Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Kuwa makini mtu wangu. Siku hizi inawapata hadi watoto, watu wembamba na maskini makapuku. Inaitwaga kwa jina la utani SILENT KILLER.
 
Bwege huyo...!
Hauko sawa upstairs, mtu mwenye "ampendaye" na yuko na hali hiyo hawezi kuwa busy kutukana watu mitandaoni, kwa wataalamu wa afya hiyo ni "Emergency hypertensive crisis." pressure ya kiwango iko muda wowote inapasua mishipa ya damu na ni more likely ya ubongo na ikipiga centres nyeti unampoteza mpendwa wako, nimekusamehe bure.
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Unaongea kinyume. Halafu mbona pressure ya kawaida hio?
 
Muda mwengine usiwe kama mtu aliyetokea Sengerema ukaitwa Msengerema.View attachment 2986633
Nilichopenda ni kuwa mnapendana na mkeo mpaka Raha .
Ila zaidi jina la mwanao Nuru ni jina la nesi wangu kivuruge ananikosha mno .
Mpe muda mkeo ,zungumza naye Kuna jambo lipo usilolijua presha si mkojo kuwa ukinywa maji basi figo inachuja .
Pamoja baba Nuru
 
Niliwai tembea na dem mweny viashilia vya ngoma pressure ikafik 158 'nikiwa na umri wa miak 25 sijui ningekata moto mpk nilipopima nikajikut mzim ikaend ikashuk yenyew
 
Nashangaa mtu anasema 140/89 ni pressure ya kawaida sana.
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
pole sana muungwana.....
Mwenyezi Mungu akupe ahueni ya mapema....


hata hivyo,
tujitahidi sana kupunguza mawazo kupita kiasi, kusamehe na kusahau kabisa.

tusihifadhi mambo mengi sana moyoni japo sio rahisi pia kama mwanadamu, maana sasa na moyo nao siku hizi umekua na kazi nyingi hadi unasukuma na mengine 🐒
 
Back
Top Bottom