Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

Watoa huduma hospitalini waelimishwe na ikiwezekana wachukuliwe hatua kali sana Kwa hiki kinachoendelea kufanyika.
 
Mtu pori, aliakuwa anaamini ushirikina dhidi ya Science.
Nenda ukajifunze maana ya ushirikina kwanza halafu SoMo la pili ujifunze juu ya tiba za asili halafu utakuja kurefer na kile alichokuwa anakifanya Magufuli juu ya ugonjwa wa corona.
 
Mimi pia nilisikia wilaya ya Muleba haki na mama wakienda Clinic wanaambiwa wasipochanjwa watoto wao hawahudumiwi. Kwa hiyo aki na mama wanaonyonyesha wote wamechanjwa na bila shaka watoto wao wananyonya kilichowekwa humo.
Acha mawazo potofu, hapo umepata chanjo ya PEPOPUNDA, KIFADURO, KIFAFA, NDUI, MATENDE NA MABUSHA, SURUA, TETENASI nk.
Umedhurika?? Akili kama hizi nawe umepata bwana ukaolewa kabisa?? Mumeo ana hasara sana.
 
Walete chanjo ya malaria nitachanja
 
Kuna dili za watu kupiga hela. Sasa hivi ukichoma mtu mmoja 1000tsh kama ni nje ya kituo kama umechoma mtu ndani ya kituo cha afya ni 500tsh watu wanapambana kusaka pesa.

Its all about money.

#MaendeleoHayanaChama
Now i see how this DEMONIC syndicate works.

The corruption of this DECEPTION is deep-rooted from LUCIFER'S HEADQUARTERS.

Cc. Mathanzua

Deception

FRANCIS DA DON
Rabbon
 
Nenda ukajifunze maana ya ushirikina kwanza halafu SoMo la pili ujifunze juu ya tiba za asili halafu utakuja kurefer na kile alichokuwa anakifanya Magufuli juu ya ugonjwa wa corona.
Mshirikina ni mshirikina tu. Uliona kilichofanyika wakati wa mazishi yake?
 
Kifo chaJiwe mjambiani sa10000 anausika ukweli tumeujua na chakumfanya tunakijua watz
Acha kuwaingiza Watanzania kwenye ujinga wenu, sema sisi sukuma gang tunakijua. Hata kama huyo sa1000 anahusika basi ni vyema sana kikubwa Taifa limeponywa dhidi ya yule muuaji, wizi na muongo.
 
Mimi pia nilisikia wilaya ya Muleba haki na mama wakienda Clinic wanaambiwa wasipochanjwa watoto wao hawahudumiwi. Kwa hiyo aki na mama wanaonyonyesha wote wamechanjwa na bila shaka watoto wao wananyonya kilichowekwa humo.
Hao wanaotumia njia ya kuchanja wateja ili kupata huduma ni watumishi wapumbavu, ni wale wenye kupenda sifa kazini ili apate fursa nyingine.Watumishi hao ni wasiojiamini,wanafiki na wenye vyeti vya kuunga unga.
 
Mimi pia nilisikia wilaya ya Muleba haki na mama wakienda Clinic wanaambiwa wasipochanjwa watoto wao hawahudumiwi. Kwa hiyo aki na mama wanaonyonyesha wote wamechanjwa na bila shaka watoto wao wananyonya kilichowekwa humo.
Dah muleba kwetu kwahiyo dada zangu ukiwala denda umekila chanjo
 
Iwe lazima alafu lisiwe ni tamko la nchi nzima?.Hakuna kitu kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…