Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
Pyschopath inamsumbua sana yeye binafsi na hata kizazi chake kijacho kitateseka sana kutokana kulipwa mshahara wa 'blue-collar' dhidi ya nchi na utawala halali
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo mjinga.
Mtu akisema ukweli misukuma mnachachawa
 
Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Kila aliyekwenda kinyume na magufuli alitumiwa kila anayeenda sawa na mama amelamba asali . Akili ndogo sana
 
Ukijipima unajikuta unajua mambo ya serikali yandani kuliko yeye?? Ww ambaye huwezi kuandika vyema!!
We dogo lofa sana...
Sikilamtu anakazi ya kusifusifu tuu!!
 
Hakustaafu tarehe 16/3?? Ngusa sio RAS nisahishwe kama nimekosea
Alikuwa RAS Lindi, lakini alitemeshwa mzigo na mama kwenye uteuzi wa juzi juzi! Huyu hapa akikabidhi ofisi!
 

Attachments

  • Screenshot_20230407-195608_Chrome.jpg
    Screenshot_20230407-195608_Chrome.jpg
    107.3 KB · Views: 6
Bora vijana akina, sabaya, mnyet,i makonda na mzee wa kuwashughulikia wastaafu, au nasema uongo 🤣🤣🤣🤣
Nimegundua hamjanielewa nilimaanisha huyu mtoa post.kabendela ni moja ya watanzania wanaojua tunaoapa tutafukua yule mbwa wa chato tunamaana gan .
 
Yupo Lindi anakula Bata tu fukara kama wewe tulia

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh naona hufuatilii kabisa na hujui mambo ndani ya nchi. Ngusa alikuwa RAS Mwanza kisha akahamishwa kwenda Lindi na hivi karibuni ameondolewa kwenye nafasi hiyo na aliyekuwa RAS Pwani ndio RAS Lindi kwa sasa. Ukithibitisha kwamba Ngusa yupo Lindi kama RAS kwa sasa najitoa JF!
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo kilaza
 
Japo sikubaliani na kila.EK alichoandika kwenye kitabu chake, EK sio kilaza! He is one of the best we have!.

Duh...!.
Umeona ufukue kaburi. In his understanding (mwanzilishi wa thread) na mimi pia EK ni kilaza. Same to media house anazozifanyia kazi. Before posting or publishing they should clarify the truth of those information. So far magufuli ni binadamu lakini hachafuki kizembe thus why karma ina happen now kwa chadema, itakuja ccm humo humo na kwake kabendera mwenyewe.
 
Umeona ufukue kaburi. In his understanding (mwanzilishi wa thread) na mimi pia EK ni kilaza. Same to media house anazozifanyia kazi. Before posting or publishing they should clarify the truth of those information. So far magufuli ni binadamu lakini hachafuki kizembe thus why karma ina happen now kwa chadema, itakuja ccm humo humo na kwake kabendera mwenyewe.

..Magufuli alitawala kwa kutumia mabavu.

..Watu wengi wamedhulumiwa HAKI zao wakati wa Magufuli akiwa madarakani.

..Magufuli ni msafi kwa watu waliojitoa ufahamu, lakini watu waelewa wanajua alikuwa muovu.
 
Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Tofauti ya wewe na kabendera ni moja, wewe unaongea unacho kihisi kichwani mwako, kabendera ameandika alicho kichunguza
 
..Magufuli alitawala kwa kutumia mabavu.

..Watu wengi wamedhulumiwa HAKI zao wakati wa Magufuli akiwa madarakani.

..Magufuli ni msafi kwa watu waliojitoa ufahamu, lakini watu waelewa wanajua alikuwa muovu.
Magufuli alikuwa na mazuri lakini ana mabaya mengi sana
 
Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Nyie ni wauaji mkishirikiana Magufuli
 
Back
Top Bottom