Sikubaliani na jinsi Rais Samia anavyofanya Teuzi, na zitakuja kumfanya kujuta baadaye

Sikubaliani na jinsi Rais Samia anavyofanya Teuzi, na zitakuja kumfanya kujuta baadaye

Status
Not open for further replies.
Dawa pekee kwa sasa ya kuondokana na huu uozo uliokithiri, ni kuliua tu Joka la kijani [emoji216] kwa kuliponda kichwa. Hakuna kitu kingine cha kuweza kuliokoa Taifa kuangamizwa na hilo Joka.
.
JamiiForums-368864546.jpg
FB_IMG_1572697051230.jpg
 
toa upuuzi wako hapa wewe ! Unataka kusema wamefukuzwa? Kumbe huna akili Kama dalali na jina utumialo
Substantiate your claims kama JF ya kale, huwezi amka asubuhi tu umeshiba maandazi unaandika 42 B Imeibiwa!! Ilihali CAG hajaona hilo.

We si ndio ulikua unadai Mbowe anakula hera za ruzuku na pia uliwahi kudai apa kwamba una ushahidi kuwa ni gaidi kweli? ila Kila mara unaumbuka kwa uongo wako.

Hatutaki fake news JF, we need facts sio hearsay za kuchafuana.
 
Bila kupepesa macho na kupindisha maneno

Mimi ni CCM damu damu ambaye nimeanza kuwa Mwana chama wengi wenu hamjazaliwa, tokea Niko Pugu Mwaka 1979 na baadae tukasoma kupewa kadi ya CCM siyo zinazogawiwa Kama njugu!

Baada ya hapo nina machache tu ya kusema

1. Vetting ni ama haipo au inampotosha mama, hawa vijana ambao walipaswa kuwa ama Segerea au Butimba gerezani ndo wanahamishwa na kufanya mtaani watanzania wajue kuna mtu zaidi ya Mama SAMIA anayeongeza SERIKALI Huku Mama akiwa kivuli.

Mpaka watu wa kawaida tu mtaani wanaelewa kwamba kuna Tatizo mahali, sikutegemea watu Kama Maharage Chande, January na wenzake wangeendelea kuwa kwenye uteuzi wake

Pamoja na kashfa ambazo tukiziweka hapa watu watakimbiana. Wizara hii hii ya nishati Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna. upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki nakuambia siku moja kuna mtu atakuja kujilipua live kwenye Tv kusema haya.

👉🏻👉🏻Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
lakini nje yah apo kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Ishu ya kutuhumiwa tu ilipaswa imuache Makamba na Maharage nje ya teuzi Ila Mama akawakumbatia hii ni nini?

Najua makamba ni rafiki wa mwenye forum Hii Uzi huu hautamaliza muda,

Ila ishu ya msingi ni kumfahamisha Rais haya

Ukizingatia aliyemchangua Maharage ni January na amekiri mwenyewe Pamoja na barua kusema aliyemchagua ni Rais, Ila kwa clip ya Maneno ya Makamba ni Makamba mwenyewe na jiulize

Hapo zamani kuna vijana wangu wa kazi walifanya kazi na Maharage taasisi moja kubwa, yeye akiwa kijana sana kuaminiwa nafasi ya pili kwa ukubwa katika taasisi hiyo. Kiukweli kabisa ni kati ya watu wachache sanaa wamebarikiwa kuwa na akili nyingi mnoo yaan mnoo... Na ambao kimtazamo wangu anazitumia kufikiri/kufanyia tofauti.

Kama mtakumbuka nilijiuliza sana anawezaje kuacha mshahara wa Multichoice, Ukurugenzi wa kanda ya Afrika Mashariki na kati na akiwa anakaimu kanda ya Afrika Magharibi ambapo kimsingi mshahara wake ulikuwa haupungui TZS 80Mio kwa mwezi kisha aende Tanesco ambako mshahara wake na marupurupu hauzidi TZS 15Mio? Hapa kulikuwa na fumbo kubwa sana na niliutazama kama mpango wa uchafu kati ya wote waliompendekeza na yeye pia.

Anyway hili ni tatizo letu kamaTaifa, kuamini kuwa wanaoteua/ wanapendekeza wanakuwa na akili sana kuliko watanzania wengine wote na hivyo hawana Muda wa kusikiliza.

Maharage ni kama wengi wana kashfa nyingi sana sana hawafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi ila kwa sababu ni kashfa zilizoifanya Serikali kuendelea kuwepo nyakati fulani ngumu basi bado kama Taifa/Chama tunaendelea kuoneana aibu anapewa nafasi zingine.

Britanicca Encyclopaedia
Usipokuwa mtu muovu, mpiga dili, mwivi, muongo, hamnazo hakika hupati nafasi ndani ya CCM.

Angalia backgrounds za wateule wengi utakubaliana nami.

Je mteuzi ana wasifu wa kuaminiwa kupitia teuzi zake!?
 
Substantiate your claims kama JF ya kale, huwezi amka asubuhi tu umeshiba maandazi unaandika 42 B Imeibiwa!! Ilihali CAG hajaona hilo.

We si ndio ulikua unadai Mbowe anakula hera za ruzuku na pia uliwahi kudai apa kwamba una ushahidi kuwa ni gaidi kweli? ila Kila mara unaumbuka kwa uongo wako.

Hatutaki fake news JF, we need facts sio hearsay za kuchafuana.
Nani kakwambia uje kwenye uzi wangu ? Tatizo we zitto na makamba au AcT ikiguswa makamba mnakuwa wakali na Siri naijua

Pili Nani kakwambia CAG anamulika hayo yote bwana mdogo

CAG alikuwa wapi zinapigwa Pesa za kupelekwa China ? Umewahi ongelea poppte?

CAG alikuwa wapi zinapigwa bilion 256 kwenye ujenzi Mwaka 2014?

CAG alikuwa wapi Zinatoroshwa Pesa Kwenda AFRIKA kusini na mkubwa mmoja ?

Dogo CSG is toothless man

Unaitaji kuwa na akili kubwa kukabiliana na nayoyasema

La sivyo utatoka juu juu
 
CEO wa posta yuko masomoni kazi yake anapewa maharage. Badala ya kutemwa mtu mwenye record yake nzuri anaondolewa kwa sababu ya mpiga dili. Januari pia alitakiwa kurudi back bencher bungeni.
mama yenu huyo sio la kufa....
Screenshot_20230926_172344_X.jpg
 
Bila kupepesa macho na kupindisha maneno

Mimi ni CCM damu damu ambaye nimeanza kuwa Mwana chama wengi wenu hamjazaliwa, tokea Niko Pugu Mwaka 1979 na baadae tukasoma kupewa kadi ya CCM siyo zinazogawiwa Kama njugu!

Baada ya hapo nina machache tu ya kusema

1. Vetting ni ama haipo au inampotosha mama, hawa vijana ambao walipaswa kuwa ama Segerea au Butimba gerezani ndo wanahamishwa na kufanya mtaani watanzania wajue kuna mtu zaidi ya Mama SAMIA anayeongeza SERIKALI Huku Mama akiwa kivuli.

Mpaka watu wa kawaida tu mtaani wanaelewa kwamba kuna Tatizo mahali, sikutegemea watu Kama Maharage Chande, January na wenzake wangeendelea kuwa kwenye uteuzi wake

Pamoja na kashfa ambazo tukiziweka hapa watu watakimbiana. Wizara hii hii ya nishati Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna. upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki nakuambia siku moja kuna mtu atakuja kujilipua live kwenye Tv kusema haya.

👉🏻👉🏻Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
lakini nje yah apo kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Ishu ya kutuhumiwa tu ilipaswa imuache Makamba na Maharage nje ya teuzi Ila Mama akawakumbatia hii ni nini?

Najua makamba ni rafiki wa mwenye forum Hii Uzi huu hautamaliza muda,

Ila ishu ya msingi ni kumfahamisha Rais haya

Ukizingatia aliyemchangua Maharage ni January na amekiri mwenyewe Pamoja na barua kusema aliyemchagua ni Rais, Ila kwa clip ya Maneno ya Makamba ni Makamba mwenyewe na jiulize

Hapo zamani kuna vijana wangu wa kazi walifanya kazi na Maharage taasisi moja kubwa, yeye akiwa kijana sana kuaminiwa nafasi ya pili kwa ukubwa katika taasisi hiyo. Kiukweli kabisa ni kati ya watu wachache sanaa wamebarikiwa kuwa na akili nyingi mnoo yaan mnoo... Na ambao kimtazamo wangu anazitumia kufikiri/kufanyia tofauti.

Kama mtakumbuka nilijiuliza sana anawezaje kuacha mshahara wa Multichoice, Ukurugenzi wa kanda ya Afrika Mashariki na kati na akiwa anakaimu kanda ya Afrika Magharibi ambapo kimsingi mshahara wake ulikuwa haupungui TZS 80Mio kwa mwezi kisha aende Tanesco ambako mshahara wake na marupurupu hauzidi TZS 15Mio? Hapa kulikuwa na fumbo kubwa sana na niliutazama kama mpango wa uchafu kati ya wote waliompendekeza na yeye pia.

Anyway hili ni tatizo letu kamaTaifa, kuamini kuwa wanaoteua/ wanapendekeza wanakuwa na akili sana kuliko watanzania wengine wote na hivyo hawana Muda wa kusikiliza.

Maharage ni kama wengi wana kashfa nyingi sana sana hawafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi ila kwa sababu ni kashfa zilizoifanya Serikali kuendelea kuwepo nyakati fulani ngumu basi bado kama Taifa/Chama tunaendelea kuoneana aibu anapewa nafasi zingine.

Britanicca Encyclopaedia
Wagalatia mmewai kusifia lipi la samia wapuuzi nyie!? Acheni chuki zenu za kijinga
 
Mimi namshangaa mama na hotuba zake za uapisho. Hivi hana maagizo ya maana ya kuadress issues zaidi ya blaa blaa za kwanini amefanya utenguzi na uteuzi? Hadi anafika pale hajapata wisdom ya namna ya kutoa hotuba? Kwanini Mkuu wa Nchi ajitetee anapomtengua mtu? Hajui yeye amesimama kama mamlaka ya juu ya nchi? Supreme power and authority anayo yeye just second to Katiba(ikiheshimiwa).
Wai chattle kalinde kaburi
 
Bila kupepesa macho na kupindisha maneno

Mimi ni CCM damu damu ambaye nimeanza kuwa Mwana chama wengi wenu hamjazaliwa, tokea Niko Pugu Mwaka 1979 na baadae tukasoma kupewa kadi ya CCM siyo zinazogawiwa Kama njugu!

Baada ya hapo nina machache tu ya kusema

1. Vetting ni ama haipo au inampotosha mama, hawa vijana ambao walipaswa kuwa ama Segerea au Butimba gerezani ndo wanahamishwa na kufanya mtaani watanzania wajue kuna mtu zaidi ya Mama SAMIA anayeongeza SERIKALI Huku Mama akiwa kivuli.

Mpaka watu wa kawaida tu mtaani wanaelewa kwamba kuna Tatizo mahali, sikutegemea watu Kama Maharage Chande, January na wenzake wangeendelea kuwa kwenye uteuzi wake

Pamoja na kashfa ambazo tukiziweka hapa watu watakimbiana. Wizara hii hii ya nishati Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna. upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki nakuambia siku moja kuna mtu atakuja kujilipua live kwenye Tv kusema haya.

👉🏻👉🏻Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
lakini nje yah apo kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Ishu ya kutuhumiwa tu ilipaswa imuache Makamba na Maharage nje ya teuzi Ila Mama akawakumbatia hii ni nini?

Najua makamba ni rafiki wa mwenye forum Hii Uzi huu hautamaliza muda,

Ila ishu ya msingi ni kumfahamisha Rais haya

Ukizingatia aliyemchangua Maharage ni January na amekiri mwenyewe Pamoja na barua kusema aliyemchagua ni Rais, Ila kwa clip ya Maneno ya Makamba ni Makamba mwenyewe na jiulize

Hapo zamani kuna vijana wangu wa kazi walifanya kazi na Maharage taasisi moja kubwa, yeye akiwa kijana sana kuaminiwa nafasi ya pili kwa ukubwa katika taasisi hiyo. Kiukweli kabisa ni kati ya watu wachache sanaa wamebarikiwa kuwa na akili nyingi mnoo yaan mnoo... Na ambao kimtazamo wangu anazitumia kufikiri/kufanyia tofauti.

Kama mtakumbuka nilijiuliza sana anawezaje kuacha mshahara wa Multichoice, Ukurugenzi wa kanda ya Afrika Mashariki na kati na akiwa anakaimu kanda ya Afrika Magharibi ambapo kimsingi mshahara wake ulikuwa haupungui TZS 80Mio kwa mwezi kisha aende Tanesco ambako mshahara wake na marupurupu hauzidi TZS 15Mio? Hapa kulikuwa na fumbo kubwa sana na niliutazama kama mpango wa uchafu kati ya wote waliompendekeza na yeye pia.

Anyway hili ni tatizo letu kamaTaifa, kuamini kuwa wanaoteua/ wanapendekeza wanakuwa na akili sana kuliko watanzania wengine wote na hivyo hawana Muda wa kusikiliza.

Maharage ni kama wengi wana kashfa nyingi sana sana hawafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi ila kwa sababu ni kashfa zilizoifanya Serikali kuendelea kuwepo nyakati fulani ngumu basi bado kama Taifa/Chama tunaendelea kuoneana aibu anapewa nafasi zingine.

Britanicca Encyclopaedia
Nashangaa bado unaendelea kujinadi ccm damdam, sijui nini kimewafunga ccm?
 
Niseme tu kuwa sa100 Ni completely empty seti hazimo kbsa nimeogopa San Mambo yanayo yafanya bila kuogopa
 
These are serious allegations, yaani CAG asione ufisadi huu wa 42 B ila a nobody aliyepo JF ndio unajua? Hivi si ndio wewe ulidai una ushahidi kuwa Baraza kuu haliwezi kuwafukuza Mdee na wenzie? Na ukaahidi kufuta account yako?

You've always been a fraud tokea enzi za JPM, huna unalojua zaidi ya speculations tu ni Bora ufuate ahadi Yako ya kujiondoa JF maana ni mpotoshaji.
Kumbe Ni mpotoshaji asije niwekea chuki bila mm kujuwa
 
Mimi niko kinyume kidogo na ninyi.

Mimi ninamlaani Mbowe.

Chadema imeaminiwa na Watanzania wengi, ilitosha kumpa sauti kubwa kukemea au hata kuita maandamano lkn badala yake aneungana na watesi wetu.

Upinzani imara huifanya serikali kuwajibika
Nami naongezea hapo, alaaniwe mbowe tena nikiwa nimevua nguo, kwa haya yanayoendelea nchini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom