Siyo kila mtu ni mramba miguu wa jiwe kama weweYani kila kukicha ni kurudia Yale yale hadi tumechoka na mipasho ya huyo magufuri.watu mnabana matako kwa nguvu kubwa kisa marehemu.huo mzimwi hautawaacha salama hakika..
Tatizo ni lugha yao maana kwao r inakuwa l.Yule ndugu yenu haitwi Magufuri bali Magufuli.
Hivi ni kweli jamaa alizimwaga hizo koroshow?Magufuli hakuwa mzuri kwenye urais, alipaswa kuwa chini ya mtu mwingine wa kumfunga breki
Fikiria jamaa alienda kumwaga baharini karibu zile korosho zote za Mtwara na Lindi mwaka 2019 kisa kudhani kila kitu ni ubabe, eti wanajeshi wakusanye korosho na kuzibangua kwa mabomu....
Hayati Magufuli alijua kuwanyoosha watu wote waliozoea mambo ya dezo dezo na kutegemea wajomba wa Ulaya.View attachment 2283628
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.
Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.
Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?
Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.
Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.
Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.
Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Mama anajitahidi ingawa kila mtu anamapungufu yake kama binadamuHata Mimi Nina amani Sana strictly speaking from the heart...kwanza nimekuwa na maendeleo makubwa Sana tofauti na mwendazake...mwenyezi mungu amjaalie atawale mpaka 2030 ameen
Hata useme nini ,ndio ameshakuwa rais wako na watoto wako watamsoma mashuleni.Magu hakuwahi kuwa na qualities za Uraisi, Wala hakustahili kuwa Rais hata wa chama Cha Muziki
Sukuma gang hawawezi kukuelewa kabisaNdo Raisi peke anae ongeza nchi bila pressure makundi au camps au purukushani yoyote, nina wakika atakua raisi bora baada ya Nyerere
Utakuwa unaishi sudan ya kusini au korea kaskaziniMpaka Sasa Hivi Tunaambiwa Sababu Ya Vita Kila Kitu Kitapanda Bei
Mzilankende Aliweza Sana Kuiongoza Tanzania
Hahahaah chama Cha Wacheza Bao Tanza-niaDuuuuu chamudata?
Watanzania sijui tutajikomboa lini kutoka kwenye janga la ujinga!.View attachment 2283628
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.
Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.
Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?
Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.
Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.
Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.
Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Naunga mkono hoja. Deep state walijichanganya sanaMagu hakuwahi kuwa na qualities za Uraisi, Wala hakustahili kuwa Rais hata wa chama Cha Muziki
Ndiyo mnayaona leo?Ugonjwa wa akili wa huyu bwana ulianza muda mrefu tu.
Utakuwa umetumwa sio bure!!Magu hakuwahi kuwa na qualities za Uraisi, Wala hakustahili kuwa Rais hata wa chama Cha Muziki
Hahahahhaa ukisoma maandiko Yangu yote sijawahi kumkubali tangu akiwa Waziri wa Uvuvi, Uchukuzi etcUtakuwa umetumwa sio bure!!
Kumbe unazungumzia mahaba. Yule mtu kaziHahahahhaa ukisoma maandiko Yangu yote sijawahi kumkubali tangu akiwa Waziri wa Uvuvi, Uchukuzi etc