Sikutegemea Rais Samia angeiongoza Tanzania Masikini vizuri kuliko Magufuli

Sikutegemea Rais Samia angeiongoza Tanzania Masikini vizuri kuliko Magufuli

Yani kila kukicha ni kurudia Yale yale hadi tumechoka na mipasho ya huyo magufuri.watu mnabana matako kwa nguvu kubwa kisa marehemu.huo mzimwi hautawaacha salama hakika..
Siyo kila mtu ni mramba miguu wa jiwe kama wewe
 
Magufuli hakuwa mzuri kwenye urais, alipaswa kuwa chini ya mtu mwingine wa kumfunga breki

Fikiria jamaa alienda kumwaga baharini karibu zile korosho zote za Mtwara na Lindi mwaka 2019 kisa kudhani kila kitu ni ubabe, eti wanajeshi wakusanye korosho na kuzibangua kwa mabomu....
Hivi ni kweli jamaa alizimwaga hizo koroshow?
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Hayati Magufuli alijua kuwanyoosha watu wote waliozoea mambo ya dezo dezo na kutegemea wajomba wa Ulaya.
 
Hata Mimi Nina amani Sana strictly speaking from the heart...kwanza nimekuwa na maendeleo makubwa Sana tofauti na mwendazake...mwenyezi mungu amjaalie atawale mpaka 2030 ameen
Mama anajitahidi ingawa kila mtu anamapungufu yake kama binadamu
 
Bei ya vitu imepanda maradufu na pesa haipo pili haina thamani
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Watanzania sijui tutajikomboa lini kutoka kwenye janga la ujinga!.

Hivi kwaakili yako ilivyofupi kama siyo Rais JPM kumteua Samia kuwa mgombea mwenza, leo hii Samia angekuwa Rais?

Kabla ya kumsifu Samia hebu appreciate kwanza uthubutu wa JPM kumteua Samia kuwa mgombea mwenza!

In real sense Samia amekuwa Rais kwa kuwa kupitia mlango wa nyuma, I mean bila kuhustle.

Halafu anatutambia sisi eti ni rais wa kweli nchi yenyewe imeshamshinda kila kukicha bei za bidhaa zinapata, tozo ndo usiseme, maji, umeme wa mgao kila siku.

Miradi yote inasuasua tu.
 
Ugonjwa wa akili wa huyu bwana ulianza muda mrefu tu.
 
Back
Top Bottom