Ngoja nikuwekee vizuri hoja ya jamaa kwa maelezo ya darasa la tatu C huenda ukaelewa.
Nchi nyingi za ulaya asilimia kubwa hawali Chakula (Food) bali wanakula biadhaa za chakula (Food Products).
Mfano wa chakula (Food) ni ugari maharagwe, kisamvu, ubwabwa mbaazi, makande, makange, mtori nk watanzania wengi hula hivi.
Mfano wa bidhaa za chakula ni Pizza, Bugger, Cheese, Cheese Bugger, Cheese pizza, Hot dogs, Coca-Cola nk wazungu 80% wanakula vyakula hivi kama mlo kamili wa siku yaani mtu anakula Pizza kama Lunch na Dinner pia daily addiction kubwa hata kwenye movie unaona littoral linasusa mpaka Pizza zake ziletwe zikiletwa linakataa "Oooh Cheese Pizza I need Cheese Burger"
Jamaa haongelei sumu ya kwenye chakula dunia ya sasa chemicals kwenye chakula haiepukiki bali anaongelea Food and Food products hizo food products ndio ulaya zimekuwa addiction na zina madhara sana kwa Tz hakuna madhara ya Junks Food labda kwa wachache na Junk food pekee kwa Tz nk Chips Yai tu 90% wajawahi kula Pizza wala KFC