Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hapo aandae 150KPole Sana
Anza safari kesho Kwa roli haitozidi 50K
Pia kule gharama za maisha zipo chini .
Naweza kukuombea nyumbani ukafilkia hapo Kama Usahili unafanya Bukoba mjini.
Mimi nipo DSM sasa
Umemshauri vema kabisa kama ana nia kweli atakwenda.Pole Sana
Anza safari kesho Kwa roli haitozidi 50K
Pia kule gharama za maisha zipo chini .
Naweza kukuombea nyumbani ukafilkia hapo Kama Usahili unafanya Bukoba mjini.
Mimi nipo DSM sasa
nenda utapataHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Hatumbadilishii mtuWapigie simu wanakubadilishia
Mkakati maalum watu wakajionee maendeleo ya wahaya, ishomile.Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
walimu watakuwa kwenye TGTS scaleNenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
Ambayo ni sawa na elfu ngapi kwa mwezi ?walimu watakuwa kwenye TGTS scale
Anuani yako inasoma wapi ? Inawezekana ulijaza anuani ya bukoba .Habari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Pole sanaHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
Wanafanya kosa ambalo TAMISEMI hawajathubutu kulitendaHiyo huwa haibadiliki mkuu, hata uwasiliane!!!
. UTUMISHI hii kazi ya afya na walimu naona imewashinda... Wailudishe tu TAMISEMI
Achana nayo, au nenda hlf usipopata unawafungulia kesi ya Madai au Utapeli kabisaHabari
Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu Mimi. Halafu hakuna uhakika kama nitapata au vipi. Nimekata tamaa
itategemea level ya elimuAmbayo ni sawa na elfu ngapi kwa mwezi ?