Kuwa serious mwalimuπ mleta mada anahitaji faraja na wa kumpa ni ss.Usijali atafufuka.
Unavyonishangaa hivi nami hua nawashangaa ninyi mnapoumia kisa mpira. Yaani hua naona ni ujinga wa hali ya juu kuumia kisa mpiraKuna vitu vinashangaza kiukweli
Eti mtu anapata sonona kisa sijui Nani kafanya nini uko kwenye secreto
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Real life hajafa ila kwenye series ndo hivo tena. Kama wewe ni Mpenzi wa series unaweza tazama series ukajikuta umezama kabisa ukajiona nawe ni mmoja wa character au maisha ya kwenye series ndio Maisha halisi.Usijali atafufuka.
ππ..Nilikua nafuatilia series ya Walking Dead imeninogea sasa nimeanza episode ya kwanza ya season 7 hamu imeniisha asee.π
Kifo cha Glenn Rhee kimenihuzunisha mno yaani sitaki tena kuendelea na hii series. Glenn alikua mtu mzuri sana kwa kusaidia wenzie hakupaswa kufa kikatili namna hii.
View attachment 1885477
View attachment 1885478View attachment 1885480View attachment 1885481
Huko mbele anafufuka kweli tena.Kuwa serious mwalimu[emoji23] mleta mada anahitaji faraja na wa kumpa ni ss.
Hahahaaa njoo nikusimulieHizi pombe hizi....[emoji42]
Yaani I don't even know what are you guys discussing about....[emoji25]