ameona sina mwelekeo wowote na maisha yake. hataki niendeee kumfuatilia mambo yake ya kazi. basi nikamwambia anisamehe tu namtakia maisha mema. wanawake sometimes hawaeleweki. siku kama hizi muwe pia mnaka na kuelimishana badala ya kukaa kufundishana namna ya kuasi ndoa zenu na kujenga ujeuri.
sikukata mawasiliano soma vizuri uelewe. ila nilikuwa si entertainn sana malove love.Mlikubaliana nn? Na kwann ulikata mawasiliano?
Shida km moto zinaunguza. Ulitegemea afanye nn wakati anashida km zote. Dada zetu wanapitia majaribu sana kwahiyo sisi wanaume tunatakiwa tuwe msaada sana kwao kimawazo na kifedha.
Siwezi kumshaa HR,wakati mtendwa yupo tayari na ndio maana naona ndio itakuwa tabia ya ke kumpa HR hata akipandishwa daraja lolote kazini,HR ataendelea kujilia papuchi,huoni kama ni utumwa.Sisifii alichofanya bali inashangaza huyu mwenzetu kuhusisha na siku ya wanawake duniani. Ninaamini dada wa watu angetumia pesa kupata kazi huu uzi usingekuwepo.
Sina shida na mtu kutumia mwili wake kupata chochote kama hajasaliti au kuumiza mtu mwingine.
Ukidhani kama nipo hivyo ni sawa pia, sipingani na wewe.
.
.
Mbona hujamshangaa HR kuomba rushwa ya ngono?
MIMI SINA TATIZO NAYE. YAANI ALINISHANGAZA TU. ILA KIUHALISIA SINA TATIZO NAYEMsamehe tu maisha yaendelee.
mkuu, amerudi WWE sasa, kawa Morrison
RVD amerudi TNA, Naona anabonge la demu, anapata uroda kila mahali
unatatizo naye yaani ulitaka akuabudu sana kisa kazi mpaka ukawa hupokei simu vijana mnakwama wapi??????????MIMI SINA TATIZO NAYE. YAANI ALINISHANGAZA TU. ILA KIUHALISIA SINA TATIZO NAYE