kwa hili la mbunge wa kuteuliwa linaweza kutenguliwa na kupangiwa Kazi nyingine. mfano mzuri kumbuka yule Posi alikuwa mhadhili Udm akateuliwa kuwa mbunge na Naibu waziri. lakini alitenguliwa ubunge na Naibu wazili na kupangiwa Kazi nyingine ya ubarozi huko Ujerumani.
Zipo vilevile,ila kutokana na kujiuzuru kwake ikabidi Rais ateue mbunge mwingine.Kwa hiyo nafasi 10 za Rais za uteuzi wa wabunge ziliongezeka au, na kama zimekuwa zikipungua mpaka sasa amebakiwa na ngapi?
Posi hakutenguliwa ubunge wake,ila yeye aliamua kujiuzuru.
Mbona yule aliyekuwa naibu waziri jina si mkumbuki, alibinism, alipewa ubalozi, akaandika barua ya kujiuzuru ubunge, hapo ishu ni kulazimishwa kujiuzuru ubunge unakula ubalozi kwisha,Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
TET = Taasisi ya Elimu TanzaniaMtoa hoja hebu tulia na kulisoma upya bandiko lako. Kuna sehemu umeandika TET na sehemu nyingine TIE. Je zote ni sahihi?
Kutengua hawezi, anachofanya ni kumwambia aandike barua ya kujiuzuru ubunge then anamteua nafas atakayokwa hili la mbunge wa kuteuliwa linaweza kutenguliwa na kupangiwa Kazi nyingine. mfano mzuri kumbuka yule Posi alikuwa mhadhili Udm akateuliwa kuwa mbunge na Naibu waziri. lakini alitenguliwa ubunge na Naibu wazili na kupangiwa Kazi nyingine ya ubarozi huko Ujerumani.
huyu hakuvuliwa ubunge, ila alijiuzuru.....Huyu hapa chini ni Dr. Abdalla Possi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa na Naibu Waziri, alivuliwa ubunge na Unaibu Waziri akateuliwa kuwa Balozi Ujerumani. Sikulaumu maana yawezekana ulikuwa hujui maana siku zote tunajifunza.
View attachment 927668
I'm sorry ya nini wakati umetoa ufafanuzi mzuri!TET = Taasisi ya Elimu Tanzania
TIE = Tanzania Institute of Education
Moja ni kiswahili nyingine ni kwa kiingereza, sorry.
Tunataka kujua alipopeleka kodi zetu 1.5tln kwanza mengine baadayeUzembe usioendana na kasi ya JPM wa Taassisi ya Elimu Tanzania (TET) unaelekea kumponza Waziri Wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako. TET ambayo iko chini ya Wiazara yake imekuwa mzigo na ni sikio la kufa amabalo halisikii dawa, tetesi zilizopo ni kwamba sasa TET inaenda kumngo'oa Waziri mwenyewe.
Baadhi ya uzembe wa TET:
1. TIE wameshindwa kutupatia vitabu vya shule ya Msingi, kila wakitoa tukianza kuvitumia mara wanakuja kuvikusanya kwenda kuvichoma mtoto, wanasema vilikosewa.Hii imeshatokea mara 3. Mabilioni kwa mabilioni yanateketea, JPM ameshtuka.
2. Hivi sasa hatuna kitabu hata kimoja cha mtaala mpya. Wanafunzi wetu wa darasa la Nnne wanaenda kufanya mtihani wa taifa bila kusoma vitabu vya mtaaala mpya.Hakuna anayejali.
3. Hata vitabu vya shule zenye mchepuo wa kiingereza vilivyokuwa vikitusaidia katika kuandaa notes hawataki kuviona mashuleni hadi wavipe ithibati. Hata hivyo wamegoma kuvipa vyeti vya ithibati miaka miwili sasa. Wameapa kutotoa kabisa ithibati kwa kitabu chochote cha private publisher hata kama kimekidhi vigezo (hii siri kanitonya jamaa wa TET ndani) sababu ni ugomvi uliopo kati ya TET na Publishers. sijui ni ugomvi gani huo bado natafuta. Baadhi ya publishers wamegundua hilo na wameamua kuprint bila ithibati maana miezi ya kuprint kwa soko la mwakani ilikuwa ni mwezi wa 9.
4. Jamaa wa ndani YA SYSTEM kanitonya kuwa ubabaishaji wa TIE umeshafka kwa SIMBA WA VITA YA UFISADI NA UZEMBE na muda wowote Joyce atatumbuliwa na kuondolewa ubunge wake kisha kuteuliwa kuwa balozi kwenye moja ya nchi za America ya Kaskazini. Profesa mmoja wa saikolojia ya elimu ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara fulani atapewa ubunge na uwaziri wa elimu. Muda ni mwalimu mzuri tusubiri.
Umenifungua macho sikujua kama hiyo nayo ina mwenzake anaitwa TEA - Tanzania Education Authority.TET = Taasisi ya Elimu Tanzania
TIE = Tanzania Institute of Education
Moja ni kiswahili nyingine ni kwa kiingereza, sorry.
Ilikuaje kwa Dr Posi mkuu.....Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Vip kuhusu Balozi Possi? Hebu tupe ufafanuzi ilikuwaje akatoka na kuwa Balozi?Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Possy hivi alikuwa diwani au mbunge?Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Si kwa serikali hii, rejea ubunge wa Dk Possi aliyepelekwa ubalozi Ujerumani...Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...
Kwa yule Ponsi ilikuwaje?Rais akishamteua ubunge binadamu yoyote Yule kwa mujibu wa katiba yetu na Alisha kula kiapo Hana Tena mamlaka ya kutengua maamuzi yake Kama madc Rc na wakurugenzi, hii inadhibitisha habari yako hii Ni Ufukunuku...