Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hayo maghala yangejaaje mizigo au mazao, kwa hayo yaliyosemwa?, unamaana mazao yanajilima yenyewe?Tatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Wapi Tanzania kuna wakulima wameanzisha Hospitali za maana au University?Sasa hela mnapekeka wapi mbona kumepoaa,hakuna hata uwekezaji wa maana mnaowekeza huko iwe vyuo vikuu au hosoitali za maana
Sasa hizi fursa alizoona mleta mada zingekuwepo?Sasa hela mnapekeka wapi mbona kumepoaa,hakuna hata uwekezaji wa maana mnaowekeza huko iwe vyuo vikuu au hosoitali za maana
Usichojua ni kuwa mkoloni hakupotezea mikoa ya kusini. Alijenga hadi reli na alianzisha shule nyingi tu za maana. Aliyepotezea kusini ni Nyerere na ccm yakeUkiona sehemu hata mkoloni aliipotezea na wewe ipotezee
Unayoyasema na uislamu wapi na wapi? Hii nchi ina vijana Wana umasikini wa fikra sijawahi kuona aiseeTatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Re huko alikuwa na wivu sana na mtwaraUsichojua ni kuwa mkoloni hakupotezea mikoa ya kusini. Alijenga hadi reli na alianzisha shule nyingi tu za maana. Aliyepotezea kusini ni Nyerere na ccm yake
Wengi hawajawahi kufika Mtwara na wanachanganya Lindi na Mtwara.Sijui kwanini watu wanaichukia mikoa ya kusini
Nimesoma history ni kweli alijenga reli kwenda nachingwea kwenye mradi wa karanga ila aliing'oa kwa niniUsichojua ni kuwa mkoloni hakupotezea mikoa ya kusini. Alijenga hadi reli na alianzisha shule nyingi tu za maana. Aliyepotezea kusini ni Nyerere na ccm yake
Chukia mtwara Sana!gesi ingebakizwa mtwara aisee ingekuwa ni cape town nyingineWengi hawajawahi kufika Mtwara na wanachanganya Lindi na Mtwara.
Mji wa Lindi kwa kweli haujachagangamka ila Mtwara nadhani ni Manispaa inayokuwa kwa kasi ulinganisha na baadhi ya Manispaa tena hapo baada ya shughuli za gesi kukimbiziwa Dar.
Kama vile viwanda vilinvyotumia gesi vingejengwa Mtwara nadhani ingekuwa JIji maana kipindi cha gesi viwanja vilifikia sh mil 300 gesi ilivyopelekwa pwani na Dar mji ukadorora ila kwa sasa umeanza kurudi kidogokidogo
INavyoonekana kuna wageni wanakuja kkutumia hizo fursa wanaondoka na hela yote,Sasa hizi fursa alizoona mleta mada zingekuwepo?
Ccm oyeerWengi hawajawahi kufika Mtwara na wanachanganya Lindi na Mtwara.
Mji wa Lindi kwa kweli haujachagangamka ila Mtwara nadhani ni Manispaa inayokuwa kwa kasi ulinganisha na baadhi ya Manispaa tena hapo baada ya shughuli za gesi kukimbiziwa Dar.
Kama vile viwanda vilinvyotumia gesi vingejengwa Mtwara nadhani ingekuwa JIji maana kipindi cha gesi viwanja vilifikia sh mil 300 gesi ilivyopelekwa pwani na Dar mji ukadorora ila kwa sasa umeanza kurudi kidogokidogo
Tufanye hakuna,hela wanazopata huko zinaenda wapi?siulizi kwa ubaya mimi nahisi wenyeji wanesinzia kuna wageni wameigeuza mtwara kama chimbo lao la kupiga hela na kuwekeza makwaoWapi Tanzania kuna wakulima wameanzisha Hospitali za maana au Universit
zitaisha lini utazimaliza wewe na familia yako?Nimesoma history ni kweli alijenga reli kwenda nachingwea kwenye mradi wa karanga ila aliing'oa kwa nini
Watu gani hao?Tufanye hakuna,hela wanazopata huko zinaenda wapi?siulizi kwa ubaya mimi nahisi wenyeji wanesinzia kuna wageni wameigeuza mtwara kama chimbo lao la kupiga hela na kuwekeza makwao
🙏marhabaWengi hawajawahi kufika Mtwara na wanachanganya Lindi na Mtwara.
Mji wa Lindi kwa kweli haujachagangamka ila Mtwara nadhani ni Manispaa inayokuwa kwa kasi ulinganisha na baadhi ya Manispaa tena hapo baada ya shughuli za gesi kukimbiziwa Dar.
Kama vile viwanda vilinvyotumia gesi vingejengwa Mtwara nadhani ingekuwa JIji maana kipindi cha gesi viwanja vilifikia sh mil 300 gesi ilivyopelekwa pwani na Dar mji ukadorora ila kwa sasa umeanza kurudi kidogokidogo
Huku nilikua nabisha nikasema ngoja nikashuhudie nilichosimuliwa kweli au uongo nilichosimuliwa ndicho nilichokionaVipi kuhusu Rombo ambao wao ni kupiga ulabu tu mpaka wanshindwa kutembea!
Korosho, mbaazi na ufuta ni mazao ya kivivuHuwa nawashangaa sana watu wa bara sisi huku mtwara tunalima mazao maarufu nchini kuanzia korosho,mbaazi na ufuta sasa huwa nashangaa mno tunapoitwa sisi ni wavivu...au kipimo cha uvivu ni kutokuwa wachukuzi wa magunia kama wasukuma?