Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Mbukuruni= Buguruni kwa sauti ya Mama D "yapogi"Yule Mzee wa buguruni ni c, kama sijakosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbukuruni= Buguruni kwa sauti ya Mama D "yapogi"Yule Mzee wa buguruni ni c, kama sijakosea.
maneno yako unavyoonge kama msamaria mwema kumbe ndio yaleyale ya kina polepole,
watanzania acheni unafki na msimamie mnachokiamini hakika mtafika mbali sana
Mama ulitaka tuvue nguo tutenbee barabarani uchi au tuwe kama yule Mwamba Hamza ndipo ujue tupo????
It has been known long before jamaa ni pandikiziSalaam Wakuu
Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.
Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.
Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti[emoji848]
Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.
Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.
CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Mama D acha longolongo tumekuchagua lini kuwa mwakilishi wetu hapa JF?
Njoo nikulipie ada ya uanachama. Ukifanya hivyo utayajua majukumu yangu ndani ya Chama.Tuanze na Wewe binafsi.... Umefanya nini zaidi ya hizi posts zako hapa jf!?
Huwa nasema tunahitaji sana vyama pinzani kwa maslahi ya nchi yetu lakini bahati mbaya sana hadi leo hii Tanzania hakuna upinzani wala wapinzani.
Zito anaangalia maslahi yake kwanza tena kwa upana zaidi
Mbowe hadi leo yuko ndani na hakuna wanachama wa chadema wamefanya lolote kuonyesha umoja wao kwa mwenyekiti wao kitaifa zaidi ya wale washirika wake wa karibu, tena wenye maslahi mapana wanaoonekana mitandaoni na mahakamani kwa uchache
Heri Mrema alijiamulia kuwa msemakweli
Ukitaka kustresssika basi jiunge na upinzani wa Tanzania
Na wakati muafaka amapewa kitua cha demokrasia🤔.It has been known long before jamaa ni pandikizi
Njoo nikulipie ada ya uanachama. Ukifanya hivyo utayajua majukumu yangu ndani ya Chama.
Hebu toa pendekezo lako, ungependa chadema wafanye nini kwenye hili suala? Wapo huku bila shaka pendekezo au ushauri wako utawafungua macho na wataufanyia kazi...
Kama ni maoni yako usitumie wingi sema nataka sio tunataka.Sijakuambia namuwakilisha yoyote. Mimi Natumia haki yangu ya maoni, unaumia???
Uhuru wa Tanganyika tuliupata 1961. Njoo tuungane pamoja kudai Uhuru wa Tanzania unaoshikiliwa na mkoloni mweusi CCM.Majukumu yako kwenye chama yanatakiwa kutambulika na matokeo ya kazi yako kwenye hicho chama, tukiongelea role profile yako bila matokeo yanayotegemewa ni bure
Zitto ni ndumilakuwiliSalaam Wakuu
Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.
Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.
Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti[emoji848]
Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.
Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.
CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
sio waaminifu mngekaa huko mngejua mengi.kigoma wengi wao ni wasaliti na pia wanapenda sana madaraka.sifa nyingine wakipata madaraka si waaminifu bali hujijali wenyewe kuliko watu wengine.ni watu ambao ni double standard na wanaongoza kwa fitina na kupenda mabifu na ni wabaguzi.Salaam Wakuu
Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.
Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.
Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔
Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.
Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.
CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Mnafiki tu.Salaam Wakuu
Yaani mimi siku zote nilijua ACT Wazalendo ni chama cha Upinzani.
Nimeshangaa sana.. Kumbe ndo maana Zitto wanadai ni Pandikizi.
Vyama vya siasa vikuu vya Upinzani, NCCR-MAGEUZI, CHADEMA nk, Wamesusia mkutano wa Waziri Mkuu na vyama vya Siasa. Lakini Zitto anahimiza eti Shime wana ACT, tujaze viti🤔
Tanzania tuna safari ndefu ya kujikomboa Wasaliti ni wengi.
Zitto hajali Mbowe yupo korokoroni. Halafu zitto na yule Mzanzibar wataingia ukumbini kwa Ving'ora vya Polisi.
CHAUMA hawajawahi onja msafara wao uongozwe na Polisi kwenda Ukumbini
View attachment 2044512View attachment 2044513
Kigoma huwa si waaminifu kwenye Siasa. Kwanini?
View attachment 2044514
Kama ni maoni yako usitumie wingi sema nataka sio tunataka.