Wapi aliposema hivyo?Ufungwe kwa hizo porojo????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo mashindano kama ya Azam Sports Federation ni ya Bakhresa?
Kagame cup?NBC PL ya benki,VPL ya kampuni ya simu, huu ni upunguani wa mashabiki wa utopolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukimuattack kidogo tu analia na kukimbilia kufungua kesi kuwa ananyanyapaliwa....watu wanaruka nae tu [emoji1787]ZERUZERU ALIYEOKOLEWA NA UTAMBUZI WA MAZERUZERU BAADA YA KUNYOFOLEWA SANA VIUNGO NA WACHAWI.SASA AMEONEKANA ANAJARIBU KUBADILISHA KILA LILILO ZURI ILI ASIKIZWE.MPUUZI SANA HUYU.
Tukubali tu Yanga wapo vizuri msimu huu sio dhambiAnabeba mbele ya Nan?
Angalia uzito wa club anazokutana Nazo.
Yanga huu msimu ni km Wana Bahat sana ingawa nao Wana ubora mzuri sana .
Ila club alizokutana Nazo Sion km ni kipimo tosha kwake.
Timu yenye uafadhar huko shirikisho Kwa msimu huu ni pyramid pekee ,na hao ndio kipimo Cha yanga.
All in all akibeba ni mafanikio mazur sana kwake ila sio kutamba kwamba mpinzan wake asingeweza Fanya anayoyafanya ,hapa ni Bahat tu imemuangukia Hana wapinzan wenye nguvu kiivo.
Shirikisho ya msimu huu na ya misimu iliyopita Kuna utofaut mkubwa sana.
Kwa akili Yako kwenye hizo timu za shirikisho za msimu huu unaiona ni timu gan ingemzuia Simba kufika fainal?
Sasa why Yanga ashindwe?
Simba na Yanga Zina ubora unaokaribiana Kwa Kila kitu ingawa yanga Ina kikosi kipana kuliko Cha Simba ila ubora wako sawa tu.
Nilielewe nini wakati kila kitu kipo wazi. Wewe unaongoza humu kwa kutoelewa maswala ya mpira wa miguuSoma uelewe kwanza ndio uje kucomment
Kwanza hiyo para ya kwanza ahsante kwa kutambua hilo na pia ungetambua pia SIMBA SC ilifika nusu fainali ya michuano hiyo mwaka 1974 ambayo wewe mwenyewe umethibitisha kuwa ndio CAFCL ya sasa .Sawa
Shindano la kwanza lilikuwa linaitwa Afirican cup of champions club.
Hili ndio kwasasa ni sawa sawa na klabu bingwa kwahivi sasa, na timu zilizotakiwa kushiriki hii michuano ni zile tu zinazobeba ubingwa wa ligi kuu.
2) Africa cup winner's cup
Hili ndio ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa, timu ambazo zilizokuwa zinazishiri ni timu ambazo zimetwaa ubingwa wa kombe la FA kwenye mataifa yao. Kama ikitokea aliyebeba kombe la FA ndio huyo aliyebeba na ligi kuu basi aliyecheza nae fainali (runner up) ndio atakayefuzu kucheza hili kombe la African cup winner's cup
3) CAF cup
Haya ni mashindano yaliyoanzishwa na Mnigeria kama kwaajili ya timu zilizoshindwa kufuzu mashindano ya kimataifa ya CAF.
Timu ambazo zinashika nafasi ya pili, na zilizoshindwa kufuzu mashindano ya CAF ( African cup winner's cup na African cup of champions club)
CAF cup ilianzishwa mwaka 1992 na mwaka 2003 ndio ikawa mwisho wa mashindano hayo hivyo yalidumi kwa miaka 12 tu
HITIMISHO
Kwanini African cup winner's cup ndio ni sawasawa na shirikisho kwasasa?
Sababu ya kwanza ni kama nilivyoeleza juu mfumo wake upo sawasawa na ilivyo CAF confederation cup.
Sababu ya pili ni CAF super cup
CAF super cup ni shindano linalohusha mabingwa wa kombe la CAF interclub yaani kombe la shirikisho na kombe la mabingwa.
Katika kipindi hiko kabla ya kuanzishwa kwa CAF confederation cup, CAF super cup ilikuwa inakutanisha bingwa wa African cup of champions club VS bingwa wa African cup winner's cup.
Katika mwaka 1993 bingwa wa African cup winner's cup alikuwa ni Al Ahly na bingwa wa African cup of champions club alikuwa ni Zamalek. Hivyo wakakutana kwenye CAF super cup mwaka 1994 na bingwa akauchukua Zamalek wa CAF super cup.
Huo ndio ukweli wa mambo
View attachment 2599934
Tatizo hamtaki kukubali kuwa kuna timu zime improve nyie mmekariri majina tu ya timu. Nyie msimu uliopita mmeenyeshwa na akina Berkane wakati huyo Berkane msimu huu katolewa mapema tu Monastir. Ukisema kuwa nyie mlikutana na timu bora zaidi msimu uliyoisha, je imekuaje hizo timu bora za msimu uliopita zinaenyeshwa msimu huu?Anabeba mbele ya Nan?
Angalia uzito wa club anazokutana Nazo.
Yanga huu msimu ni km Wana Bahat sana ingawa nao Wana ubora mzuri sana .
Ila club alizokutana Nazo Sion km ni kipimo tosha kwake.
Timu yenye uafadhar huko shirikisho Kwa msimu huu ni pyramid pekee ,na hao ndio kipimo Cha yanga.
All in all akibeba ni mafanikio mazur sana kwake ila sio kutamba kwamba mpinzan wake asingeweza Fanya anayoyafanya ,hapa ni Bahat tu imemuangukia Hana wapinzan wenye nguvu kiivo.
Shirikisho ya msimu huu na ya misimu iliyopita Kuna utofaut mkubwa sana.
Kwa akili Yako kwenye hizo timu za shirikisho za msimu huu unaiona ni timu gan ingemzuia Simba kufika fainal?
Sasa why Yanga ashindwe?
Simba na Yanga Zina ubora unaokaribiana Kwa Kila kitu ingawa yanga Ina kikosi kipana kuliko Cha Simba ila ubora wako sawa tu.
Linasumbua sana, Jerry Murro aheshimiwa.Ukimuattack kidogo tu analia na kukimbilia kufungua kesi kuwa ananyanyapaliwa....watu wanaruka nae tu [emoji1787]
Hoja hapa ni moja tuUkitaka kuignore mafanikio ya nyuma kwasababu tu ya maboresho mbalimbali yanayofanyika katika mashindano mbalimbali basi ilipaswa ujue kuwa ligi kuu Tanzania bara ilianza 1997 hivyo toka ligi kuu ianze yanga wamebeba kombe mara 12 na simba mara 10 msije na stori eti mmebeba mara 28[emoji1787]View attachment 2600406View attachment 2600408View attachment 2600411
Unaelewa vema sema unajifyatua akili kutimiza maneno na maagano ya manaraHoja hapa ni moja tu
Ni kwamba CAF cup haikuwa ndio sawa na CAF confederation cup bali African cup winner's cup ndio iliyokuwa ni sawasawa na CAF confederation cup kwasasa. Simba kucheza nusu fainali ya Africa cup of champions mwaka 1974 hayo mashindano ni sawasawa na klabu bingwa kwasasa. Ila ya mwaka 1993 CAF cup haikuwa mashindano sawasawa na kombe la shirikisho hilo uelewe na ndio msingi wa hoja yangu na siyo majina kubadilishwa. Hayo FAT cup na Nyerere cup ndio kwasasa tunaita Azam Federation cup
Ili unielewe vyema naomba twende kwa kujibiana kwa mpangilio na kwa hoja kama kweli wewe mpira unaujua na unauelewa na unaufatilia. Naomba nikuulize unajua CAF super cup ni mashindanoni ya aina gani?
[emoji1787][emoji1787]kula chuma hiko.Ili unielewe vyema naomba twende kwa kujibiana kwa mpangilio na kwa hoja kama kweli wewe mpira unaujua na unauelewa na unaufatilia. Naomba nikuulize unajua CAF super cup ni mashindanoni ya aina gani?
Kombe la CAF Super Cup (pia linajulikana kama Kombe la African Super Cup au kwa sababu za ufadhili TotalEnergies CAF Super Cup) ni shindano la kila mwaka la shirika la soka la Afrika ambalo hushindaniwa kati ya washindi wa Ligi ya Mabingwa wa CAF na Kombe la Shirikisho la CAF. Shindano hili lilifanyika kwa mara ya kwanza mnamo 1993Ili unielewe vyema naomba twende kwa kujibiana kwa mpangilio na kwa hoja kama kweli wewe mpira unaujua na unauelewa na unaufatilia. Naomba nikuulize unajua CAF super cup ni mashindanoni ya aina gani?