Acha kudanganya ukihukumiwa miaka 6 unakaa miaka 4, kila mfungwa huondolewa 1/3 ya kifungo, isipokuwa ukitoroka ukakamatwa unapewa namba yako kamili yaani miaka yote uliyohukumiwa.Ilikuwa zamani, sasa hivi ukikaa mahabusu miaka sita ukahukumiwa sita unaitumikia, ninyi mnaojifanya wanasheria mnapotosha sana clients wenu.
.
Sasa fanya kosa uone.
Sent using Jamii Forums mobile app