Siku zote nilikuwa najua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani

Siku zote nilikuwa najua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani

maneno yako unavyoonge kama msamaria mwema kumbe ndio yaleyale ya kina polepole,

watanzania acheni unafki na msimamie mnachokiamini hakika mtafika mbali sana

Mimi sio msamaria The Knowledge Seeker wala usipate taabu kunifananishia huko

Na mimi pia sio mnafki kama wewe unayetaka niwaze kama unavyotaka. Mimi nasimamia ninachokijua na kukiamini

Sijui unanielewa!?
 
Mama ulitaka tuvue nguo tutenbee barabarani uchi au tuwe kama yule Mwamba Hamza ndipo ujue tupo????

Tuanze na Wewe binafsi.... Umefanya nini zaidi ya hizi posts zako hapa jf!?
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti[emoji848]

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
It has been known long before jamaa ni pandikizi
 
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.

Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi

Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache

Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli

Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania

Hebu toa pendekezo lako, ungependa chadema wafanye nini kwenye hili suala? Wapo huku bila shaka pendekezo au ushauri wako utawafungua macho na wataufanyia kazi...
 
Njoo nikulipie ada ya uanachama. Ukifanya hivyo utayajua majukumu yangu ndani ya Chama.

Majukumu yako kwenye chama yanatakiwa kutambulika na matokeo ya kazi yako kwenye hicho chama, tukiongelea role profile yako bila matokeo yanayotegemewa ni bure
 
Hebu toa pendekezo lako, ungependa chadema wafanye nini kwenye hili suala? Wapo huku bila shaka pendekezo au ushauri wako utawafungua macho na wataufanyia kazi...

Wanasikiaga basi!? Labda na wewe usome ukawaambie

 
Majukumu yako kwenye chama yanatakiwa kutambulika na matokeo ya kazi yako kwenye hicho chama, tukiongelea role profile yako bila matokeo yanayotegemewa ni bure
Uhuru wa Tanganyika tuliupata 1961. Njoo tuungane pamoja kudai Uhuru wa Tanzania unaoshikiliwa na mkoloni mweusi CCM.
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti[emoji848]

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Zitto ni ndumilakuwili
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
sio waaminifu mngekaa huko mngejua mengi.kigoma wengi wao ni wasaliti na pia wanapenda sana madaraka.sifa nyingine wakipata madaraka si waaminifu bali hujijali wenyewe kuliko watu wengine.ni watu ambao ni double standard na wanaongoza kwa fitina na kupenda mabifu na ni wabaguzi.
 
Salaam Wakuu

Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.

Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.

Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔

Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.

Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.

CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Mnafiki tu.
 
waliosusa wote akili zero.hawana concrete plan,yaani uwezo wa akili zao hapo ndo mwisho ,kususa!! ha ha ha .mtu wa namna hiyo siku mkimpq dhamana ya urais,anaweza kuja kususa kuingia ikulu,kisa mkewe kamnyma unyumba. opposition parties learn to challenge with concrete opinions/plans ,mnajidharaulisha wenyewe ,halafu mwsho wa sku mnasingiziwa mmeibiwa kura.
 
Zitto ni kiongozi wa chama chenye maono na malengo mbalimbali ya kisiasa. Kwani lazima vyama vyote vya upinzani viwazo wazo lenye kufanana wazee.
 
Back
Top Bottom