Sikutarajia mpaka muda huu kuwa Simbachawene atakuwa bado ni Waziri wa Mambo ya Ndani

Sikutarajia mpaka muda huu kuwa Simbachawene atakuwa bado ni Waziri wa Mambo ya Ndani

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Jana baada ya kusikia kauli za Waziri Simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda.

Nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya.


Waziri Simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana.

Angekuwa na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza.

Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia.

Halafu kizembezembe tu Waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?

Umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena hiyo nafasi

Maoni yangu naonma tu upumzike
 
wana sifa na vigezo vingine vya kuendelea kuwa hapo walipo. Sifa hizo na vigezo hivyo ni SIRI YAO
 
JAMAAA NA DR NCHEMBA NA SPEAKER NDUGAI NI WATEJA WA WAGANGA WA KIENYEJI WANAIGERIA..AKIWEMO NA JANUARY MAKAMBA..FUATAILIA UTAJUA NINIACHOKUAMBIA
 
Ametupa pakuanzia kujua Kwanini jeshi LA polisi linakosa weledi!
 
Simba Chawene ameamua kuwa mkweli. Sioni shida hapo. Wakati Magufuli anatumbua watumishi waliokosa vyeti vya form four, na kuwaita ni watumishi feki, vi**laza na majizi, alishindwa kutumbua upande wa polisi na majeshi kwa kujua huko kuna shida kubwa zaidi.
 
Ukisoma theory ya 'Myth of Metals' imeelezea vzr tuu social classes. Askari wapo kwenye iron class ambao kazi yao ni kulinda rulers(golden group). Hawahitaji taaluma nguvu zao ni mtaji. Binafsi nimemuelewa Waziri maana huo ndio uhalisia.
 
Jana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,

nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,


waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,

angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,

Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,

halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?


umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi


maoni yangu naonba tu upumzike
mlezi ndiye amjuaye amleaye vema. Sasa waziri wa mambo ya ndani ndo mlezi wenu na mkuu wenu maaskari police na wanajeshi, anawajua vema ndani nje ikiwemo ukilaza wenu.

Kwahiyo alichosema ni sahihi na nikweli. Simbachawene ni msema kweli, apandishwe cheo kwa kusimamia ukweli.

Ila kwakuwa ninyi mapolice ni vilaza, wasiendelee kulundika vilaza juu ya vilaza, wajaribu kuajiri na wasomi.
 
JAMAAA NA DR NCHEMBA NA SPEAKER NDUGAI NI WATEJA WA WAGANGA WA KIENYEJI WANAIGERIA..AKIWEMO NA JANUARY MAKAMBA..FUATAILIA UTAJUA NINIACHOKUAMBIA
huu mwandiko umekaa kipolicepolice (kiukilaza kilaza). Unashindwaje kuandika vitu vya kueleweka, ukaeleweka?
 
Jana baada ya kusikia kauli za waziri simbachawene moyo wangu ulipigwa ganzi kwa muda,

nilitarajia kuja kufikia majira kama haya tutakua na waziri wa mambo ya ndani mpya,


waziri simbachawene hana busara na hajiongezi, kauli aliyoitoa ni ya kuwadharirsha askari wetu na inawavunja mioyo sana,

angekua na busara hata kama ni kweli polisi wanachukua watu waliofeli hakupaswa kuongea hadharani, mtu mwenye akili hupima kwanza maneno kabla hajayazungumza,

Polisi hawa wanafanya kazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama, Polisi wanalala nje na wameyaweka maisha yao rehani kwaajili ya Raia,

halafu kizembezembe tu waziri unatoa kauli kama ile? uliipima ile kauli kwamba Polisi wetu wataipokeaje?


umezingua sana waziri, Rais alisema ukizingua utazinguliwa, Sitarajii kama utaendelea tena iyo nafasi


maoni yangu naonba tu upumzike
Mimi binafsi nilimuelewa Sana kwa sababu alichokiongea Ni kweli Kama jeshi linahitaji nguvu kazi watu wanaoenda kulinda maofisi ,mabenki wanakua na viwango vyao vya ufaulu vya watu wa Aina hiyo ,Kama watahitaji commanding officers ndo watachukua watu wenye ufaulu mzuri
 
Simba Chawene ameamua kuwa mkweli. Sioni shida hapo. Wakati Magufuli anatumbua watumishi waliokosa vyeti vya form four, na kuwaita ni watumishi feki, vi**laza na majizi, alishindwa kutumbua upande wa polisi na majeshi kwa kujua huko kuna shida kubwa zaidi.
Degree holder wapo ingawa ni wachache
Kqzinya polisi Haiitaji maofisa wengi bali watendaji sio wasimamizi
 
Ametusaidia kujua kwanini mapolisi hawaielewi PGO
PGO nyingine hii hapa .

SURATI%20ZUBAA%20%20Ndio%20surati%20zubaa%2C%20pengine%20tumesomewa%2C%20Sivyo%20tusingebung'a...jpg
 
Back
Top Bottom