Siku ya Watoto Duniani (Novemba 20): Unajivunia kitu gani kuhusu Mtoto wako?

Siku ya Watoto Duniani (Novemba 20): Unajivunia kitu gani kuhusu Mtoto wako?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1954 ili kukuza ustawi wa watoto duniani kote na kuongeza uelewa kuhusu haki zao. Pia ni kumbukumbu ya kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Mtoto (Convention on the Rights of the Child) mnamo 1989.

Ni fursa nzuri ya:
  1. Kujifunza kuhusu haki za watoto na jinsi ya kuzilinda.
  2. Kusherehekea watoto na mchango wao katika jamii.
  3. Kuhamasisha hatua za kulinda watoto dhidi ya unyanyasaji, ukatili, na ukosefu wa usawa.
  4. Kufanya shughuli maalum zinazowashirikisha watoto na kuwawezesha.
 
Sina cha kujivuna juu ya watoto wangu, ninavyo tu vya kumshkuru Mungu kwaajili yao.
Maana hayo ninayoweza jivunia wao leo, kesho wanaweza waka change wakawa watu wengine tofauti kabisaaaaaa ukabaki kushangaa.
Kikubwa ni dua tu Mungu azidi kuwalianda na kuwatunza.
I love my kids
 
Back
Top Bottom