Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Kiufupi hauna Jibu na jibu ni kwamba hakuna faida Mwanaume kulala na Mwanamke ambae haridhiki nae kingono, ni malazimisho ya Jamii tu society force you to do that unaoa/unaolewa si kwa sababu umeridhika na mtu huyo Ila tu unaficha aibu kwa Jamii na wewe uonekane kwamba una sehemu ya kufichia uzinzi wako
Vigumu sana kumuelewesha Mtu asiyejua kitu na kashajiandaa kisaikolojia kubisha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Twende taratibu tukitumia concept yako ya kutokuwepo kwa faida uliyoileta, tusihame.

Mzee wako alipokuwa kijana angesema kulala na mwanamke hakuna faida ahamie kwenye mafuta ingekuaje? Maana hii ndo hoja kuwa hakuna faida.
Bado haujanielewa nimekwambia hakuna faida kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono, elewa nilichokwambia alafu kumbuka hapa nazungumza MIMI SIO Mzee wangu it's me not him
 
Vigumu sana kumuelewesha Mtu asiyejua kitu na kashajiandaa kisaikolojia kubisha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
That means umekubariana na maelezo yangu niliyokupatia au umeishiwa cha kuchangia maana yake nimekupiga KO
 
Kiufupi hauna Jibu na jibu ni kwamba hakuna faida Mwanaume kulala na Mwanamke ambae haridhiki nae kingono, ni malazimisho ya Jamii tu society force you to do that unaoa/unaolewa si kwa sababu umeridhika na mtu huyo Ila tu unaficha aibu kwa Jamii na wewe uonekane kwamba una sehemu ya kufichia uzinzi wako
Kuridhika kingono unamaanisha nini? Maana ni kama una tafsiri yako ambayo haijajulikana bado. Unaposema kuridhika kingono unamaanisha nini?
 
Bado haujanielewa nimekwambia hakuna faida kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono, elewa nilichokwambia alafu kumbuka hapa nazungumza MIMI SIO Mzee wangu it's me not him
Ok boss, sasa Ili uridhike kingono wewe ni nini kinatakiwa kikutokee tofauti na kukutana na mwanamke ukamwingilia ukapiga bao tamu?
 
Kuridhika kingono unamaanisha nini? Maana ni kama una tafsiri yako ambayo haijajulikana bado. Unaposema kuridhika kingono unamaanisha nini?
Wewe ushawahi kufanya Ngono namaanisha ushawahi kuingiza UUME wako kwenye UKE wa Mwanamke au hujawahi? Kwanini unaingiza UUME wako kwenye UKE ili upate nini au ugundue nini?
 
Wewe ushawahi kufanya Ngono namaanisha ushawahi kuingiza UUME wako kwenye UKE wa Mwanamke au hujawahi? Kwanini unaingiza UUME wako kwenye UKE ili upate nini au ugundue nini?
ILi niridhike. Sasa kama tunakubaliana uume kuingia kwa mwanamke ndo kuridhika kingono faida unayosema haipo ni ipi?
 
Ok boss, sasa Ili uridhike kingono wewe ni nini kinatakiwa kikutokee tofauti na kukutana na mwanamke ukamwingilia ukapiga bao tamu?
Nimekwambia Neno KURIDHIKA elewa Neno KURIDHIKA ndio maana nikakuuliza unapata faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae?
 
Bado haujanielewa
Kuridhika unamaanisha nini? Au unamaanisha kukaa na mwanamke mmoja tu usiende kwa mwingine? Kama ndo unachomaanisha ugumu wa kutoelewana unauleta mwenyewe boss.
 
Wazee mi nilijuaga hii mishe watu wanaacha automatically wakiwa wanaachana na ule umri wa kubarehe kumbe ni addiction kama addiction nyingine tu.

Kumbe kuna Married men wanapiga punyeto, Womanizers wenye mademu lukuki lakini bado nao ni hivyo hivyo.

Aisee achana na kitu kinaitwa addiction. Yani mtu yupo kwenye late 20s, 30s na 40s bado anaridhika akisugua dude lake na mikono yake mwenyewe.

Mimi sio expert wa afya au mpiga nyeto so sijui faida na hasara za kufanya mustarbation.
Sio kweli kutokuwa na uhakika wa k ndio kunachangia kupiga punyeto.

Kuwa na wanawake kadhaa ndio punyeto hutoisikia
 
Kuridhika unamaanisha nini? Au unamaanisha kukaa na mwanamke mmoja tu usiende kwa mwingine? Kama ndo unachomaanisha ugumu wa kutoelewana unauleta mwenyewe boss.
Hivi unajua kuna watu wanaishi kinyumba Ila hawaridhiki linapokuja suala la kufanya Ngono au haujui? Yaan anafanya tu basi aonekane amefanya Ila haridhiki hilo unalijua?
 
Kabisa solution ni kuacha tu.
Ulitmia njia gani kujicontrol?
Huwezi kuacha mpaka upate addiction ya kutopiga nyeto...


Ile masculine energy unayoifeel baada ya kutonyetuka angalau wiki 2 ndiyo itakutoa kwenye nyeto.

Cha kufanya, kama ni mpiga nyeto, jikaze usipige angalau wiki nzima. Utaona utofauti wa energy unayokuwa nayo, then from there hautaafikiana na nyeto kamwee..
 
Wazee mi nilijuaga hii mishe watu wanaacha automatically wakiwa wanaachana na ule umri wa kubarehe kumbe ni addiction kama addiction nyingine tu.

Kumbe kuna Married men wanapiga punyeto, Womanizers wenye mademu lukuki lakini bado nao ni hivyo hivyo.

Aisee achana na kitu kinaitwa addiction. Yani mtu yupo kwenye late 20s, 30s na 40s bado anaridhika akisugua dude lake na mikono yake mwenyewe.

Mimi sio expert wa afya au mpiga nyeto so sijui faida na hasara za kufanya mustarbation.
mustarbation ❌, masturbation ✅.... hiyo ni hasara mojawapo.
 
Nyeto inakuondolea ile "MASCULINE ENERGY"..

Hata ile Masculine Euphoria inapotea,unakuwa kama li poyoyo fulani hivi. Ile inner feeling ya ujasiri na ungangari inapotea kabisa, unakuwa unajifeel hovyohovyo muda wote.

Ku-cum ukiwa una-fvck ni tofauti sana na ku-cum kwa nyeto. Effect ya kwenye mwili ni tofauti sana ktk hizo scenario 2. Huwezi elewa hizi scenario kama huja experience them in the first hand.


Nayaongea haya kama expert mzuri wa nyeto niliyefanikiwa kujicontrol.
Kujicontrol = hujaacha ila unafanya kwa tahadhari.
 
Back
Top Bottom