Wasiliana nao wakubadirishie ila kama current address yako ni Bukoba sahau kubadirishiwa.....Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Laki 77 na 9000 sasa si unaona hapo umeandika mwenyewe au Mimi nimekuandikia?Mimi bacherol ni laki 77,9000
Kazi anayo apply huyo kijana siyo ya laki 3Nenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
I thought it was a manTell her
KiongoziMimi bacherol ni laki 77,9000
Hakuna acha uongo certificate Wana 18000 perday sawa na 540000Soma TGS mboni zipp tu au hujawahi kuzisoma?
Kazi ya laki ngapi anayoapply na wewe umeapply pamoja nae amekuonyesha figure?Kazi anayo apply huyo kijana siyo ya laki 3
Toa pesa upate pesa.Utoe laki 3 na hauna uhakika kama utapata kazi? Hapo ni sawa na kubeti
Certificate ya wapi Uganda hio ni Diploma sio Certificate tena inategemea upo kwenye kozi ipi sio kila kozi wanakula mshahara huo hio Certificate ya nini Account au ualimu wa awali?Hakuna acha uongo certificate Wana 18000 perday sawa na 540000
Kagera nayo ni Tanzania, nendeni mkahudumie nchi yenu huko.Wanaleta mambo ya ajabu mimi pia nimewekewa kagera ilhali nilichagua morogoro na ni watu wengi wamebadilishiwa na kuwekewa hyo kagera sijajua kuna shida gani imetokea
Wewe utakuwa bodaboda tu mnadharaugi waalimu ukiombwa ushahidi haunaKazi ya laki ngapi anayoapply na wewe umeapply pamoja nae amekuonyesha figure?
Hiyo huwa haibadiliki mkuu, hata uwasiliane!!!Pole kwa changamoto,ila uli update taarifa zako mapema katika Portal??na kama ulishafanya hivyo kwa wakati jaribu kuwasiliana na Utumishi Mapema pengine unaweza kupata msaada,pia kama utashindwa kupata msaada na una uhakika kuwa umejiandaa vyema jaribu kupambana kwa namna yoyote upate nauli ya kukuwezesha kufikahuko pengine inaweza kuwa nafasi yako.All the best
Laki 3 nauli sawa hio kazi anayoenda kuipambania analipwa millioni ngapi?Kama kweli wewe ni candidate .
Pia jaribu kuwa unapitia nyuzi zako za nyuma ulizokuwa unaandika na kuponda walimu ambao wanajiandaa na usahili.
Gharama ya 300k ni kubwa Sana Ila naamini unaweza kusaidiwa na ukafikia lengo.
Next time jifunze kutumia mitandao vizuri hasa Kama kijana msomi .
Shda ni uchumi boss nauli kubwa wakati uhakika wa kupata ni mdgKagera nayo ni Tanzania, nendeni mkahudumie nchi yenu huko.
Tulia kijanaHiyo huwa haibadiliki mkuu, hata uwasiliane!!!
. UTUMISHI hii kazi ya afya na walimu naona imewashinda... Wailudishe tu TAMISEMI
Usiseme Mimi ni nani ikiwa haunijui mkuu hata niwe nani Clement Nzize ni bodaboda sasa hivi anaichezea Yanga kwa hio acha kudharau kazi za watu na mcheti usiokupa faidaWewe utakuwa bodaboda tu mnadharaugi waalimu ukiombwa ushahidi hauna
Akakope kwa mbunge wa Ccm au kwa Abdul kijana wa Samia, hao watu wana pesa za kumwagaShda ni uchumi boss nauli kubwa wakati uhakika wa kupata ni mdg
Pole na hongera kwa kachaguliwa kufanya usaili.Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa