ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna Jamaa yangu alihukumuwa miezi sita alikamatwa na bangi mwisho wa siku alikaa miezi Kama miwili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikueleza sababu za kutoka kwake?Kuna Jamaa yangu alihukumuwa miezi sita alikamatwa na bangi mwisho wa siku alikaa miezi Kama miwili tu
Acha utanii..??? hadi waliohukumiwa maisha...???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23]Huku Mozambique raha sana
Kila rais anapoingia madarakani wafungwa wote huachiwa huru
Hiyo miezi miwili ni miaka 12 ulizaKuna Jamaa yangu alihukumuwa miezi sita alikamatwa na bangi mwisho wa siku alikaa miezi Kama miwili tu
Hapana, siku inahesabiwa kama kifurushi chako cha masaa 24 kinavyohesabiwa.
ni kweli kabisaMiaka ya kifungo unagawa kwa tatu then unazidisha mara mbili... If umehukumiwa miaka 30 kwa kesi ya kabaka, itakuwa hv; (30 ÷3)×2= 20 years! Full stop, hakuna cha siku mbili kwa moja...
Hivi ukifungwa mahakam huwa inafatilia kama Unatumikia adhabu kweli?????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Halafu huku hata ukiua,ukitoa pesa isiyozidi hata tsh 1.5mil unatoka kiboss
Makosa mengine madogo kama wizi unatoka hata kwa tsh laki 1 tu
Kwa hiyo utaona kuwa wengi wa wafungwa ni wale wasiojiweza au ndugu zao wameamua iwe hivyo kutokana na kuchokwa na matendo yao ya kiharifu. Vinginevyo kinachoangaliwa ni pesa tu
Hakuna cha kujifanya wanasheria tunazungumzia tunachokifahamuIlikuwa zamani, sasa hivi ukikaa mahabusu miaka sita ukahukumiwa sita unaitumikia, ninyi mnaojifanya wanasheria mnapotosha sana clients wenu.
.
Sasa fanya kosa uone.
UnazungukaAlikueleza sababu za kutoka kwake?
Boss sijatoa kashfa naheshimu maoni yako.Hakuna cha kujifanya wanasheria tunazungumzia tunachokifahamu
Kama imebadilishwa ndio useme sio kutupiana kashfa
Kuna uvumi kama huu kuwa siku za mfungwa akiwa gerezani huwa zinahesabiwa usiku na mchana kama siku mbili tofauti!! Lakn ukweli ni kuwa siku hizi huhesabiwa kama kawaida yaan usiku na mchana inakuwa siku moja!!! Kwa hiyo mfungwa akihukumiwa kifungo cha miaka 30 atatumikia miaka thelathini kama ilivyo!! Kwa nn watu huzani kuwa siku huhesabiwa kuwa usiku na mchna ni siku mbili tofauti!?? Kwa mujibu wa sheria ya magereza sura namba 58 ukisoma kifungu cha 49 pamoja na mambo mengine kinaeleza kwamba mfungwa anayetumikia kifungo gerezani kwa kosa la jinai anaweza akapunguziwa 1/3 ya adhabu yake kutokana na kuonesha tabia njema akiwa anatumikia kifungo hicho!!! Kwa hiyo sasa punguzo hilo la 1/3 la adhabu yake humfanya mfungwa wa kosa la jinai asimalize siku alizoshitakiwa na watu kudhani kuwa siku hizo huhesabiwa kama usiku na mchana kuwa ni siku mbili tofauti!! (fair comment)
kipindi kile cha Lulu kuhukumiwa kwnd jela,nilipata kumsikia mkuu wa magereza akieleza kuhusu hili jambo baada ya kuhojiwa na muandishi,na akasema hiyo sheria ipo hata sasa(ya kusamehewa 1/3) na lengo hasa la huo msamaha ni kuwafanya wafungwe wawe na nidhamu,Yaani kama 1/3 yako ni miezi 4,basi kila ukifanya kosa ile 1/3 inapungua ,na inaweza kuisha kabisa kama utakuwa huna nidhamu/mkorofi,ukajikuta unakaa gerezani miezi ile ile uliyohukumiwaNakumbuka iyo kitu ilikuwaga miaka ya nyuma mpaka katika utawala wa awamu ya nne,ila ilivyoingia awamu ya tano mheshimiwa akaifutilia mbali hukumu iyo ya 1/3,kwani wengi wa wahalifu walikuwa wanaichekelea pale wanapohukumiwa,kwaiyo sasa ivi wanahesabu saa 24 ni sawa na siku moja tu