Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Pole mkuu,imepndishwa na nini hiyo presure? life style au ni msongo wa mawazo?
Otherwisw matibabu yoyotw huwa yanataka kumaliza dose,ila kama unaona changamoto unamuona tena Dokta anakubadilishia dawa.Sababu BP ni ugonjwa nyeti nashauri usitumie dawa za Viwandani za kuambiwa mitaani isipokuwa kama ni dawa lishe mfano vitunguu nk
 
Pole mkuu,imepndishwa na nini hiyo presure? life style au ni msongo wa mawazo?
Otherwisw matibabu yoyotw huwa yanataka kumaliza dose,ila kama unaona changamoto unamuona tena Dokta anakubadilishia dawa.Sababu BP ni ugonjwa nyeti nashauri usitumie dawa za Viwandani za kuambiwa mitaani isipokuwa kama ni dawa lishe mfano vitunguu nk
Nimepima ECG Niko vizuri,,,,nimepewa Dawa za Aina mbili
 
pole sana muungwana.....
Mwenyezi Mungu akupe ahueni ya mapema....


hata hivyo,
tujitahidi sana kupunguza mawazo kupita kiasi, kusamehe na kusahau kabisa.

tusihifadhi mambo mengi sana moyoni japo sio rahisi pia kama mwanadamu, maana sasa na moyo nao siku hizi umekua na kazi nyingi hadi unasukuma na mengine 🐒
Ahsante mkuu
 
Nmeshawahi pata reading ya 160/98mmHg
Nurse akanambia kaka umekuja unatembea
Nikamwambia Yes na ntarud natembea


Know your readings kwanza
120/80 ni universal rate no doubt but not everyone should be umo
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Pole sana mkuu

Kuna mahali hiyo pressure inakoanzia,inabidi upime ujue inatokea wapi hasa ili upambane na huko inapotokea

Nachojua pressure ni indication of something deeper ndio kinazengua
 
Hauko sawa upstairs, mtu mwenye "ampendaye" na yuko na hali hiyo hawezi kuwa busy kutukana watu mitandaoni, kwa wataalamu wa afya hiyo ni "Emergency hypertensive crisis." pressure ya kiwango iko muda wowote inapasua mishipa ya damu na ni more likely ya ubongo na ikipiga centres nyeti unampoteza mpendwa wako, nimekusamehe bure.
Kwa hiyo sasa hivi sio chai tena imegeuka kuwa kahawa au juice mzee...?

Ukisoma hizo msg umeona kuwa yupo hospital sasa sijui unasemaje eti...?
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Presha yako ni ya kawaida sana hiyo, mshukuru Mungu. Kuna watu wanatembea na presha ya 170/90 miaka kibao na wako sawa tu, wanapambana nayo aste aste
 
Nilichopenda ni kuwa mnapendana na mkeo mpaka Raha .
Ila zaidi jina la mwanao Nuru ni jina la nesi wangu kivuruge ananikosha mno .
Mpe muda mkeo ,zungumza naye Kuna jambo lipo usilolijua presha si mkojo kuwa ukinywa maji basi figo inachuja .
Pamoja baba Nuru
Shukran sana kiongozi, tatizo ni msiri sana kuna vitu huwa mgumu kuvisema hata kama vinamuumiza deep inside.

Mpaka hali iwe mbaya sana ndio utakuta anakueleza hilo jambo mkuu. Binafsi huwa anasema yeye yupo sawa tu ila akienda kupimwa unakuta hayupo sawa kabisa, siku akisema hayupo vizuri basi anakuwa kwenye hali mbaya na huwa anamaanisha kabisa.
 
Nmeshawahi pata reading ya 160/98mmHg
Nurse akanambia kaka umekuja unatembea
Nikamwambia Yes na ntarud natembea


Know your readings kwanza
120/80 ni universal rate no doubt but not everyone should be umo
Mbona 120/80 ndio normal kwa adults wote tu?

Hiyo 160/98 ulivumilia sababu ya mazoezi,Im sure pulse yako ilikua under 50....ukiwa mtu wa gym hata iwe 200/100 unakua fresh tu
 
Poleee sana. Kila siku asbh kabla hujafungua kinywa pata maji ya moto ya karafuu. Na jioni pia kabla hujalala. Karafuu isage weka kijiko kimoja kwenye kikombe chako. Fanya huo uwe utaratibu wako Kila siku.
Inachukua muda gani hii kuweka hali kuwa kawaida mkuu...?
 
Back
Top Bottom