Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
"Jiao Piexing Muun"!MAREHEMU YUPI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Jiao Piexing Muun"!MAREHEMU YUPI?
Kumbe Kuna Siri kubwa imejificha nyuma ya haya matakataka?Kuna dilinza watu kupiga hela..sasahivi ukichoma mtu mmoja 1000tsh kama ni nje ya kituo kama umechoma mtu ndani ya kituo cha afua ni 500tsh watu wanapambana kusaka pesa.
Its all about money.
#MaendeleoHayanaChama
Ushahidi wa ulichokiandika weka hapa.Bila hivyo unakuwa mzushi tu.HIZO CHANJO ZA IBILISI HAZIFAI HATA KUMDUNGA HAYAWANI WA PORINI.
NI MACHANJO YA HOVYO HOVYO AMBAYO HAYANA TIJA WALA UMUHIMU ZAIDI YA KUHARIBU MWILI.
Ndo dawa yao kuwanyoosha hao manesi wanaofuata maagizo ya ajabu ajabu kama roboti.Mm nilienda kupata huduma ya afya jamaa wakaanza mikwala yao mbuzi aisee liniwachana wakabaki wanatoa mimacho tu ...kwani ni lazima kuchanja fucken kabisa...
NAONA MACHANJO YAMESHAKUHARIBU AKILI."Jiao Piexing Muun"!
USHAHIDI UNAOSTAHILI WEWE NI KUPEWA FURUSHI LA KINYESI TU.Ushahidi wa ulichokiandika weka hapa.Bila hivyo unakuwa mzushi tu.
Mimi sio tabibu,wala sina taaluma ya matibabu. Kwani huyo aliyegundua chanjo anaweza kuchonga vinyago? Lazima tuheshimu taaluma za watu.Hawajakuzuia.Hata weye itafute tu.
Usilalamike sasa!Waachie wenye taaluma,vipaji na uwezo waitafute.Utulie.Mimi sio tabibu,wala sina taaluma ya matibabu. Kwani huyo aliyegundua chanjo anaweza kuchonga vinyago? Lazima tuheshimu taaluma za watu.
Ukianza kuandika upuuzi utafurahi.Kinyesi cha nani?USHAHIDI UNAOSTAHILI WEWE NI KUPEWA FURUSHI LA KINYESI TU.
MACHANJO NI SUMU. NI UCHAFU.
Wasituletee chanjo ya mchongo,mimi mbona siwatengenezei vinyago vya mpapai?Usilalamike sasa!Waachie wenye taaluma,vipaji na uwezo waitafute.Utulie.
MACHANJO NI UCHAFU.Ukianza kuandika upuuzi utafurahi.Kinyesi cha nani?
WEWE KIPAJI CHAKO NI KUBUGIA MICHANJO TU?Waachie wenye taaluma,vipaji na uwezo waitafute.
yani watu wanapotosha, watu tulichanja tena mwanzoni huko na hatujapata hata mafuaAcha kupotosha na kudanganya watu weye!Yalikuchafua sehemu gani ya viungo vyako?
ULICHANJWA KANYABOYA/ JUISI YA LIMAO.yani watu wanapotosha, watu tulichanja tena mwanzoni huko na hatujapata hata mafua
Sasa hata sikuchanja Tanzania,.nimechanja huko inakotokaULICHANJWA KANYABOYA/ JUISI YA LIMAO.
THE COVID VAX IS ENGINEERED IN A WAY THAT WEAK MINDS LIKE YOU WON'T UNDERSTAND.
Chanjo inawekwaje kuwa ya lazima wakati kuna watu wengine wana matatizo ya kiafya yanayowafanya wawe na sababu za kutochanjwa?Habari za asubuhi
Nimekwazika sana baada ya Ndugu yangu Kunisimulia jinsi alivyokosa huduma hospitali kisa hajapata chanjo ya uviko. Nimeumia sana, Tanzania tumefikia hapa?
Tambueni sio wote tuko tayari kuchanjwa, wengine sisi tulishukuru na kufurahi tuliposikia kauli za viongozi wakubwa wa serikali waliposema kuwa chanjo ya uviko ni hiyari.