Siku ya Wanawake: Huyu Dada alichonifanyia niliacha kabisa kuwaamini wanawake. Wengi wanapenda kutumika hivi

Babu ww umeumia nn???? Mbona hii issue hata haikuhusu kabisaaa??? K yake kaitoa apate kazi ww unamia!!!! Hivi HR angetaka ahongwe pesa kidogo ili ampe ajira bado ungemshauri mumkamatishe kwa TAKUKURU??? maana umesema lengo lako ni kukomesha rushwa. Binafsi sina tatizo kabisaaa na mwanamke anaeamua kutumia papuchi yake binafsi ili apate anachotaka iwe ajira au pesa. Ww ukidakwa na traffic utataka kumpoza hata buku 5 ili asikuandikie faini ya buku 30 utatoa pesa maana unazo dada nae hivyohivyo anaweza toa pesa au papuchi kusolve shida zake
 
Mkuu, wewe unawafahamu wanawake vizuri. Yaani umeongea kitu cha kweli kabisa. Wanawake wana tabia ya kusifiana ubaya ili huyo aliyesifiwa akigeuza tu mgongo waanze msema. So hapo nadhani huyu demi anaona sawa kabisa kuliwa kwa style hiyo na kuona ni haki yake... Ila ni vile hana elimu angekuwa na elimu angejiuliza maswali kadhaa..
 
Sasa brooo unapigiwa simu mkamkamate mwizi unaremba tena mara hupokei,ndio ninii??eti hutaki kumuintatein wakati ww ndio umemwambia mfanye hivyo... endelea kuumia polepole..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…