Sikutegemea kama Mtwara ina fursa kiasi hiki

Sikutegemea kama Mtwara ina fursa kiasi hiki

Korosho, mbaazi na ufuta ni mazao ya kivivu
Sehemu yenye wavaa kobazi wengi hawana maendeleo angalia Singida, Shinyanga mjini, Pwani, Lindi, Tanga na Mtwara.
Mikorosho imepandwa miaka 15 iliyopita kama maembe halafu anajiita mchapakazi😀😀😀😀
Nilienda Masasi kijiji cha Kinamatunu. Kutoka kijiji mpaka masasi kwa mguu unatumia dk 45 mpk 50 kufika lkn hakina mabomba ya maji wala umeme. Nenda Karatu (Mang'ola, umeme na maji ya bomba ni uhakika). Wairaq wanaendesha Land cruiser na Defender (TDI) ambapo huko kwenu ukiona ni magari ya serikali tena taasisi, jeshi au polisi. Ni miti ya mikorosho tu imepandwa ili apate muda mwingi wa kupumzika.
Duuh we jamaa
 
Korosho, mbaazi na ufuta ni mazao ya kivivu
Sehemu yenye wavaa kobazi wengi hawana maendeleo angalia Singida, Shinyanga mjini, Pwani, Lindi, Tanga na Mtwara.
Mikorosho imepandwa miaka 15 iliyopita kama maembe halafu anajiita mchapakazi😀😀😀😀
Nilienda Masasi kijiji cha Kinamatunu. Kutoka kijiji mpaka masasi kwa mguu unatumia dk 45 mpk 50 kufika lkn hakina mabomba ya maji wala umeme. Nenda Karatu (Mang'ola, umeme na maji ya bomba ni uhakika). Wairaq wanaendesha Land cruiser na Defender (TDI) ambapo huko kwenu ukiona ni magari ya serikali tena taasisi, jeshi au polisi. Ni miti ya mikorosho tu imepandwa ili apate muda mwingi wa kupumzika.
Kwa taarifa yako hicho kijiji kinaitwa namatunu na hao ni wamakua ambao 70% ni wakristo wenzio....mbona unaitaja karatu kwanini hautaji na rombo? Na bahati mzuri kuanzia wilaya ya newala mpaka tandahimba na huko masasi sidhani kama kuna kijiji hakina umeme...Haya nikuulize kitu hao wairaq wanaoendesha hizo land cruiser shughuli zao za kiuchumi ni zipi zinazowaingizia hizo pesa za kununua hayo magari? NB Inaonekana wavaa kobazi wanakukuumiza kichwa sana😆😆😆nakuomba uwavumilie washatupita tayari hao ndio walioshika uchumi wa nchi
 
Tatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Hilo tatizo lipo ukanda wote wa pwani kuanzia Mtwara hadi Lamu lifestyle yao ni ya aina moja uzembe ,umwinyi na kuendekeza uchawi.. heri kwa sasa kuna mwingiliano wa wafugaji (wasukuma) kumeanza kuchangamka hasa mikoa ya Lindi na Mtwara.
 
Hilo tatizo lipo ukanda wote wa pwani kuanzia Mtwara hadi Lamu lifestyle yao ni ya aina moja uzembe ,umwinyi na kuendekeza uchawi.. heri kwa sasa kuna mwingiliano wa wafugaji (wasukuma) kumeanza kuchangamka hasa mikoa ya Lindi na Mtwara.
Hivi kati ya mikoa ya pwani na kanda ya ziwa wapi kunaongoza uchawi?
 
Tatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Uongo huu
 
Korosho, mbaazi na ufuta ni mazao ya kivivu
Sehemu yenye wavaa kobazi wengi hawana maendeleo angalia Singida, Shinyanga mjini, Pwani, Lindi, Tanga na Mtwara.
Mikorosho imepandwa miaka 15 iliyopita kama maembe halafu anajiita mchapakazi😀😀😀😀
Nilienda Masasi kijiji cha Kinamatunu. Kutoka kijiji mpaka masasi kwa mguu unatumia dk 45 mpk 50 kufika lkn hakina mabomba ya maji wala umeme. Nenda Karatu (Mang'ola, umeme na maji ya bomba ni uhakika). Wairaq wanaendesha Land cruiser na Defender (TDI) ambapo huko kwenu ukiona ni magari ya serikali tena taasisi, jeshi au polisi. Ni miti ya mikorosho tu imepandwa ili apate muda mwingi wa kupumzika.
mwisho utakuja sema kununua trekta ni uvivu pia
 
Korosho, mbaazi na ufuta ni mazao ya kivivu
Sehemu yenye wavaa kobazi wengi hawana maendeleo angalia Singida, Shinyanga mjini, Pwani, Lindi, Tanga na Mtwara.
Mikorosho imepandwa miaka 15 iliyopita kama maembe halafu anajiita mchapakazi😀😀😀😀
Nilienda Masasi kijiji cha Kinamatunu. Kutoka kijiji mpaka masasi kwa mguu unatumia dk 45 mpk 50 kufika lkn hakina mabomba ya maji wala umeme. Nenda Karatu (Mang'ola, umeme na maji ya bomba ni uhakika). Wairaq wanaendesha Land cruiser na Defender (TDI) ambapo huko kwenu ukiona ni magari ya serikali tena taasisi, jeshi au polisi. Ni miti ya mikorosho tu imepandwa ili apate muda mwingi wa kupumzika.
*Kijiji kinaitwa Namatunu siyo kinamatunu, na kuhusu wairaq kumiliki hizo Land cruiser ni Geographia ya huko milima mingi Sana, kwahiyo unataka watu wapakiwe kwenye Land Cruse wakati hamna milima kama Arusha-Mbulu, hakili ndogo za matope kama ndugu zako wa Gallapo
 
Kwa taarifa yako hicho kijiji kinaitwa namatunu na hao ni wamakua ambao 70% ni wakristo wenzio....mbona unaitaja karatu kwanini hautaji na rombo? Na bahati mzuri kuanzia wilaya ya newala mpaka tandahimba na huko masasi sidhani kama kuna kijiji hakina umeme...Haya nikuulize kitu hao wairaq wanaoendesha hizo land cruiser shughuli zao za kiuchumi ni zipi zinazowaingizia hizo pesa za kununua hayo magari? NB Inaonekana wavaa kobazi wanakukuumiza kichwa sana😆😆😆nakuomba uwavumilie washatupita tayari hao ndio walioshika uchumi wa nchi
Huyo Hana hoja, Bora hata asingetaja alikotoka angebisha kwa hoja, hiyo Manyara yote na wilaya zake nazijua na nimekaa aisee ntakuja na Uzi na picha zake Kuna ule Absolutely poverty yaan unauona kabisa
 
Hapo unaposema serikali ndio iwekeze kwenye viwanda ndio unapokosea .
Nilianza kwa kusema kama sekta binafsi waneshindwa basi serikali iingilie kati afu huko mbele wataangalia namna ya kubinafsisha akitokea muwekezaji au wawekeze wote kwa pamoja .
 
Tatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Hao ni wamakonde wa pembezoni mwa bahari wanaitwa wamalaba,nenda newala,tandahimba,masasi,nanyumbuuone watu wanavyopambana.
 
Kwa taarifa yako hicho kijiji kinaitwa namatunu na hao ni wamakua ambao 70% ni wakristo wenzio....mbona unaitaja karatu kwanini hautaji na rombo? Na bahati mzuri kuanzia wilaya ya newala mpaka tandahimba na huko masasi sidhani kama kuna kijiji hakina umeme...Haya nikuulize kitu hao wairaq wanaoendesha hizo land cruiser shughuli zao za kiuchumi ni zipi zinazowaingizia hizo pesa za kununua hayo magari? NB Inaonekana wavaa kobazi wanakukuumiza kichwa sana😆😆😆nakuomba uwavumilie washatupita tayari hao ndio walioshika uchumi wa nchi
Naijua sana masasi na wenyejj wake,ila kimsingi ni moja ya watu wavivu na wapenda ngono,wakivuna na kuuza korosho nikanchofuata ni mpeni raha,manyago na kulombana na kulewa.
 
Naijua sana masasi na wenyejj wake,ila kimsingi ni moja ya watu wavivu na wapenda ngono,wakivuna na kuuza korosho nikanchofuata ni mpeni raha,manyago na kulombana na kulewa.
Mkuu niambie mahala wasikopenda ngono
 
Back
Top Bottom