Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 933
Bro nimemsikiliza sana fid q nimemsikiliza sana songa, Uwezi kuwa upo seriaz kwakusema fid ajui hapohapo unamkubali mtu kama songa, Hapana kabisa..Wewe utakua kizazi cha BRN ndo mnasema fid anaandika tafuta ngoma ya fid I am professional alafu nenda tafuta ngoma ya lily kim sikwambii ngoma gani alafu njoo ubwabwaje hapa sema fid anaandika mfano mdogo ukitaka nifate PM
Wewe utakua kizazi cha BRN ndo mnasema fid anaandika tafuta ngoma ya fid I am professional alafu nenda tafuta ngoma ya lily kim sikwambii ngoma gani alafu njoo ubwabwaje hapa sema fid anaandika mfano mdogo ukitaka nifate PM
[emoji122] [emoji122] umenena vyema sana bro, ichi ndicho ninachomaanisha mimi mwenyewe watu wanakazana tu jamaa anacopy anacopy kama ni kazi flani nyepesi sana ambayo kila msanii anaweza..Fid q anaweza heshima kwake na mimi ni shabiki wa one incredible sio Fid q.Yeah ni kweli sio jiniasi ila usijaribu kumchukulia poa kama unavyofanya hapa..........na kama unaweza andika na wewe kama yeye.....jaribu kuchanganya mchezo wa maneno......na ulete maana na watu wakuappreciate.
Acheni wivu.....Someni vitabu
A a a a a a a a a, Bro sikuoni siku izi na story zako za kina Suge.Lily who now?
Ukiamua kumkandia mtu, at least toa sababu za kina basi. La sivyo zinasomeka kama chuki/wivu.
Hili ni jibu toshaHaya hebu tuangalie definition ya neno "Genius" kutoka kwa wazungu wenyewe
Cambridge
very great and rare natural ability or skill, especially in aparticular area such as science or art, or a person who has this:
Oxford
1. Exceptional intellectual or creative power or other natural ability:
2. An exceptionally intelligent person or one with exceptional skill in a particular area of activity:
3. The prevailing character or spirit of something:
Mimi namuingiza kwenye Ugenius kwa hiyo definition number mbili ya Oxford...Na haswa hapo kwenye "Exceptional Skill in a particular area of activity"...Na the guy and Exceptional skill katika hip hop...
Turudi kwenye definition yako..
"For someone to be genius, ni lazima awe innovative! Lazima aache impact"
Hii umeitoa kwenye dictionary gani?...Huo mfano wako wa kujibu swali la kipindupindu sio relevant maana genius sio lazma ajue kila kitu katika aspect zote za maisha...Hata mvumbuzi wa umeme ungemuuliza kuhusu kilimo cha tumbaku asingejua..
Acha kuwa Hater mkuu...The guy IS a genius...(Based on Oxford Dictionary)
A a a a a a a a a, Bro sikuoni siku izi na story zako za kina Suge.
[emoji14] [emoji14] kweli uku story zakina shilole ndiozinatamba, ila tuliokuwa tunazipenda zile story tupo bro sema wengi tunapenda kusoma sio wachangiaji wazuri sana.Hazieleweki humu.
[emoji14] [emoji14] kweli uku story zakina shilole ndiozinatamba, ila tuliokuwa tunazipenda zile story tupo bro sema wengi tunapenda kusoma sio wachangiaji wazuri sana.
Sio mimi bro niliyecompare iyo nyimbo ya fid na lil kim..Yeah man.
Anyway, hebu elezea vizuri hapo kwenye I am a professional na ngoma gani sijui ya Lil Kim.
Sio mimi bro niliyecompare iyo nyimbo ya fid na lil kim..
Kama ni misemo vp kuhusu B chau, B hindu, ZembwelaJibu sahihi. Mtoa uzi ana uwezo wa nzi ama mende. Uzi hauna logic, hauna hoja. Uzi huu umejaa upuuzi tu. Sijui aliwaza nini. Anafananisha misemo na swali. Eti MwanaFA ni genius kisa misemo akili za panzi hizi. Alafu upande wa pili anazungumzia kipindupindi. Kama sio wehu ni nini. Kama unataka zungumza juu ya utunzi zungumza juu ya utunzi kwa kuchambua mashairi yao. Pumpafu kabisa mtoa mada.