Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

Mm nilienda kupata huduma ya afya jamaa wakaanza mikwala yao mbuzi aisee liniwachana wakabaki wanatoa mimacho tu ...kwani ni lazima kuchanja fucken kabisa...
Ndo dawa yao kuwanyoosha hao manesi wanaofuata maagizo ya ajabu ajabu kama roboti.

Si ajabu serikali iliwaamrisha wadunge watu chanjo kwa lazima.

Siku nyingine uwatandike makofi kabisa.
 
Chanjo ni hiari hadi pale idadi fulani ikishatimia kiasi cha kuweka msukumo kwa wengine, then itakuwa lazima na malipoo juu.

Sasa hivi ni mwendo mdogo2 ili kujenga ushawishi kwa raia. Wait till next year (provided Mrusi asipofanya yake, of course!)
 
Habari za asubuhi

Nimekwazika sana baada ya Ndugu yangu Kunisimulia jinsi alivyokosa huduma hospitali kisa hajapata chanjo ya uviko. Nimeumia sana, Tanzania tumefikia hapa?

Tambueni sio wote tuko tayari kuchanjwa, wengine sisi tulishukuru na kufurahi tuliposikia kauli za viongozi wakubwa wa serikali waliposema kuwa chanjo ya uviko ni hiyari.
Chanjo inawekwaje kuwa ya lazima wakati kuna watu wengine wana matatizo ya kiafya yanayowafanya wawe na sababu za kutochanjwa?
 
Back
Top Bottom