kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
- Thread starter
- #61
Itakuwa ni uhuni mwingine kushuhudiwa na watu katika zama zetu.Chanjo ni hiari hadi pale idadi fulani ikishatimia kiasi cha kuweka msukumo kwa wengine, then itakuwa lazima na malipoo juu.
Sasa hivi ni mwendo mdogo2 ili kujenga ushawishi kwa raia. Wait till next year (provided Mrusi asipofanya yake, of course!)