Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Siyo kutoridhika,kwa waliooa unakuta usiku ulirudi umechoka ukasema upumzike utapiga mashine asubuhi ile umekurupuka unakuta wife nae kawahi kuwandaa watoto shule.

Kwa wale wanaoamka na kuingia bathroom kama ulishawahi kufanya huo mchezo hutoki salama,(of course ni kama ajali tu hutokea kutegemea na mood siyo kila siku utapiga huwa inapita hata miezi mtu hajafanya hicho kitendo) ila vizuri vijana wajue kwamba punyeto ya kukamia ni mbaya sana ile kijana kujiwekea akilini kwamba kila siku lazima ajichue humletea madhara makubwa baadae.
Bado haujajibu Swali unapata faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
 
Wazee mi nilijuaga hii mishe watu wanaacha automatically wakiwa wanaachana na ule umri wa kubarehe kumbe ni addiction kama addiction nyingine tu.

Kumbe kuna Married men wanapiga punyeto, Womanizers wenye mademu lukuki lakini bado nao ni hivyo hivyo.

Aisee achana na kitu kinaitwa addiction. Yani mtu yupo kwenye late 20s, 30s na 40s bado anaridhika akisugua dude lake na mikono yake mwenyewe.

Mimi sio expert wa afya au mpiga nyeto so sijui faida na hasara za kufanya mustarbation.
Wewe umejuaje
 
Acha UONGO hizo mythology wadanganye Watoto
Muelewe jamaa ana point.

Nilipokuwa bado kijana sijaoa nilikuwa nafanya huo mchezo lakini kwa kituo (nikipiga wiki hii mara mbili nakaa 3 weeks ndiyo napiga tena) sometimes hapo katikati napita na dada za watu kama miezi mitatu then naendeleza gurudumu.

Mpo vijana toka jumatatu mpaka jumatatu asubuhi mnajichua mara mbili usiku mara tatu kwa style hii huwezi kukosa alichoandika jamaa hapo juu,usikamie punyeto huo mchezo una madhara mabaya sikutishi lakini ni kwa faida yako.
 
Muelewe jamaa ana point.

Nilipokuwa bado kijana sijaoa nilikuwa nafanya huo mchezo lakini kwa kituo (nikipiga wiki hii mara mbili nakaa 3 weeks ndiyo napiga tena) sometimes hapo katikati napita na dada za watu kama miezi mitatu then naendeleza gurudumu.

Mpo vijana toka jumatatu mpaka jumatatu asubuhi mnajichua mara mbili usiku mara tatu kwa style hii huwezi kukosa alichoandika jamaa hapo juu.
Sasa ndio ujibu kuna faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
 
Nyeto inakuondolea ile "MASCULINE ENERGY"..

Hata ile Masculine Euphoria inapotea,unakuwa kama li poyoyo fulani hivi. Ile inner feeling ya ujasiri na ungangari inapotea kabisa, unakuwa unajifeel hovyohovyo muda wote.

Ku-cum ukiwa una-fvck ni tofauti sana na ku-cum kwa nyeto. Effect ya kwenye mwili ni tofauti sana ktk hizo scenario 2. Huwezi elewa hizi scenario kama huja experience them in the first hand.


Nayaongea haya kama expert mzuri wa nyeto niliyefanikiwa kujicontrol.
Binadamu wapo tofauti sana. Ubongo wako unavyofanya kazi ni tofauti kabisa na ubongo wa mwingine. Ngono ni suala la wewe na ubongo wako ndo maana kuna watu wanafanya mambo ambayo mwingine hawezi yafanya kabisa.
 
Bado haujajibu Swali unapata faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
Siridhiki nae kingono vipi mzee na sababu nimekupa hapo juu?

Soma uelewe,kama yupo anaepiga punyeto baada ya kushuka kwenye kifua cha mkewe hiyo ni case nyengine lakini nilichoki-experience mimi nimekuandikia hapo juu na nahisi kuna wenzangu wanaipitia hii.
 
Sasa ndio ujibu kuna faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
Mkuu, uhalisia ni kwamba mwanaume anapaswa kumwingilia mwanamke sio kutumia sabuni, mafuta au kumwingilia mnyama au chochote kisicho mwanamke. Hizi za mafuta, sabuni ni ziada tu au tuite mbadala esp nyakati za balehe.

Mwanaume kusema haridhiki na mwanamke ni against asili ya mwanaume. Wanawake wapo wengi lazima awepo wa kumridhisha mwanaume.
 
Mwanaume kusema haridhiki na mwanamke ni against asili ya mwanaume. Wanawake wapo wengi lazima awepo wa kumridhisha mwanaume.
Bado haujajibu Swali faida gani unapata ukilala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
 
Bado haujajibu Swali faida gani unapata ukilala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono?
Jibu nimekupa kuwa ni lazima mwanaume aridhike na mwanamke kingono. Mwanaume akiwa na mwanamke uume unasimama unaingizwa kwenye uke anarihika. Wewe kuridhika unakokuongelea ni kufanyaje?
 
Nyeto inakuondolea ile "MASCULINE ENERGY"..

Hata ile Masculine Euphoria inapotea,unakuwa kama li poyoyo fulani hivi. Ile inner feeling ya ujasiri na ungangari inapotea kabisa, unakuwa unajifeel hovyohovyo muda wote.

Ku-cum ukiwa una-fvck ni tofauti sana na ku-cum kwa nyeto. Effect ya kwenye mwili ni tofauti sana ktk hizo scenario 2. Huwezi elewa hizi scenario kama huja experience them in the first hand.


Nayaongea haya kama expert mzuri wa nyeto niliyefanikiwa kujicontrol.
Kabisa solution ni kuacha tu.
Ulitmia njia gani kujicontrol?
 
Jibu nimekupa kuwa ni lazima mwanaume aridhike na mwanamke kingono. Mwanaume akiwa na mwanamke uume unasimama unaingizwa kwenye uke anarihika. Wewe kuridhika unakokuongelea ni kufanyaje?
Bado haujanielewa sababu ya Mwanaume kutafuta Mwanamke Mwingine alale nae ikiwa ya kua ameoa na ana watoto na huyo Mwanamke ni kutokuridhika na huyo Mwanamke na hata akilalala na mwingine bado atataka kulala na mwingine that chain goes to infinite, sasa Swali kuna faida gani kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae?

Jibu ni 1 tu hakuna faida
 
Bado haujanielewa sababu ya Mwanaume kutafuta Mwanamke Mwingine alale nae ikiwa ya kua ameoa na ana watoto na huyo Mwanamke ni kutokuridhika na huyo Mwanamke na hata akilalala na mwingine bado atataka kulala na mwingine that chain goes to infinite, sasa Swali kuna faida gani kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae?

Jibu ni 1 tu hakuna faida
Ok boss, kama hiyo ndo hoja, unadhani wazazi wako kukutana kwao kuna faida?
 
Maswali mengine hujibiwa kwa maswali.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kiufupi hauna Jibu na jibu ni kwamba hakuna faida Mwanaume kulala na Mwanamke ambae haridhiki nae kingono, ni malazimisho ya Jamii tu society force you to do that unaoa/unaolewa si kwa sababu umeridhika na mtu huyo Ila tu unaficha aibu kwa Jamii na wewe uonekane kwamba una sehemu ya kufichia uzinzi wako
 
Anza kuwauliza wazazi wako
Twende taratibu tukitumia concept yako ya kutokuwepo kwa faida uliyoileta, tusihame.

Mzee wako alipokuwa kijana angesema kulala na mwanamke hakuna faida ahamie kwenye mafuta ingekuaje? Maana hii ndo hoja kuwa hakuna faida.
 
Back
Top Bottom