Sikubaliani na jinsi Rais Samia anavyofanya Teuzi, na zitakuja kumfanya kujuta baadaye

Sikubaliani na jinsi Rais Samia anavyofanya Teuzi, na zitakuja kumfanya kujuta baadaye

Status
Not open for further replies.
Ulijidanganya sana, maana kwa mfumo tulionao tulisha comment humu kwamba mwendo wetu ni hatua tano mbele halafu sita nyuma. Kama unakumbuka vizuri mwenyewe JPM aliwahi kukiri hadharani kwamba kuna makaburi mengine yamemshinda kufukua. Sasa kama yapo yaliyomshinda JPM unadhani yupo aliye hai?
Tutafika tumechoka sana
 
CEO wa posta yuko masomoni kazi yake anapewa maharage. Badala ya kutemwa mtu mwenye record yake nzuri anaondolewa kwa sababu ya mpiga dili. Januari pia alitakiwa kurudi back bencher bungeni.
He
 
Nimearifiwa na duru moja kuwa kuna baadhi ya teuzi anazi "endorse" Abdul au Rostam Aziz ndio mama yenu atie saini..

Hakika mama anaupiga mwingi!

Sema dynasty mbaya in Uhuru Kenyatta's voice..

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
 
Kama mtakumbuka nilijiuliza sana anawezaje kuacha mshahara wa Multichoice, Ukurugenzi wa kanda ya Afrika Mashariki na kati na akiwa anakaimu kanda ya Afrika Magharibi ambapo kimsingi mshahara wake ulikuwa haupungui TZS 80Mio kwa mwezi kisha aende Tanesco ambako mshahara wake na marupurupu hauzidi TZS 15Mio? Hapa kulikuwa na fumbo kubwa sana na niliutazama kama mpango wa uchafu kati ya wote waliompendekeza na yeye pia.

Anyway hili ni tatizo letu kamaTaifa, kuamini kuwa wanaoteua/ wanapendekeza wanakuwa na akili sana kuliko watanzania wengine wote na hivyo hawana Muda wa kusikiliza.

Maharage ni kama wengi wana kashfa nyingi sana sana hawafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi ila kwa sababu ni kashfa zilizoifanya Serikali kuendelea kuwepo nyakati fulani ngumu basi bado kama Taifa/Chama tunaendelea kuoneana aibu anapewa nafasi zingine.
Wala hatojuta! Uliandika 26/9/2023 na leo 11/6/2024 kafanya uteuzi mwingine. Usisahau ule wa kutenguliwa Yunus hivi punde.
Tanzania imeoza, ukichagua 10, wasafi wa uhakika ni wa- 4. Hivyo fagio la chuma lazima lipite baada ya teuzi. Baada ya miaka 60, tumetengeneza vizazi ya walarushwa, waongo, watu wasiowaadilifu, hivyo kuchagua viongozi waadilifu miongoni mwetu ni kazi sana. Kuteua na kutengua ndio njia pekee ya kusahihisha na kubakia na waadilifu.
 
Huku kubadilisha badilisha viongozi ni hatari sana hasa viongozi wa ngazi za juu
 
Wala hatojuta! Uliandika 26/9/2023 na leo 11/6/2024 kafanya uteuzi mwingine. Usisahau ule wa kutenguliwa Yunus hivi punde.
Tanzania imeoza, ukichagua 10, wasafi wa uhakika ni wa- 4. Hivyo fagio la chuma lazima lipite baada ya teuzi. Baada ya miaka 60, tumetengeneza vizazi ya walarushwa, waongo, watu wasiowaadilifu, hivyo kuchagua viongozi waadilifu miongoni mwetu ni kazi sana. Kuteua na kutengua ndio njia pekee ya kusahihisha na kubakia na waadilifu.
Naam
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom