Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Unaona huyu amekiri mwenyewe kutumia KAHAWA! safuher

Kawaha ina CAFFEINE kama vile COCACOLA pamoja na VITA MALT.

Ukinywa haya mauchafu lazima moyo ubasti na ubongo utafumuka tu kwa vyovyote vile.

Baadaye unaanguka barabarani kama gunia la chumvi!! Unakufa kama kuku tu kiulaini sana.

Chanzo: COCACOLA na ENERGY DRINK.
Ngoja niongezee uzito kwenye hoja yako kwa kuweka madini zaidi.
Screenshot_20240511_100648.jpg
View attachment 2987527
 
Kahawa ukizidisha lazima ikuzingue. Inashauri kutotumia vikombe zaidi ya vitatu na uweke kijiko kimoja. Mimi nilikua natumia zaidi ya hvyo.

Nikaacha baada ya mwezi nilikua sawa. Kwa sasa napiga kikombe kimoja asubuhi natulia.

Hamna kitu hakina madhara ukizidisha mkuu.
Kahawa ina addiction. The more unatumia the more utaongeza kikombe cha ziada. Mimi nilikuwa nanunu ile chupa ya kioo ya Nescafe kubwa kabisa lile na maziwa ya unga. Aisee nilikuwa natandika mugs za kahawa kwa siku naweza piga hata tatu. Nilikuwa na moto balaa, ukipiga kahawa unakuwa kama Newton, akili inakwenda fasta kuprocess mambo, yaani unakuwa umechangamka balaa.

Sasa balaa likaanza kwenye kukosa usingizi. Halafu nikawa napata episodes za kukosa pumzi muda mwingine sababu ya kuwa hyperactive muda wote. Nikaanza kudetoxify mwili haraka sana.

Nilikuwa sili vitu vya dukani kwa siku maji ni lita nne, nakunywa juice za kutengeneza tu.

Hadi sasa niko poa nikilala ni kama mwanafunzi wa darasa la kwanza siku ya ijumaa anavyouchapa usingizi mtamu akijua jumamosi haendi popote.
 
Wakuu ningeomba mtueleweshe kidogo back benchers,
Hivi hiyo ratio eg 140 kwa 89 inamaanisha nini,
Na normally pressure inapaswa kuwa kwenye ratio ipi kwa kuzingatia nini?
Umri au uzito ?
Hiyo namba ya juu mfano 140 ina maanisha kiwango cha pressure kwenye mishipa yako ya altery (mishipa inayochukua damu kutoka moyoni kuelekea mwilini) wakati moyo unakaza kusukuma damu mwilini.

Hiyo namba ya chini mfano 80 ni pressure ya msukumo wa damu katikati ya kila pigo la moyo linapostrike. Yaani ukisikia "bubpup" "bubpup" "bubpup" moyo unapokita then yale mapigo yake msukumo unasomwa kwa namba ya chini hiyo.

Sijui kama nimekufafanulia vizuri.
 
Anatumia vikombe vingapi kwa siku na kila kikombe anaweka vijiko vingapi? Pia anatumia aina gani ya kahawa? Je ni zile nyepesi au strong? Unajua Tanzania hatunywi first grade coffee? Pata first grade au second unywe vikombe vinne kwa siku halafu njoo tuhadithiane hapa.
View attachment 2987260
Hapo anasema wazee wale wavijiweni wanaokunywa majivu ya buni ya kahawa iliyounguzwa hadi ikawa mkaa. Sasa si bora wanywe majivu ya mkaa ule wa kupikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

By the way me natumiaga hii ya Nescafe.
1715411420753.jpg
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Kwanza wewe unaonyesha ni mjuaji hufuati ushauri wa daktari, naamini ungemuona daktari angekupa ushauri mzuri sana kuliko huku jf
Hadi utumie dawa daktari anakuwa ameshachunguza frequency ya upandaji wako wa pressure, siyo kwamba ikifika 140/80 ina maanisha ni tatizo ,pressure haiwezi kuwa 120/ 80 saa zote kutokana na factors nyingi ,age, chakula/ mazoezi/ stress etc
 
Presha ya kupanda ni mbaya sana inasababisha moyo kutanuka,pia kupoteza maisha ni kugusa,pia inasababisha na kisukari,Kuna dawa inaitwa ag broc nimeona imewasaidia watu weng ina sababisha presha iwe normal kama upo Dar au Mwanza nitakuelekeza uinunue,pole kwa changamoto
Inapatikana maduka ya dawa au...? Na inauzwa shilingi ngapi...?
 
E
Shukran sana kiongozi, tatizo ni msiri sana kuna vitu huwa mgumu kuvisema hata kama vinamuumiza deep inside.

Mpaka hali iwe mbaya sana ndio utakuta anakueleza hilo jambo mkuu. Binafsi huwa anasema yeye yupo sawa tu ila akienda kupimwa unakuta hayupo sawa kabisa, siku akisema hayupo vizuri basi anakuwa kwenye hali mbaya na huwa anamaanisha kabisa.
Endelea kuwa karibu naye mno ipo siku atakuamini zaidi na mengi atakuambia Ila kwasqsa jua yapo mazito anapitia pole sana
 
Hapo anasema wazee wale wavijiweni wanaokunywa majivu ya buni ya kahawa iliyounguzwa hadi ikawa mkaa. Sasa si bora wanywe majivu ya mkaa ule wa kupikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

By the way me natumiaga hii ya Nescafe.
View attachment 2987551
Unagida vingapi?

Nmezungumzia Africafe zile nyepesi si zile za vijiweni.
 
Wakuu nashukuru Mungu now nimekaa Sawa....nimeponea kwenye grandmalta chupa mbili nilikunywa Kwa pamoja nikakaa Sawa till today my life has back to normal mana kila kitu kilisimama nlikua nna mitihani lakini nlishindwa kufanya sababu ya kuumwa
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
140/89 ndio inakufanya ufungue na uzi? Watu tunazurura na mzigo wa 180/100.
 
Back
Top Bottom