Unyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufaNgusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea hurumaNgusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kijana huwaga mpuuz achaneni naeUnyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
Hiyo mirija imerudi tena kwa kasi ya kutisha.Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Kabisa ,tuna muonea huruma ila sana sio kabisaKabendera ni wa kuonewa huruma tu!
hakuna kitu kama hichoHuyu kijana huwaga mpuuz achaneni nae
Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Huyo ni mpumbavuNgusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta !..Kabendera hakuwa anakashifu serikali alikuwa anasema ukweli kuhusu ouvu wa Magufuli na genge lake.
Kabendera yuko sahihiNgusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi hayaruhusiwi ππHuyo ni mpumbavu
Kwa sababu ameandika usichokipenda au? π€£π€£ Sukuma gang mnazingua sana.Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app