Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Msiochanjwa mtaambukiza wengine mi-ebola yenu hiyo.Mchanje!Kama umechanja kwanini uwe na hofu na wasiochanja?
UKWELI ni kwamba umejaa hofu kwa sababu hayo MACHANJO hayakukingi kwa lolote.
Licha ya kubugia michanjo debe bado una hofu ya kufa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi sio chanjo, ni UCHAFU WA IBILISI.