Ngoja niongezee uzito kwenye hoja yako kwa kuweka madini zaidi.Unaona huyu amekiri mwenyewe kutumia KAHAWA! safuher
Kawaha ina CAFFEINE kama vile COCACOLA pamoja na VITA MALT.
Ukinywa haya mauchafu lazima moyo ubasti na ubongo utafumuka tu kwa vyovyote vile.
Baadaye unaanguka barabarani kama gunia la chumvi!! Unakufa kama kuku tu kiulaini sana.
Chanzo: COCACOLA na ENERGY DRINK.
Kahawa ina addiction. The more unatumia the more utaongeza kikombe cha ziada. Mimi nilikuwa nanunu ile chupa ya kioo ya Nescafe kubwa kabisa lile na maziwa ya unga. Aisee nilikuwa natandika mugs za kahawa kwa siku naweza piga hata tatu. Nilikuwa na moto balaa, ukipiga kahawa unakuwa kama Newton, akili inakwenda fasta kuprocess mambo, yaani unakuwa umechangamka balaa.Kahawa ukizidisha lazima ikuzingue. Inashauri kutotumia vikombe zaidi ya vitatu na uweke kijiko kimoja. Mimi nilikua natumia zaidi ya hvyo.
Nikaacha baada ya mwezi nilikua sawa. Kwa sasa napiga kikombe kimoja asubuhi natulia.
Hamna kitu hakina madhara ukizidisha mkuu.
Hiyo namba ya juu mfano 140 ina maanisha kiwango cha pressure kwenye mishipa yako ya altery (mishipa inayochukua damu kutoka moyoni kuelekea mwilini) wakati moyo unakaza kusukuma damu mwilini.Wakuu ningeomba mtueleweshe kidogo back benchers,
Hivi hiyo ratio eg 140 kwa 89 inamaanisha nini,
Na normally pressure inapaswa kuwa kwenye ratio ipi kwa kuzingatia nini?
Umri au uzito ?
Hapo anasema wazee wale wavijiweni wanaokunywa majivu ya buni ya kahawa iliyounguzwa hadi ikawa mkaa. Sasa si bora wanywe majivu ya mkaa ule wa kupikiaAnatumia vikombe vingapi kwa siku na kila kikombe anaweka vijiko vingapi? Pia anatumia aina gani ya kahawa? Je ni zile nyepesi au strong? Unajua Tanzania hatunywi first grade coffee? Pata first grade au second unywe vikombe vinne kwa siku halafu njoo tuhadithiane hapa.
View attachment 2987260
Standards hizo hapo.Kweli maaana nashangaa watu wanasema normal wakati Mimi nlikua nahisi kukata moto.... usually Hua 120's and nna 28years
Ahsante sana kiongozi.Pole sana mkuu
Kwanza wewe unaonyesha ni mjuaji hufuati ushauri wa daktari, naamini ungemuona daktari angekupa ushauri mzuri sana kuliko huku jfHabari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Inapatikana maduka ya dawa au...? Na inauzwa shilingi ngapi...?Presha ya kupanda ni mbaya sana inasababisha moyo kutanuka,pia kupoteza maisha ni kugusa,pia inasababisha na kisukari,Kuna dawa inaitwa ag broc nimeona imewasaidia watu weng ina sababisha presha iwe normal kama upo Dar au Mwanza nitakuelekeza uinunue,pole kwa changamoto
Endelea kuwa karibu naye mno ipo siku atakuamini zaidi na mengi atakuambia Ila kwasqsa jua yapo mazito anapitia pole sanaShukran sana kiongozi, tatizo ni msiri sana kuna vitu huwa mgumu kuvisema hata kama vinamuumiza deep inside.
Mpaka hali iwe mbaya sana ndio utakuta anakueleza hilo jambo mkuu. Binafsi huwa anasema yeye yupo sawa tu ila akienda kupimwa unakuta hayupo sawa kabisa, siku akisema hayupo vizuri basi anakuwa kwenye hali mbaya na huwa anamaanisha kabisa.
Pamoja sana Mkulu.Nitafanya hivyo kiongozi. Shukran sana.
Muda mwengine usiwe kama mtu aliyetokea Sengerema ukaitwa Msengerema.View attachment 2986633
Hahaha ilitakiwa nim-save Mke wangu kiongozi...?Kwa jinsi ulivomsave lazm hio presha ni mapenzi
Unagida vingapi?Hapo anasema wazee wale wavijiweni wanaokunywa majivu ya buni ya kahawa iliyounguzwa hadi ikawa mkaa. Sasa si bora wanywe majivu ya mkaa ule wa kupikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
By the way me natumiaga hii ya Nescafe.
View attachment 2987551
140/89 ndio inakufanya ufungue na uzi? Watu tunazurura na mzigo wa 180/100.Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Hapa nilipo natoka mazishini kumzika jamaa yangu amekufa kwa BpKuwa makini mtu wangu. Siku hizi inawapata hadi watoto, watu wembamba na maskini makapuku. Inaitwaga kwa jina la utani SILENT KILLER.