Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAF Cup ndio shindano ambalo lilikuwa na hadhi ya Shirikisho, na hili lilikuwa linashirikisha timu zile ambazo zilishindwa ku qualify vigezo vya kushiriki African Cup of Champions Club ambayo ndio Club Bingwa ya sasa.
Anayekejeli nani?Kumbe na nalo lilikuwa kombe la looser mnalo kejeli sazi! Puuzi kabisa wahedd
Kile ni kitengo cha wapiga deal tuHii mada nilishawahi kuitolea ufafanuzi wa kina ila kuna watu kwa kuwa ukweli hauendani na wanachotaka watu waamini basi wanaendelea kupindisha. Yanga alishiriki hiyo CAF Cup mara mbili na mara zote alitolewa hatua ya kwanza, hilo hakuna anayesema.
Nadhani kitengo cha habari cha TFF kitoke usingizini kiwe kinatoa ufafanuzi kwenye mijadala hii ili kuepusha upotoshaji. Hizi taasisi za umma zinalala sana.
Mtu wa mpira hawezi kumfanya manara Kama reference asee!!, Manara anaishi kwakutumia mdomo.
Kikubwa ni kwamba hadi sasa ukweli umedhihiri kwamba Simba ashacheza final ya hiki kinachoitwa Confederation CupKuna uzi niliorodhesha timu zote za Tanzania zilizowahi kushiriki kwa miaka 10 ya hiyo CAF CUP na timu zote hizo zilikuwa zilizoshika nafasi ya pili katika ligi. Hizi taarifa zipo kwenye mtandao wa CAF wenyewe, hatupo karne ya 15 kwamba unaweza kupotosha tu na watu wakakuamini.
Kuna watu kwa kuwa wana sauti katika jamii wanadhani wanaweza kuongea lolote wanalojisikia.
Lakini Yanga kama taasisi ya mpira ndio iliyomuajiriMtu wa mpira hawezi kumfanya manara Kama reference asee!!, Manara anaishi kwakutumia mdomo.
[emoji23][emoji23]Ni kweli walikuwa wanacheza matumbo wazi na viatu wamekuja kuvijua miaka ya baadaye baada ya kutanguliwa na Simba.
Ilikuwa ni Club iliyokuwa ina operate kienyeji sana kwa miaka hiyo.
kichwa chako kisicho na akili ni mzigo kwa shingoNilijua tu yanga akitinga nusu lazima vyura waongee yote.
Uzur hata Simba ana nafas ya kutinga nusu fainal club bingwa.
Kuzima hizi kelele wanaume wa Simba kakazeni Tako huko uarabun .
Tukiwatoa wydad hawa vyura hawatakua na chakusema hata km watatinga nusu fainal.
Coz ukwel wanaujua mlima wa club bingwa na shirikisho ni vitu viwil tofaut.
Kama na wao wanajiona wanaweza basi wafike robo club bingwa km ilivyo Kwa Simba alafu ndio waje watambe hapa.
Vipi yanga ingekua club bingwa na ikashinda away si wangekunya mji mzima.
Kipimo Cha yanga ya Sasa sio shirikisho Bali ni club bingwa huko ndio Kuna wanaume wa shoka ,ukitoboa huko unaona kabisa umeoiga kazi .
Fikiria umezungukwa na wydad ,mamelod ,ahly ,esperance, hicho ndio kipimo ila sio hao river ,sijui marumo,na takataka zingine .
Tusaidie mashindano yote matatu washiriki wake walikuwa ni akina nani kwa vigezo vipi na waliishia wapi kwa pamoja?Sababu ya kusema hivyo ni ipi?
Toa sababu, mimi nimetoa ufafanuzi kwanini African Cup Winners’ Cup ndio ilikuwa na hadhi ya shirikisho. Shirikisho ni kwa vilabu vilivyoshinda kombe la shirikisho la nchini mwao na ndio sawa sawa na ilivyo sasa. African Cup Winners’ Cup ndio mashindano yaliyokutanisha mabingwa wa mashirikisho kwa kipindi hicho.
SawaTusaidie mashindano yote matatu washiriki wake walikuwa ni akina nani kwa vigezo vipi na waliishia wapi kwa pamoja?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Elimu ni nini?Shida ni kwamba Tanzania TUMEWAPA watu WAJINGA ndio watuongoze, WATUTAWALE,
Tunatawaliwa na WAJINGA selikalini.
Bungeni.
VIONGOZI wa MICHEZO nk.
MANARA NI MJINGA.
HANA ELIMU HATA KIDOGO
Huyu dogo ni mshabiki wa Simba nini ?...au kaamua tu kuweka mambo sawa ?NAOMBA NIKUKUMBUSHE KITU MY BROTHER HAJI MANARA KUHUSU SIMBA 1993.
Jana nilipata wasaa wa kuitazama clip yako kuhusu fainali ya Simba 1993 dhidi ya Stellah Abdijan.
Umesema nchi za Kiarabu hazikushiriki? Simba alicheza robo na USM El Harrach ya Algeria (Taifa la Kiarabu)
Okay naenda kwa hatua na utasahihisha pale palipokosewa na utaweka vema nilipopatia! 1993 mwaka tajwa hapo CAF alikuwa na michuano mitatu ya klabu ambayo yote ilikuwa chini yake na maelekezo yote yalitoka Mitaa ya 6th of October, Cairo yalipo makao makuu ya CAF.
Mwaka tajwa kulikuwa na michuano ifuatayo! African Cup of Champions Clubs, kulikuwa na CAF Cup na African Cup Winners’ Cup! Michuano yote mitatu ni ya CAF, ambao Champions Clubs ni timu bingwa kila nchi wanachama, ubingwa alibeba Zamalek ikiwa ni taji lake la tatu na linahesabiwa, timu shiriki zilikuwa 45 na zilipigwa mechi 73 karibia.
1993 Winners’ Cup hii ilikuwa michuano ya timu zilizobeba mataji ya FA kwenye nchi husika tu! zilipigwa mechi 72 ambapo bingwa alikuwa ni Al Ahly ya Misri walikipiga na African Sports ya Cameroon bila shaka, ni michuano ambayo ilikuwa chini ya CAF.
Halafu kuna CAF CUP unaweza kuliita Kombe la Shirikisho kwa Kiswahili! CAF ni shirikisho na kombe ndio lao, mechi zilipigwa 64 hapa!Ndio maana ya CAF CUP ya 1993! Hapa fainali alicheza Mfalme wa Nyika SIMBA YA DAR ES SALAAM dhidi ya Stella Adjame ya Ivory Coast, hii ilikuwa inahusisha Washindi wa pili kwa kila ligi kwenye nchi husika pasi na shaka.
Haji unasema Simba hakucheza fainali ya kombe la Shirikisho sasa nini maana ya CAF CUP kwa Kiswahili? Ama tuseme TFF CUP ama Azam Sports Federation Cup si ndio Kombe hili la Shirikisho ambalo Yanga ni bingwa Mtetezi?
Nimeona hoja ya kutajwa kwa Tajiri mkubwa wa Nigeria wakati huo MOSHOOD OLAWALE ABIOLA kuwa ndie aliyeweka mzigo kwa ajili ya michuano hii, je kuna tatizo gani kwa Mdhamini kupatikana na wengine humpa naming rights za michuano? Hii ni kawaida sana in business
Tumesahau kuwa kuna Azam SPORTS FEDERATION CUP (Tajiri Said Salim Bakhresa) tuliwahi kuwa na BARCLAYS PREMIER LEAGUE, CARLING CUP, MTN CUP, NBC PREMIER LEAGUE, zote hizo ni walioweka mzigo wanaweka na majina yao!
I stand to be corrected.View attachment 2599233
Performance in CAF competitions
The highest success that Simba achieved was reaching the final of the CAF Cup in 1993, where they lost to Stella Club of Côte d'Ivoire. It was the highest continental achievement by a Tanzanian team to date. In 2003 Simba beat the then-reigning champions Zamalek of Egypt in the CAF Champions League second round of qualifiers to qualify to the group stages, after having beat Santos of South Africa in the first round.
CAF Champions League: 11 appearances
2002 – First Round
2003 – Group stage (Top 8)
2004 – Preliminary Round
2005 – First Round
2008 – First Round
2011 – Special play-off for Group stage
2013 – Preliminary Round
2018–19 – Quarter-finals
2019–20 – Preliminary Round
2020–21 – Quarter-finals
2021–22 – Second Round
African Cup of Champions Clubs: 9 appearances
1974 – Semi-finals
1976 – Second Round
1977 – Second Round
1978 – Second Round
1979 – Second Round
1980 – Second Round
1981 – First Round
1994 – Quarter-Finals
1995 – Second Round
CAF Confederation Cup: 6 appearances
2007 – Preliminary Round
2010 – Second Round
2011 – Play-off
2012 – Second Round
2018 – First Round
2021–22 – Quarter-finals
CAF Cup: 2 appearances
1993 – Finalist
1997 – First Round
CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances
1985 – Second Round
1996 – Second Round
2001 – Second Round
Source: wikipedia
Uzi ufungwe sasa. Safi sana mkuuSawa
Shindano la kwanza lilikuwa linaitwa Afirican cup of champions club.
Hili ndio kwasasa ni sawa sawa na klabu bingwa kwahivi sasa, na timu zilizotakiwa kushiriki hii michuano ni zile tu zinazobeba ubingwa wa ligi kuu.
2) Africa cup winner's cup
Hili ndio ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa, timu ambazo zilizokuwa zinazishiri ni timu ambazo zimetwaa ubingwa wa kombe la FA kwenye mataifa yao. Kama ikitokea aliyebeba kombe la FA ndio huyo aliyebeba na ligi kuu basi aliyecheza nae fainali (runner up) ndio atakayefuzu kucheza hili kombe la African cup winner's cup
3) CAF cup
Haya ni mashindano yaliyoanzishwa na Mnigeria kama kwaajili ya timu zilizoshindwa kufuzu mashindano ya kimataifa ya CAF.
Timu ambazo zinashika nafasi ya pili, na zilizoshindwa kufuzu mashindano ya CAF ( African cup winner's cup na African cup of champions club)
CAF cup ilianzishwa mwaka 1992 na mwaka 2003 ndio ikawa mwisho wa mashindano hayo hivyo yalidumi kwa miaka 12 tu
HITIMISHO
Kwanini African cup winner's cup ndio ni sawasawa na shirikisho kwasasa?
Sababu ya kwanza ni kama nilivyoeleza juu mfumo wake upo sawasawa na ilivyo CAF confederation cup.
Sababu ya pili ni CAF super cup
CAF super cup ni shindano linalohusha mabingwa wa kombe la CAF interclub yaani kombe la shirikisho na kombe la mabingwa.
Katika kipindi hiko kabla ya kuanzishwa kwa CAF confederation cup, CAF super cup ilikuwa inakutanisha bingwa wa African cup of champions club VS bingwa wa African cup winner's cup.
Katika mwaka 1993 bingwa wa African cup winner's cup alikuwa ni Al Ahly na bingwa wa African cup of champions club alikuwa ni Zamalek. Hivyo wakakutana kwenye CAF super cup mwaka 1994 na bingwa akauchukua Zamalek wa CAF super cup.
Huo ndio ukweli wa mambo
View attachment 2599934
Ufungwe kwa hizo porojo????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi ufungwe sasa. Safi sana mkuu
Anabeba mbele ya Nan?Yanga akibeba kombe je?
Kwahiyo na wewe unajiona una akili Kwa huu uharo wako.kichwa chako kisicho na akili ni mzigo kwa shingo