Sikutegemea Elisha Osati na H Kigwangalla kuonesha usaliti wa mapema hivi

Ni professional abuse kutafuta chanjo ya mafua.
tumeishi na mafua miaka na miaka hii ndio mara ya kwanza kusaka chanjo ya mafua
[emoji23][emoji23][emoji23] nigga pls. utter bullshit. walisoma ili iweje? hivyo veti wavikalie ndani au?

ni professional abuse? basi waache kutafuta dawa ya HIV,cancer, ukoma, neural disorders.. just because tumeish na hayo magonjwa miaka?

una hoja ya kijinga sana.
 
Utatengeneza Chanjo ngapi za mafua?
 
hilo swali haliniusu mm. waulize kamayi itakayoundwa au wataalam maana wao ndio wanajua magnitude ya tatizo
Sasa kama halikuhusu ulikuja kufanyaje kwenye mjadala wa Chanjo?
 
@jingalao uko vyema kichwani ukiwa nnje ya CCM.
 
Elisha Osati na Kigwangala ni matatizo ya Madaktari Wafuatao upepo, wanafiki majinuni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…