Sikujua kuwa Punyeto ni janga lililo kichini chini

Vigumu sana kumuelewesha Mtu asiyejua kitu na kashajiandaa kisaikolojia kubisha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Twende taratibu tukitumia concept yako ya kutokuwepo kwa faida uliyoileta, tusihame.

Mzee wako alipokuwa kijana angesema kulala na mwanamke hakuna faida ahamie kwenye mafuta ingekuaje? Maana hii ndo hoja kuwa hakuna faida.
Bado haujanielewa nimekwambia hakuna faida kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono, elewa nilichokwambia alafu kumbuka hapa nazungumza MIMI SIO Mzee wangu it's me not him
 
Vigumu sana kumuelewesha Mtu asiyejua kitu na kashajiandaa kisaikolojia kubisha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
That means umekubariana na maelezo yangu niliyokupatia au umeishiwa cha kuchangia maana yake nimekupiga KO
 
Kuridhika kingono unamaanisha nini? Maana ni kama una tafsiri yako ambayo haijajulikana bado. Unaposema kuridhika kingono unamaanisha nini?
 
Bado haujanielewa nimekwambia hakuna faida kwa Mwanaume kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae kingono, elewa nilichokwambia alafu kumbuka hapa nazungumza MIMI SIO Mzee wangu it's me not him
Ok boss, sasa Ili uridhike kingono wewe ni nini kinatakiwa kikutokee tofauti na kukutana na mwanamke ukamwingilia ukapiga bao tamu?
 
Kuridhika kingono unamaanisha nini? Maana ni kama una tafsiri yako ambayo haijajulikana bado. Unaposema kuridhika kingono unamaanisha nini?
Wewe ushawahi kufanya Ngono namaanisha ushawahi kuingiza UUME wako kwenye UKE wa Mwanamke au hujawahi? Kwanini unaingiza UUME wako kwenye UKE ili upate nini au ugundue nini?
 
Wewe ushawahi kufanya Ngono namaanisha ushawahi kuingiza UUME wako kwenye UKE wa Mwanamke au hujawahi? Kwanini unaingiza UUME wako kwenye UKE ili upate nini au ugundue nini?
ILi niridhike. Sasa kama tunakubaliana uume kuingia kwa mwanamke ndo kuridhika kingono faida unayosema haipo ni ipi?
 
Ok boss, sasa Ili uridhike kingono wewe ni nini kinatakiwa kikutokee tofauti na kukutana na mwanamke ukamwingilia ukapiga bao tamu?
Nimekwambia Neno KURIDHIKA elewa Neno KURIDHIKA ndio maana nikakuuliza unapata faida gani kulala na Mwanamke ambae huridhiki nae?
 
Bado haujanielewa
Kuridhika unamaanisha nini? Au unamaanisha kukaa na mwanamke mmoja tu usiende kwa mwingine? Kama ndo unachomaanisha ugumu wa kutoelewana unauleta mwenyewe boss.
 
Sio kweli kutokuwa na uhakika wa k ndio kunachangia kupiga punyeto.

Kuwa na wanawake kadhaa ndio punyeto hutoisikia
 
Kuridhika unamaanisha nini? Au unamaanisha kukaa na mwanamke mmoja tu usiende kwa mwingine? Kama ndo unachomaanisha ugumu wa kutoelewana unauleta mwenyewe boss.
Hivi unajua kuna watu wanaishi kinyumba Ila hawaridhiki linapokuja suala la kufanya Ngono au haujui? Yaan anafanya tu basi aonekane amefanya Ila haridhiki hilo unalijua?
 
Kabisa solution ni kuacha tu.
Ulitmia njia gani kujicontrol?
Huwezi kuacha mpaka upate addiction ya kutopiga nyeto...


Ile masculine energy unayoifeel baada ya kutonyetuka angalau wiki 2 ndiyo itakutoa kwenye nyeto.

Cha kufanya, kama ni mpiga nyeto, jikaze usipige angalau wiki nzima. Utaona utofauti wa energy unayokuwa nayo, then from there hautaafikiana na nyeto kamwee..
 
mustarbation ❌, masturbation ✅.... hiyo ni hasara mojawapo.
 
Kujicontrol = hujaacha ila unafanya kwa tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…