Sikutegemea Elisha Osati na H Kigwangalla kuonesha usaliti wa mapema hivi

Sikutegemea Elisha Osati na H Kigwangalla kuonesha usaliti wa mapema hivi

Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Angalia namna ulete hapa hicho kilichozungumzwa "in situ" ili tujionee
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
jingalao katika ubora wake wa ujinga.
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Jingalao kama Jingalao. Hao ni majinga yenu. Sio usaliti bali wanaoneaha hisia zao kuwa Hayati walikuwa hawamkubali ispokuwa kitumbua chao tu. Shtuka!
 
Magufuli kama Nkrumah, Lumumba, Chavez, Gadaffi, Saddam, Abacha, Arafat (Rip), huwezi ukashinda kutwa nzima unawapinga hao kwa kuwakejeli eti mabeberu eti ukauona uzee wako, never.

Hao sio watu wa spoti spoti, watakumaliza hata kwa nguo unazovaa ambazo wao ndio watengenezaji hata kwa hizo Limausine unayopanda, jamaa wako vizuri kimbinu.

Huyu angemalizwa mapema mno basi tu waliacha uchaguzi upite kwanza wakifikiri angeshindwa sasa na alipohujumu huo uchaguzi ndio akawa kabisa kamwaga petroli kwenye moto. Eti mtu anakomalia "Physical Security" wenzako wanakucheka tu.
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
tuwekee link ya mjadala tusikie tuchangie, wengine hatukupata muda wa kusikia live. Wao walikuwa wanamuogopa jiwe lk ukeli walikuwa nao rohoni
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Wewe unayewaona hao ni wasaliti tupe ukweli na uhakika wa hoja za Magufuli kuhusu chanjo ya Covid19.
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Hiyo aya ya kwanza imeondoa uhalali wa andiko lako.
Hivi bado mnadhani Rais wenu ni Hayati Magufuli?
Zama zake zimeisha, sasa Rais ni Mh. Samia Suluhu Hassan.
 
Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.

Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.

Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .

Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.

kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Ukisikia Yuda Eskarioti ndio huyu Mwanasiasa wa Nzega Hamis Andrea Kigwangala na huyu mtu anaitwa Elisha Osati. Wakiwa wamenunuliwa na Mtu anaishi Marekani na Mwingine anaishi Ubeligiji, ambao wamenunuliwa na Makampuni ya Dawa ya Hizo nchi. Kiujumla hawa wotee kigwa, Osati, Minja, mnywa CPZ lisu ni wapiga deal tuu!
 
Usaliti upoo, Kigwa ni Kada wa CCM na Osati pia ni Kada, Kigwa ni mbunge wa Nzega kupitia CCM na Osati aligombea TMK kwa tiketi ya CCM kura za maoni, kula hazikutosha, wanaenda against Ilani ya CCM yenye kurasa 300 ambapo ukurasa wa 139 unazungumzia Tiba Asili, kuuimarisha na Kufanya Tafiti, wao wameamua kuisaliti Ilani ya Chama Tawala ya 2020.-2025,na kuisaliti Chama cha Mapinduzi, hawa ni MayuDa!
Mkuu haujaonyesha usaliti wao uko wapi na kwa nani.
 
Back
Top Bottom