Kuwa makini mtu wangu. Siku hizi inawapata hadi watoto, watu wembamba na maskini makapuku. Inaitwaga kwa jina la utani SILENT KILLER.Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Ukimaanisha kusaidia kupunguza mwili mkuu...?Mwanzishie gym shemeji yetu
Hauko sawa upstairs, mtu mwenye "ampendaye" na yuko na hali hiyo hawezi kuwa busy kutukana watu mitandaoni, kwa wataalamu wa afya hiyo ni "Emergency hypertensive crisis." pressure ya kiwango iko muda wowote inapasua mishipa ya damu na ni more likely ya ubongo na ikipiga centres nyeti unampoteza mpendwa wako, nimekusamehe bure.Bwege huyo...!
Unaongea kinyume. Halafu mbona pressure ya kawaida hio?Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Inaniendesha VibayaUnaongea kinyume. Halafu mbona pressure ya kawaida hio?
Nilichopenda ni kuwa mnapendana na mkeo mpaka Raha .Muda mwengine usiwe kama mtu aliyetokea Sengerema ukaitwa Msengerema.View attachment 2986633
Sio mapenzi niliidhiwa Na MTU nikakasirika Sana baadae nikaanza kujiskia vibayaPresha yenyewe inatokana na Nini haswa?
Au Ni ishu za mapenzi
Chumvi Hua inapandisha preshaHapana nashindwa kuelewa tatizo nini ila ni mtu wa mawazo kiasi lakini pia anapenda chumvi na ana body Nene kiasi.
Thank youPole sana, get well sooner
AhsantePole Sana Mkuu
AhsantePole sana mkuu
Inawzekena.Mmnh...chai
Hata mimi nafahamu hivyoPresha ya kushuka ni jambo hatari, mara nyingi ni medical emergency.
Punguza mawazo.Inaniendesha Vibaya
pole sana muungwana.....Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde