Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Umeumia Sana wenzio kuwahi siti kwenye kubadili gia angani na wewe fanya hivyo hujachelewa , chawa wote watabadili gia angani hakuna atayebaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Nchemba, waziri mpya wa fedha nenda kachape kazi kweli kweli watanzania walio wengi wanakutegemea na wanajua makusanyo yatapanda kutoka Trillion 1.3 ya sasa hadi Trillion 2 kwa mwezi, hii itatuhakikishia sisi watanzania miradi yetu mikubwa ya kimkakati kuendelezwa na kumalizwa kabisa.Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.
Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.
Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .
Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.
Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.
kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
mimi sio muumini wa ndimi mbiliUmeumia Sana wenzio kuwahi siti kwenye kubadili gia angani na wewe fanya hivyo hujachelewa , chawa wote watabadili gia angani hakuna atayebaki View attachment 1742994
What evidence do we have that vaccine works on controlling the pandemic?Hii ndio mentality ya vijana wengi wa CCM. Mtu kuongea facts kwamba sasa tufuate evidence based techniques ni usaliti?
Kigwangalla anaweza kuwa kachelewa kusema ukweli lakini cha msingi zaidi ameweza juwa bold enough na kusema. Hapa utaona kabida mnafiki ni nani haswa
Kuna watu wanatafuta laana na mpasuko kwenye jamii.Hii video imenifikirisha sanaView attachment 1742612
Vunja nyungu ile pale Muhimbili na kama mnaipenda sana mkapigie nyumbani kwenuWhat evidence do we have that vaccine works on controlling the pandemic?
Usaliti uko wapi hapo na wanamsaliti nani!!??Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.
Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.
Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .
Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.
Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.
kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Mtachanjwa tu hakuna namna.Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.
Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.
Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .
Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.
Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.
kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Mkuu na mm naungana na wewe. Nilijua Magufuli angesalitiwa kabla ya wiki kabhrini ila siyo kwa kiwango hiki na kutoka kwa watu aliowapa uwaziri pamoja na mgombea wa ccm Dr. Elia.Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.
Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.
Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .
Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.
Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.
kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Kigwangala ameongea kama mtaalamu wa afya...na nikweli,yeye ni daktari kitaaluma,kwa hiyo ana mamlaka ya kutoa ushauri wa kuaminika katika masuala ya korona.Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dr John Pombe Magufuli.
Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania.
Kwa ufupi hawajui mipango ya chanjo Tanzania na sitofautishi mjadala wao na mijadal inayofanywa na wanahabari .
Nimesikitika kuwaona wakiiongelea Chanjo katika muktadha wa bure au hisani huku wakisahau watanzania tumeanza kuondokana na msamiati wa KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.
Nawachukulia kama wasaliti waliotuma kupima upepo.
kiki waliyojaribu kuitafuta itawatafuna milele
Ukishangaa ya H , UTAYAONA YA AMSTERDAMOsati mchumia tumbo tu!Huyo HK ndio mbinafsi mkubwa anasema yeye maskini huku hajaishi kimaskini
What evidence do we have that vaccine works on controlling the pandemic?
Hata wenzako walikuwa wanasema hivohivo.Sahau kabisa kuhusu hilo.