Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
[emoji23][emoji23][emoji23] nigga pls. utter bullshit. walisoma ili iweje? hivyo veti wavikalie ndani au?Ni professional abuse kutafuta chanjo ya mafua.
tumeishi na mafua miaka na miaka hii ndio mara ya kwanza kusaka chanjo ya mafua
ni professional abuse? basi waache kutafuta dawa ya HIV,cancer, ukoma, neural disorders.. just because tumeish na hayo magonjwa miaka?
una hoja ya kijinga sana.