Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa bongo, je mafundi wa magari hapa bongo wanaweza litengeneza ilo gari?
Mafundi wa bongo ni wachache sana wako expert kama unataka nunua hili gari sikushauri utakuja kuuza kwa bei ya hasara.
Mafundi wa bongo ni wachache sana wako expert kama unataka nunua hili gari sikushauri utakuja kuuza kwa bei ya hasara.