Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya

Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya

Kuna jamaa aliwah kuniambia kushabikia soka la Bongo lazima kidogo kichwani ziwe zimechepuka... Naona kama Kuna ukweli fulani
 
Kuna jamaa aliwah kuniambia kushabikia soka la Bongo lazima kidogo kichwani ziwe zimechepuka... Naona kama Kuna ukweli fulani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]real hasa ukiwa unashabikia yanga
 
Kuna jamaa aliwah kuniambia kushabikia soka la Bongo lazima kidogo kichwani ziwe zimechepuka... Naona kama Kuna ukweli fulani
Najiuliza kinacho tafutwa hapa ni nini maana kama Simba walifika au hawakufika ina impact gani kwa leo? kwanini wasi ingie fainali sasa hivi au wabebe kombe kabisa
 
Kombe la CAF Super Cup (pia linajulikana kama Kombe la African Super Cup au kwa sababu za ufadhili TotalEnergies CAF Super Cup) ni shindano la kila mwaka la shirika la soka la Afrika ambalo hushindaniwa kati ya washindi wa Ligi ya Mabingwa wa CAF na Kombe la Shirikisho la CAF. Shindano hili lilifanyika kwa mara ya kwanza mnamo 1993


Nimekutafiria kabisa hapo sasa usije ukachanganya mambo[emoji1787][emoji1787]

Sawa ili iwe CAF cup ni sawasawa na shirikisho naomba nipe reference inayoonesha bingwa wa CAF cup mwaka 1993 ameshiriki kucheza Caf super cup kwaajili ya ufunguzi wa mashindano ya CAF ya msimu wa mwaka 1994
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
real hasa ukiwa unashabikia yanga

Sawa ili iwe CAF cup ni sawasawa na shirikisho naomba nipe reference inayoonesha bingwa wa CAF cup mwaka 1993 ameshiriki kucheza Caf super cup kwaajili ya ufunguzi wa mashindano ya CAF ya msimu wa mwaka 1994
Kweli kabisa... Ila njaa mbaya sana
 
Hapo hapo kwenye hiyo source yako naomba nenda hadi kwenye History halafu soma wamesemaje hapo awali kabla ya confederation cup ni bingwa wa makombe gani walikuwa wanashiriki?
Nafikiri bado hujaelewa hoja ya msingi.....

Soma tena post uifahamu vema ,
 
Nafikiri bado hujaelewa hoja ya msingi.....

Soma tena post uifahamu vema ,
Mimi nilichokiongea ni Caf cup sio sawasawa na shirikisho kwasasa.bali kilicho sawasawa na kombe la shirikisho n Africa cup winners cup lakini wewe Umekuja kunibishia, sasa ili CAF cup iwe sawasawa na shirikisho basi nioneshe hapo kwenye source yako mshiriki wa CAF cup akishiriki CAF super cup
 
Mimi nilichokiongea ni Caf cup sio sawasawa na shirikisho kwasasa.bali kilicho sawasawa na kombe la shirikisho n Africa cup winners cup lakini wewe Umekuja kunibishia, sasa ili CAF cup iwe sawasawa na shirikisho basi nioneshe hapo kwenye source yako mshiriki wa CAF cup akishiriki CAF super cup
Ulichokiongea ndicho kinachoongelewa katka post husika????
 
Ulichokiongea ndicho kinachoongelewa katka post husika????
Embu soma haya maelezo yako kwenye uzi wako.

"Halafu kuna CAF CUP unaweza kuliita Kombe la Shirikisho kwa Kiswahili! CAF ni shirikisho na kombe ndio lao, mechi zilipigwa 64 hapa!Ndio maana ya CAF CUP ya 1993! Hapa fainali alicheza Mfalme wa Nyika SIMBA YA DAR ES SALAAM dhidi ya Stella Adjame ya Ivory Coast, hii ilikuwa inahusisha Washindi wa pili kwa kila ligi kwenye nchi husika pasi na shaka."

Narudia tena kukuelewesha CAF cup sio sawasawa na CAF confederation cup naona unageuza geuza mambo umeyaandika mwenyewe saivi unaniuliza mimi kama kipo kwenye post
 
Embu soma haya maelezo yako kwenye uzi wako.

"Halafu kuna CAF CUP unaweza kuliita Kombe la Shirikisho kwa Kiswahili! CAF ni shirikisho na kombe ndio lao, mechi zilipigwa 64 hapa!Ndio maana ya CAF CUP ya 1993! Hapa fainali alicheza Mfalme wa Nyika SIMBA YA DAR ES SALAAM dhidi ya Stella Adjame ya Ivory Coast, hii ilikuwa inahusisha Washindi wa pili kwa kila ligi kwenye nchi husika pasi na shaka."

Narudia tena kukuelewesha CAF cup sio sawasawa na CAF confederation cup naona unageuza geuza mambo umeyaandika mwenyewe saivi unaniuliza mimi kama kipo kwenye post
Kwani wewe kinachokuuma simba kucheza Fainali ya caf cup mwaka 1993 au ni nini?
 
Huyu jamaa ni moja kati ya wanaobwabwaja tu bila content kichwani. Nadhani ni tumbo limeponza zaidi kichwa chake
 
Back
Top Bottom