Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya

Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya

Ukiona hata taarifa inapatikana kwa kuungaunga hivyo ujue hakuna kitu hapo.
 
N uzuri ununio anayokaa yeye ni maeneo ya kondo Yani uswahilini mwanzo mwisho

Hapo ndipo nilipohitimisha kuwa huyu mzee ana matatizo ya akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nasikia kahamishiwa ununio kutoka kule masaki alipopangishiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo ndipo nilipohitimisha kuwa huyu mzee ana matatizo ya akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nasikia kahamishiwa ununio kutoka kule masaki alipopangishiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chombo ya mzee Tozi wa bandari hiyo
 
Hii taka taka inataka ionekane kama ndiyo Yanga kuliko Yanga yenyewe baada ya wenye Yanga yao kumgutukia kuwa hapo yupo kiajira tu lakini moyoni bado yuko Simba.
1658543882520.jpg
1680618357393.jpg
1660262109234.jpg
 
CAF Cup ndio shindano ambalo lilikuwa na hadhi ya Shirikisho, na hili lilikuwa linashirikisha timu zile ambazo zilishindwa ku qualify vigezo vya kushiriki African Cup of Champions Club ambayo ndio Club Bingwa ya sasa.
Sababu ya kusema hivyo ni ipi?
Toa sababu, mimi nimetoa ufafanuzi kwanini African Cup Winners’ Cup ndio ilikuwa na hadhi ya shirikisho. Shirikisho ni kwa vilabu vilivyoshinda kombe la shirikisho la nchini mwao na ndio sawa sawa na ilivyo sasa. African Cup Winners’ Cup ndio mashindano yaliyokutanisha mabingwa wa mashirikisho kwa kipindi hicho.
 
Sababu ya kusema hivyo ni ipi?
Toa sababu, mimi nimetoa ufafanuzi kwanini African Cup Winners’ Cup ndio ilikuwa na hadhi ya shirikisho. Shirikisho ni kwa vilabu vilivyoshinda kombe la shirikisho la nchini mwao na ndio sawa sawa na ilivyo sasa. African Cup Winners’ Cup ndio mashindano yaliyokutanisha mabingwa wa mashirikisho kwa kipindi hicho.
Mbona nimeandika hapo sababu ya timu kushiriki hayo mashindano ni pamoja na kukosa vigezo vya kushiriki African Champions Club?
 
Kama ni ishu za muundo mbona nyinyi mkikurupushwa saa hizi hapa mtaje makombe mliyobeba mnataja mpaka yale ya kabla ya uhuru ambayo mlikuwa mnacheza gongowazi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tukiwaambia hamna akili mnanuna.
Kwa hiyo sasa wanaongelea muundo? Viumbe wa ajabu sana hawa....
 
Manara hata kupiga dana dana hajui, achilia mbali uchambuzi wa soka.
 
Mbona nimeandika hapo sababu ya timu kushiriki hayo mashindano ni pamoja na kukosa vigezo vya kushiriki African Champions Club?
Kwahiyo wanaoshiriki African cup winner's cup huwa wana vigezo vya kushiriko African champions club? Mbona umeweka sababu isiyo na mashiko.
 
Kwahiyo wanaoshiriki African cup winner's cup huwa wana vigezo vya kushiriko African champions club? Mbona umeweka sababu isiyo na mashiko.
Ni kwasababu umeongeza maneno ambayo mimi sijayaandika.

Hakuna sehemu nimeandika African cup winners
 
Sababu ya kusema hivyo ni ipi?
Toa sababu, mimi nimetoa ufafanuzi kwanini African Cup Winners’ Cup ndio ilikuwa na hadhi ya shirikisho. Shirikisho ni kwa vilabu vilivyoshinda kombe la shirikisho la nchini mwao na ndio sawa sawa na ilivyo sasa. African Cup Winners’ Cup ndio mashindano yaliyokutanisha mabingwa wa mashirikisho kwa kipindi hicho.
Kwahiyo kwa sasa hivi anayeshika nafasi ya pili ktk ligi anashiriki shindano gani????
 
Yaani wanashangaza sana dah.....ni kuwahurumia tu
 
NAOMBA NIKUKUMBUSHE KITU MY BROTHER HAJI MANARA KUHUSU SIMBA 1993.

Jana nilipata wasaa wa kuitazama clip yako kuhusu fainali ya Simba 1993 dhidi ya Stellah Abdijan.

Umesema nchi za Kiarabu hazikushiriki? Simba alicheza robo na USM El Harrach ya Algeria (Taifa la Kiarabu)

Okay naenda kwa hatua na utasahihisha pale palipokosewa na utaweka vema nilipopatia! 1993 mwaka tajwa hapo CAF alikuwa na michuano mitatu ya klabu ambayo yote ilikuwa chini yake na maelekezo yote yalitoka Mitaa ya 6th of October, Cairo yalipo makao makuu ya CAF.

Mwaka tajwa kulikuwa na michuano ifuatayo! African Cup of Champions Clubs, kulikuwa na CAF Cup na African Cup Winners’ Cup! Michuano yote mitatu ni ya CAF, ambao Champions Clubs ni timu bingwa kila nchi wanachama, ubingwa alibeba Zamalek ikiwa ni taji lake la tatu na linahesabiwa, timu shiriki zilikuwa 45 na zilipigwa mechi 73 karibia.

1993 Winners’ Cup hii ilikuwa michuano ya timu zilizobeba mataji ya FA kwenye nchi husika tu! zilipigwa mechi 72 ambapo bingwa alikuwa ni Al Ahly ya Misri walikipiga na African Sports ya Cameroon bila shaka, ni michuano ambayo ilikuwa chini ya CAF.

Halafu kuna CAF CUP unaweza kuliita Kombe la Shirikisho kwa Kiswahili! CAF ni shirikisho na kombe ndio lao, mechi zilipigwa 64 hapa!Ndio maana ya CAF CUP ya 1993! Hapa fainali alicheza Mfalme wa Nyika SIMBA YA DAR ES SALAAM dhidi ya Stella Adjame ya Ivory Coast, hii ilikuwa inahusisha Washindi wa pili kwa kila ligi kwenye nchi husika pasi na shaka.

Haji unasema Simba hakucheza fainali ya kombe la Shirikisho sasa nini maana ya CAF CUP kwa Kiswahili? Ama tuseme TFF CUP ama Azam Sports Federation Cup si ndio Kombe hili la Shirikisho ambalo Yanga ni bingwa Mtetezi?

Nimeona hoja ya kutajwa kwa Tajiri mkubwa wa Nigeria wakati huo MOSHOOD OLAWALE ABIOLA kuwa ndie aliyeweka mzigo kwa ajili ya michuano hii, je kuna tatizo gani kwa Mdhamini kupatikana na wengine humpa naming rights za michuano? Hii ni kawaida sana in business

Tumesahau kuwa kuna Azam SPORTS FEDERATION CUP (Tajiri Said Salim Bakhresa) tuliwahi kuwa na BARCLAYS PREMIER LEAGUE, CARLING CUP, MTN CUP, NBC PREMIER LEAGUE, zote hizo ni walioweka mzigo wanaweka na majina yao!

I stand to be corrected.View attachment 2599233



Performance in CAF competitions

The highest success that Simba achieved was reaching the final of the CAF Cup in 1993, where they lost to Stella Club of Côte d'Ivoire. It was the highest continental achievement by a Tanzanian team to date. In 2003 Simba beat the then-reigning champions Zamalek of Egypt in the CAF Champions League second round of qualifiers to qualify to the group stages, after having beat Santos of South Africa in the first round.

CAF Champions League: 11 appearances

2002 – First Round

2003 – Group stage (Top 8)

2004 – Preliminary Round

2005 – First Round

2008 – First Round

2011 – Special play-off for Group stage

2013 – Preliminary Round

2018–19 – Quarter-finals

2019–20 – Preliminary Round

2020–21 – Quarter-finals

2021–22 – Second Round

African Cup of Champions Clubs: 9 appearances

1974 – Semi-finals

1976 – Second Round

1977 – Second Round

1978 – Second Round

1979 – Second Round

1980 – Second Round

1981 – First Round

1994 – Quarter-Finals

1995 – Second Round

CAF Confederation Cup: 6 appearances

2007 – Preliminary Round

2010 – Second Round

2011 – Play-off

2012 – Second Round

2018 – First Round

2021–22 – Quarter-finals

CAF Cup: 2 appearances

1993 – Finalist

1997 – First Round

CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances

1985 – Second Round

1996 – Second Round

2001 – Second Round



Source: wikipedia
Source: Wikipedia

Wikipedia hii hii inayoweza kueditiwa na mtu yoyote au siku hizi ni UNEDITABLE?
 
Kwahiyo kwa sasa hivi anayeshika nafasi ya pili ktk ligi anashiriki shindano gani????
Anayeshika nafasi ya pili anaweza akashiriki michuano ya CAF au asishiriki kabisa
Atashiri michuano endapo
1) association yao kama ina point ya kufanya waingize timu nne kwenye michuano ya CAF basi atashiriki klabu bingwa Africa.
2) kama association yao haina point za kuingiza timu nne bali ni timu mbili tu, lakini bingwa wa ligi kuu ndio huyo huyo kabeba kombe lao la FA, basi mshindi wa pili kwenye ligi kuu atashiriki kombe la CAF confederation cup lakini hili inategemea na kanuni za association hisika maana kuna association zingine huwa wanachukua runner up wa FA ndiye atayewakilisha michuano ya CAF confederation cup endapo bingwa wa ligi kuu kabeba na ubingwa wa FA cup.

Hatoshiriki endapo association inaingiza timu mbili tu, halafu bingwa wa FA cup ni tofaut na aliyebeba ubingwa wa ligi kuu. Na hiyo timu iliyoshika nafasi ya pili ameshindwa kubeba kombe la FA.
 
Nilijua tu yanga akitinga nusu lazima vyura waongee yote.
Uzur hata Simba ana nafas ya kutinga nusu fainal club bingwa.

Kuzima hizi kelele wanaume wa Simba kakazeni Tako huko uarabun .
Tukiwatoa wydad hawa vyura hawatakua na chakusema hata km watatinga nusu fainal.
Coz ukwel wanaujua mlima wa club bingwa na shirikisho ni vitu viwil tofaut.
Kama na wao wanajiona wanaweza basi wafike robo club bingwa km ilivyo Kwa Simba alafu ndio waje watambe hapa.
Vipi yanga ingekua club bingwa na ikashinda away si wangekunya mji mzima.
Kipimo Cha yanga ya Sasa sio shirikisho Bali ni club bingwa huko ndio Kuna wanaume wa shoka ,ukitoboa huko unaona kabisa umeoiga kazi .
Fikiria umezungukwa na wydad ,mamelod ,ahly ,esperance, hicho ndio kipimo ila sio hao river ,sijui marumo,na takataka zingine .
 
Nilijua tu yanga akitinga nusu lazima vyura waongee yote.
Uzur hata Simba ana nafas ya kutinga nusu fainal club bingwa.

Kuzima hizi kelele wanaume wa Simba kakazeni Tako huko uarabun .
Tukiwatoa wydad hawa vyura hawatakua na chakusema hata km watatinga nusu fainal.
Coz ukwel wanaujua mlima wa club bingwa na shirikisho ni vitu viwil tofaut.
Kama na wao wanajiona wanaweza basi wafike robo club bingwa km ilivyo Kwa Simba alafu ndio waje watambe hapa.
Vipi yanga ingekua club bingwa na ikashinda away si wangekunya mji mzima.
Kipimo Cha yanga ya Sasa sio shirikisho Bali ni club bingwa huko ndio Kuna wanaume wa shoka ,ukitoboa huko unaona kabisa umeoiga kazi .
Fikiria umezungukwa na wydad ,mamelod ,ahly ,esperance, hicho ndio kipimo ila sio hao river ,sijui marumo,na takataka zingine .
Yanga akibeba kombe je?
 
Back
Top Bottom