Siku zote nilikuwa najua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani

Siku zote nilikuwa najua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
20211215_012811.jpg
20211215_012814.jpg

Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
20211215_012925.jpg
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514

Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
 
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
Unataka tupindue serikali ili ujue tupo au unaleta unafiki tu ili upate "LIKE" tu ?
 
Haiwezekani nyote mkasusia lazima muijuwe mikakati ya kuwepo msikilizaji ili myapate yaliyo ndani. ACT wapo sawa kabisa.
 
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
Wanasiasa wengi, isipokuwa Magufuli na Nyerere, huangalia masilahi yao binafsi na sio wananchi kama wanavyotuaminisha.
 
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
Mnahitaji upinzani wewe na nani?

Jiwakilishe wewe mwenyewe na tumbo lako usiniwakilishe Mimi.


Mimi nahitaki katiba Mpya na tume huru itakayokomesha vitendo vibaya vya wizi wa kura na ukataji Watu mapanga wakati wa kurudisha form za kugombea na mbinu myingine nyingi ovu juu ya kura yangu
 
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
Acha kulialia njo CDM tuongeze nguvu
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Hivi kumbe wapo wasio yajua matawi ya ccm, IPO ccm A, B, C... Z,. Kwa nyoongeza tu tawi z ni lile la mr. slow&co, 🤔.
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Huyo ccm B
 
Back
Top Bottom