Pre GE2025 Sikutarajia kama Rais Samia atakuja kuwa namna hii alivyo sasa!

Pre GE2025 Sikutarajia kama Rais Samia atakuja kuwa namna hii alivyo sasa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Nilidhan atakua mtu wa haki na mfata sheria na mkemea maovu ila kawa tofauti sana, ni kama vile hajari kabisa hali za wananchi.
Zile 4R zake madhan ni kwa ajiri ya CCM na CDM na si vinginevyo.

Tanzania haina taasisi imara, hivyo kauli ya kiongozi wa juu zinahitajika ili baadh ya mambo yaende,

Shida ni kua either asiongelee kabisa jambo linalowasibu wananchi, au aongee kitu ambacho kitawaumiza wananchi

1. Kusema utekaji ni drama, kitu ambacho wapo waliotekwa na wakavunjwa hadi taya, ila yeye ame dramatize.

2. Kusema watufanye miradi ndio walipe wananchi, ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa ila hii imezidi. Miradi sio dharura, huwezi kupata peaa ya kulipa mkandarasi ila usiwalipe wananchi, huu ni uonevu na kiburi kikubwa.

3. Wanajeshi walipiga wananchi kule kawe kwa kosa alilofanya mtu mmoja, lakini hakuna mteule wake wala yeye aliekemea.

4. Kuna muuza madini alieuliwa mtwara, ugumu wa ile keshi ni upi iliwa watu wanajulikana kabisa? Haya kutokea kwenye utawala wake ni jambo la ajabu.

5. Mpaka sasa askari wanafanya danadana suala la waliolawiti mdada wa watu, hawasemi wangapi wamekamatwa na nini kinaendelea.

6. Kukamatwa mtu kisa kachoma picha yake, na sasa haonekani ni jambo la ajabu pia.

7. Ubadhilifu wa fedha uliotajawa na CAG na hakuna muendelezo

8. Tume ilioundwa kuchunguza matumiz ya ikiru baada ya kufariki JPM, hatujasikia majibu yake.

9. Kwanini hatujaambiwa gari ya mbunge iliokua inatumika kusafirisha wahiaji ni ya nani?

All in all ni kama vile Rais hana habari na mambo ya wananchi

Moja ya jambo la kuogopa kwa sasa hapa tz, Nipamoja na kuingia kwenye 18 za wenye mamlaka, wadhfa na connection, because nobody will touch them.

I TRUELY HATE INJUSTICE, DEEPLY HATE IT. AND I BETTER GO TO HELL WITH THOSE CORRUPT GOVERNMENT OFFICIALS THAT BEING WITH THEM IN HEAVEN.
 
Pole kama ukimwamini mwanzoni.

Muda Huwa ni mwalimu. Utekaji sasa ni kawaida tena.

Sasa alipokuwa akitamka jukwaani " dhalimu" kwamba Yale hayatojirudia kumbe ilikuwa hadaa.

Tuwape HUKUMU Yao kwenye Sanduku la kura.
 
“Power tends to corrupts, and absolute power corrupts absolutely.”
 
Yote haya alisababisha mabeyo kulazimisha awe rais.wenzake waliona mbali wakataka asirithi.
 
Yaliyotokea kwa jpm sasa yamerudi mara2 yake, haki hakuna, Kodi nyingi, rushwa imekua kawaida tena Sana. Kiukweli hii nchi tusipokuja kufanya kama Kenya tutaishia kulalamika n nobody cares
 
Nilidhan atakua mtu wa haki na mfata sheria na mkemea maovu ila kawa tofauti sana, ni kama vile hajari kabisa hali za wananchi.
Zile 4R zake madhan ni kwa ajiri ya CCM na CDM na si vinginevyo.

Tanzania haina taasisi imara, hivyo kauli ya kiongozi wa juu zinahitajika ili baadh ya mambo yaende,

Shida ni kua either asiongelee kabisa jambo linalowasibu wananchi, au aongee kitu ambacho kitawaumiza wananchi

1. Kusema utekaji ni drama, kitu ambacho wapo waliotekwa na wakavunjwa hadi taya, ila yeye ame dramatize.

2. Kusema watufanye miradi ndio walipe wananchi, ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa ila hii imezidi. Miradi sio dharura, huwezi kupata peaa ya kulipa mkandarasi ila usiwalipe wananchi, huu ni uonevu na kiburi kikubwa.

3. Wanajeshi walipiga wananchi kule kawe kwa kosa alilofanya mtu mmoja, lakini hakuna mteule wake wala yeye aliekemea.

4. Kuna muuza madini alieuliwa mtwara, ugumu wa ile keshi ni upi iliwa watu wanajulikana kabisa? Haya kutokea kwenye utawala wake ni jambo la ajabu.

5. Mpaka sasa askari wanafanya danadana suala la waliolawiti mdada wa watu, hawasemi wangapi wamekamatwa na nini kinaendelea.

6. Kukamatwa mtu kisa kachoma picha yake, na sasa haonekani ni jambo la ajabu pia.

7. Ubadhilifu wa fedha uliotajawa na CAG na hakuna muendelezo

8. Tume ilioundwa kuchunguza matumiz ya ikiru baada ya kufariki JPM, hatujasikia majibu yake.

9. Kwanini hatujaambiwa gari ya mbunge iliokua inatumika kusafirisha wahiaji ni ya nani?

All in all ni kama vile Rais hana habari na mambo ya wananchi

Moja ya jambo la kuogopa kwa sasa hapa tz, Nipamoja na kuingia kwenye 18 za wenye mamlaka, wadhfa na connection, because nobody will touch them.

I TRUELY HATE INJUSTICE, DEEPLY HATE IT. AND I BETTER GO TO HELL WITH THOSE CORRUPT GOVERNMENT OFFICIALS THAT BEING WITH THEM IN HEAVEN.
Nimeshtushwa sana khaaa
 
Kitambo tu tukishanuka kutoshezea sharubu za wakubwa ni eidha upotezwe au upigwe danadana kwenye kudai haki yako mpaka ukate tamaa au ukichokwa upotezwe pia...

Mama anawakumbatia matajiri na viongozi wake wateule tu, ninyi subirini mpewe vitenge, kanga, kofia na t-shirt za chama na maneno "ametekeleza" pale tumboni..

Baada ya 2025, spana zitakua kali zaidi ya hizo, ego atakayokua nayo kipindi hicho sijui kwakweli...
 
Hakuna watu wanapiga Hela kama MACHAWA awamu hii,,cjui na mim niingie huko🤒
 
Hata kama yeye angekua ni wa hivyo ila hili dubwasha CCM ni Cancer
 
Siku ya hutuba yake ya kwanza, aliporudia mara mbili kua aliesimama ni raisi mwanamke mwenye maumbile ya kike, nikajua tu hapa tumepigwa.
Ase yaani we acha tu.
 
Kitambo tu tukishanuka kutoshezea sharubu za wakubwa ni eidha upotezwe au upigwe danadana kwenye kudai haki yako mpaka ukate tamaa au ukichokwa upotezwe pia...

Mama anawakumbatia matajiri na viongozi wake wateule tu, ninyi subirini mpewe vitenge, kanga, kofia na t-shirt za chama na maneno "ametekeleza" pale tumboni..

Baada ya 2025, spana zitakua kali zaidi ya hizo, ego atakayokua nayo kipindi hicho sijui kwakweli...
Na wanaopewa Tshet na vitenge ndio janga kubqa zaidi
 
Nilidhan atakua mtu wa haki na mfata sheria na mkemea maovu ila kawa tofauti sana, ni kama vile hajari kabisa hali za wananchi.
Zile 4R zake madhan ni kwa ajiri ya CCM na CDM na si vinginevyo.

Tanzania haina taasisi imara, hivyo kauli ya kiongozi wa juu zinahitajika ili baadh ya mambo yaende,

Shida ni kua either asiongelee kabisa jambo linalowasibu wananchi, au aongee kitu ambacho kitawaumiza wananchi

1. Kusema utekaji ni drama, kitu ambacho wapo waliotekwa na wakavunjwa hadi taya, ila yeye ame dramatize.

2. Kusema watufanye miradi ndio walipe wananchi, ni kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa ila hii imezidi. Miradi sio dharura, huwezi kupata peaa ya kulipa mkandarasi ila usiwalipe wananchi, huu ni uonevu na kiburi kikubwa.

3. Wanajeshi walipiga wananchi kule kawe kwa kosa alilofanya mtu mmoja, lakini hakuna mteule wake wala yeye aliekemea.

4. Kuna muuza madini alieuliwa mtwara, ugumu wa ile keshi ni upi iliwa watu wanajulikana kabisa? Haya kutokea kwenye utawala wake ni jambo la ajabu.

5. Mpaka sasa askari wanafanya danadana suala la waliolawiti mdada wa watu, hawasemi wangapi wamekamatwa na nini kinaendelea.

6. Kukamatwa mtu kisa kachoma picha yake, na sasa haonekani ni jambo la ajabu pia.

7. Ubadhilifu wa fedha uliotajawa na CAG na hakuna muendelezo

8. Tume ilioundwa kuchunguza matumiz ya ikiru baada ya kufariki JPM, hatujasikia majibu yake.

9. Kwanini hatujaambiwa gari ya mbunge iliokua inatumika kusafirisha wahiaji ni ya nani?

All in all ni kama vile Rais hana habari na mambo ya wananchi

Moja ya jambo la kuogopa kwa sasa hapa tz, Nipamoja na kuingia kwenye 18 za wenye mamlaka, wadhfa na connection, because nobody will touch them.

I TRUELY HATE INJUSTICE, DEEPLY HATE IT. AND I BETTER GO TO HELL WITH THOSE CORRUPT GOVERNMENT OFFICIALS THAT BEING WITH THEM IN HEAVEN.
Ifike kipindi Raia tuonyeshe hali ya kuchoka, kidogo inaweza kuwashitua Kuona kumbe tunamaanisha


Ila kuliakulia na Kutia huruma haitosaidia itabidi kifanyike kitu akili zitawakaa sawa🤔
 
Back
Top Bottom