Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Huwezi kuacha mpaka upate addiction ya kutopiga nyeto...


Ile masculine energy unayoifeel baada ya kutonyetuka angalau wiki 2 ndiyo itakutoa kwenye nyeto.

Cha kufanya, kama ni mpiga nyeto, jikaze usipige angalau wiki nzima. Utaona utofauti wa energy unayokuwa nayo, then from there hautaafikiana na nyeto kamwee..
Ndugu andika uzi kuwasaidia vijana kuacha.
 
Hivi unajua kuna watu wanaishi kinyumba Ila hawaridhiki linapokuja suala la kufanya Ngono au haujui? Yaan anafanya tu basi aonekane amefanya Ila haridhiki hilo unalijua?
Hoja yangu ni kujamiiana sio mfumo unaotumika kujamiiana.

Suala la unakula chakula unachokipenda au la ni la mlaji, Nature haina uhusiano na hilo, nature inataka ule.

Kujamiiana navyo ni hivyo hivyo. Asili inataka tujamiiane, suala la mtindo kama utataka ndoa ya mke mmoja, ndoa ya wake wengi, kusiwepo ndoa hilo halina uhusiano tunatakiwa kujamiiana.
 
Nimekwambia Neno KURIDHIKA elewa Neno KURIDHIKA ndio maana nikakuuliza unapata faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae?
We jamaa una ubishi wa kipumbavu sana aisee. Zaidi ya kuingiza tupu yako kwenye tupu ya mwanamke na kukojoa kuna kuridhika gani zaidi? Au unadhani yale unayotazama kwenye porn ndo yanatakiwa yafanyike? Acha upumbavu.
 
If it doesn't kill you...........
Kwa mjini hapa Dar, bila puli, utakufa maskini..
Kila dem anataka pesa, sasa kwa wiki utatoa bei gani?
 
Nyeto inakuondolea ile "MASCULINE ENERGY"..

Hata ile Masculine Euphoria inapotea,unakuwa kama li poyoyo fulani hivi. Ile inner feeling ya ujasiri na ungangari inapotea kabisa, unakuwa unajifeel hovyohovyo muda wote.

Ku-cum ukiwa una-fvck ni tofauti sana na ku-cum kwa nyeto. Effect ya kwenye mwili ni tofauti sana ktk hizo scenario 2. Huwezi elewa hizi scenario kama huja experience them in the first hand.


Nayaongea haya kama expert mzuri wa nyeto niliyefanikiwa kujicontrol.
Nyeto ni mbaya ukifanikiwa kuicontrol ni vizuri.
 
Daaah, yani nimetoka kupiga kimoja mda huuhuu. Nyeto aisee. Sema kiukweli inaokoa sana. Kibongo bongo ni bora umiliki range utalihudumia ila sio mwanamke.
 
Sheria ni mkononi, nyie kuleni mademu .. Ila sheria ni mkononi A. K. A self service
 
Bado haujanielewa nimekwambia hakuna faida kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono, elewa nilichokwambia alafu kumbuka hapa nazungumza MIMI SIO Mzee wangu it's me not him
Sasa kama jibu unalo kua hakuna faida unauliza ili upewe jibu gani?
 
Hii kitu inanitafuna sana, ninanyuchi zaid ya moja but still naipiga hii kwa wiki ata mara 3 ad 4, sometimes nalala na nyuchi kabisa ila akiondoka napiga, dah uraibu mbaya. Nilijaribu kuacha zaid ya mara 50 lakin ikashindikana, nilianza rasmi 2008 ad jana usiku nimepiga. But ahueni sijawai kuface madhara yake
 
Hii kitu inanitafuna sana, ninanyuchi zaid ya moja but still naipiga hii kwa wiki ata mara 3 ad 4, sometimes nalala na nyuchi kabisa ila akiondoka napiga, dah uraibu mbaya. Nilijaribu kuacha zaid ya mara 50 lakin ikashindikana, nilianza rasmi 2008 ad jana usiku nimepiga. But ahueni sijawai kuface madhara yake
Nani aliekwambia ina uwezo wa kukudhuru?

Ushagundua hakuna faida kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae
 
We jamaa una ubishi wa kipumbavu sana aisee. Zaidi ya kuingiza tupu yako kwenye tupu ya mwanamke na kukojoa kuna kuridhika gani zaidi? Au unadhani yale unayotazama kwenye porn ndo yanatakiwa yafanyike? Acha upumbavu.
Hujaelewa bado
 
Hoja yangu ni kujamiiana sio mfumo unaotumika kujamiiana.

Suala la unakula chakula unachokipenda au la ni la mlaji, Nature haina uhusiano na hilo, nature inataka ule.

Kujamiiana navyo ni hivyo hivyo. Asili inataka tujamiiane, suala la mtindo kama utataka ndoa ya mke mmoja, ndoa ya wake wengi, kusiwepo ndoa hilo halina uhusiano tunatakiwa kujamiiana.
Sijakwambia usijamiiane nimekwambia ujamiiane Ila uridhike na unaejamiiana nae, ushanielewa
 
Back
Top Bottom