nakwambia ni miyeyushoo!That's good π Wewe pasua kichwa kweli
Imajin!Yaani hilo tu
7 mpaka 10 au ongeza 15 kabisauchumba at least mwaka mmoja
Mwaka mmoja ni 'reasonable' na mnaweza kufunga ndoa. Miaka inayofuata ni kuendelea kujifunza kupendana na kuishi pamoja - maisha yote ya ndoa ni ya kujifunza.7 mpaka 10 au ongeza 15 kabisa
Unamaanisha jamaa hakuwa anatumia ajili Kwa hiyo ndo unamshauri atumie ajili wakati anaishi na mkewe? Au nini maana ya kuishi Kwa ajili.Zingatia maandiko
"Ishini nao kwa akili"
Huko kuwehuka ni wewe umependa kuwehuka
Unacomplicate mambo. Ulivyoona hataki kuacha hivyo viatu mapema ungechukua sandals in advance weka kwa gari. Alafu hata yeye mshamba tu mbona wanawake wanaojitambua wanapoenda outing wanachukua vitu vya tahadhari kama vitenge, open shoes raba etc.Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.
Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.
Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??
Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.
Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.
UPDATE;
Kuna watu wame suggest niwe specific, nielezee angalau what I'm going through, okay vitimbwi ni vingi na vyote vinasababishwa na her ways of communicating with me pamoja na ubishi.
Mfano kuna siku tulikuwa tunatoka, na sehemu tuliokuwa tunaenda lazima kuna sehemu uache gari uzunguke kwa mguu, so yeye alikuwa amevaa viatu ambavyo ukiviangalia tuu havifai kwa kutembelea vitamuumiza, nikamshauri vua hivo viatu vaa raba, tunakoenda tutatembea sana alaf hivo viatu vitakuumiza, bhana si akakataa, nikamwambia haya mama twende, sasa tumefika huko tukaanza kutembea nikaanza kumsikia anaanza kusonya, mara analalamika tunatembea sana ila shida ilikuwa ni vile viatu na ukimwambia anagoma kabisa anasema shida sio viatu.
Kwann hii ilinipa shida, kwasababu yeye akiwa kweny maumivu automatically na mm nipo kweny maumivu.
Badae nikachoka kuvumilia ikabidi nimnunulie sendo za kawaida kweny duka tuliokutana nalo njiani.
Hawa viumbe ni pasua vichwa.
Sio MIMI Hawa vigeugeu inabidi uwapimie mbio ndefu miaka 10 kuendelea km Davido vile miaka 7 anapima upepo tuMwaka mmoja ni 'reasonable' na mnaweza kufungua ndoa. Miaka inayofuata ni kuendelea kujifunza kupendana na kuishi pamoja - maisha yote ya ndoa ni ya kujifunza
Uchumba siyo kumpima mchumba wa kike tu, hata wa kiume maana kuwa kigeugeu hakutokei tu kwa wanawake. Hata baadhi ya wanaume pia ni vigeugeu.Sio MIMI Hawa vigeugeu inabidi uwapimie mbio ndefu miaka 10 kuendelea km Davido vile miaka 7 anapima upepo tu
Daaah mkuu neno akili limekuchachafya balaaaa....kila kwenye AKILI wewe umeandika AJILIUnamaanisha jamaa hakuwa anatumia ajili Kwa hiyo ndo unamshauri atumie ajili wakati anaishi na mkewe? Au nini maana ya kuishi Kwa ajili.
Hapo Sawa umesema ukweli kabisa sio uongoUchumba siyo kumpima mchumba wa kike tu, hata wa kiume maana kuwa kigeugeu hakutokei tu kwa wanawake. Hata baadhi ya wanaume pia ni vigeugeu.
Ndio hivyo hivyo kwa ajiliUnamaanisha jamaa hakuwa anatumia ajili Kwa hiyo ndo unamshauri atumie ajili wakati anaishi na mkewe? Au nini maana ya kuishi Kwa ajili.
Mapenzi yamekua over rated hivyo au sio?Serious mpaka miaka hii kuna watu wanasumbuliwa na wanawake....
Bado kuna watu wanasumbuliwa na mapenzi kufanya mtu kuwa na mawazo kiasi hiki.....
Yaaan kijana ambaye upo understanding uwezi kuta anazinguliwa na wanawake kiasi hiki..Mapenzi yamekua over rated hivyo au sio?
Sure man that's true, ni Jambo la kawaida tuYaaan kijana ambaye upo understanding uwezi kuta anazinguliwa na wanawake kiasi hiki..
Hizi ni akili au matope
Haya mambo ya kawaida nashangaa vijana wanavo chukulia mapenzi serious hivi...Sure man that's true, ni Jambo la kawaida tu
Kwa hio unataka watype type mapenzi nini? Wasitaje wanawake?Haya mambo ya kawaida nashangaa vijana wanavo chukulia mapenzi serious hivi...
Yaani unakuta kijana shabab wa kiume anatype type ety wanawake wanawake.. yaan wana wapa kiki za kijinga sana
Ahahaha basi kaka yaishe naona kama unakamia suala hiviKwa hio unataka watype type mapenzi nini? Wasitaje wanawake?
Hahaha hamna SIO hivyo MkuuAhahaha basi kaka yaishe naona kama unakamia suala hivi
Daaah hadi nakuta naogopaHahaha hamna SIO hivyo Mkuu