OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Una hadhi ya kuletewa ushahidi?Una ushahidi gani zaidi ya umbea tu , tuletee ushahidi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hadhi ya kuletewa ushahidi?Una ushahidi gani zaidi ya umbea tu , tuletee ushahidi hapa
mnakalia umbea na majungu tu kwa biashara za watu acheni ushamba thats poverty mentality ya kukaa kijiweni kujadili watuUna hadhi ya kuletewa ushahidi?
Duh! Hiyo kali.Inashangaza sana, Allah alilitakataza hili katika Quran takatifu
Bakhressa ni Muislam kimaslahi tu
Ni 500B sio 5B rudia tena ile interviewMikopo hua wanachukua sana tu mara ya mwiso mo dewji kwenye interview moja hivi alisema anadaiwa karibu 5B sababu ya mkopo
Naomba nioneshe ni wapi niliposema huwezi kukwepa riba za mabeberu ndio maana nikakuuliza quran ambayo ndio muongozo wa dini yenu inasemaje kuhusu riba, au hizo bank za kiislam siku hizi ndio miongozo ya dini ya uislam, wewe ungenijibu tu swali langu quran inasemaje kuhusu riba ndio ningekuambia kwanini nimeuliza hivyo lakini ukaamua kukurupukaWewe umesema huwezi kukwepa riba za mabeberu, mimi nimekujibu bank za kiisilamu zipo very successful dunia nzima, hata ukienda nchi za Magharibi zipo, hebu niambie hio comment yangu na ulichonijibu vinahusiana nini. Nasubiria.
Soma vizuri comment yangu na huyo aliyeniquoteHapa imekosolewa dini kwa vp? Mie nimeona wamesemwa Masheikh mara Bakhresa.
Actually ni zaidi hapo, mwaka juzi tu kuna benki ya SA ilimkopesha $200m.Ni 500B sio 5B rudia tena ile interview
Ndio huo nauongelea chief ambapo aliongea amekopeshwa billion 500 na bank SA ambapo kwa exchange rate yetu tuseme ya 2500 per 1 USD ni billion 500Actually ni zaidi hapo, mwaka juzi tu kuna benki ya SA ilimkopesha $200m.
Kweli habari za tajiri muulize masikiniNilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Mm sijakataa kweli umeishi pemba muda mrefu kumbuka umesema Wapemba wachawi wanaloga kwa kutumia qur,an na majini bila shaka umeshuhudia basi tupe picha sababu siku hizi picha lazima,vinginevyo nawe mchawiMkuu nimeishi pemba miaka 5 kikazu nauhakika na nachoongea
hebu tuma picha ya Masikio Masikio inayothibitisha uchawi unaomtuhumuMm sijakataa kweli umeishi pemba muda mrefu kumbuka umesema Wapemba wachawi wanaloga kwa kutumia qur,an na majini bila shaka umeshuhudia basi tupe picha sababu siku hizi picha lazima,vinginevyo nawe mchawi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kweli habari za tajiri muulize masikini
Wabongo hasa wakirito wakiona kitabu chochote kilicho andikwa maandishi ya kiarabu hata kama ni gazeti afahamu wao heti ni qur,aan[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hivi kabla ya Qur'an hao wazee wetu walikuwa wanatumia nini kwenye uganga hadi leo hii waganga wengi wawe wanatumia Qur'an?
Hakuna muisilamu wakwenda pale hao ni washirikina wenzenu tu bali wanajiita waisilamuUliweza vp kujua kuwa waislamu ndio wengi? Na hiyo ina maana Mwamposa anapoteza waumini wa imani yake katika kanisa lake na matokeo yake wasio waumini wa imani yake ndio waliyobakia?
Mbona sisi wengine hatupati hii mikopo.Wanaojua inapatikana vipi watuelekeze.Nimefika sehemu nyingi za mikopo,wanataka dhamana,na wengi,hatuna hizo dhamana.Mikopo hua wanachukua sana tu mara ya mwiso mo dewji kwenye interview moja hivi alisema anadaiwa karibu 5B sababu ya mkopo
Majini kama roho unawezaje yapiga pichaMm sijakataa kweli umeishi pemba muda mrefu kumbuka umesema Wapemba wachawi wanaloga kwa kutumia qur,an na majini bila shaka umeshuhudia basi tupe picha sababu siku hizi picha lazima,vinginevyo nawe mchawi