Sikuwa na mpango wa kukaa mbali na mama yangu, ila tabia ya dada yangu imening'oa nyumbani

Sikuwa na mpango wa kukaa mbali na mama yangu, ila tabia ya dada yangu imening'oa nyumbani

Mambo ya extended familia wanaweza waarabu na wahindi though humo ndani Kunawakaga moto pia.Watanzania Bado sana kuishi pamoja..Kila Mtu Aishi kwake
Na ndoa Yako km unataka idumu usimkaribishe huyo dada mjini
 
Tatizo ni baba yenu, dada anapata kiburi kutoka kwa baba, yawezekana dada, wanae na madanga yake wanamrubuni mzee kurithi mali za familia.
 
Iko hivi baada ya kutoka mjini nikiwa na mke wangu nilienda nyumbani kwa wazazi wangu baba na mama,
sasa pale kuna dada yangu ambeye namfuata yeye ameachika hivo yupo tu nyumbani anadanga

Ikumbukwe tulikuwa tunapika chakula cha pamoja tunakula kifamilia, tabia za dada yangu ni mchoyo wa chakula, anapika jikoni kila mtu anaona ila anaengda kula ndani kwake na mtoto wake mimi nikileta kitu cha kula nyumbani kinakuwa ni cha wote mpaka yeye huyu dada yangu amefuga ng'ombe wawili eti anataka mke wangu akachunge, nikazie kitu hapa, yaani mfano mkachinja kuku ikiwa ni zamu yake kupika, mtaletewa miguu kichwa shingo na mbawa.

Baba na mama hawasemi kitu kuhusu yeye japo wamemkanya mara kadhaa, nikawaambia wazazi wangu wachague moja, yeye ajipikie au mimi niwahame na narudi zangu mjini, mama alikubali dada ajipikie ila baba akamtetea kwa kumuomba aache hiyo tabia,

Hivo nikaona niwaache kuliko kukaa sehemu ambayo kila siku ni kesi ya chakula, mke wangu hakuwa na tatizo lolote kuhusu chakula ila yeye hatumii mlenda, hapo ndo dada yangu alipo mfanyia makusudi kwa kupika mlenda kila siku, japo nilijitahidi ndani dagaa zisikosekane na samaki kila wakati

Lakini sasa anatamani kuja mjini kunitembelea,
Muongeze awe mke wako wa pili
 
Ukishaoa usiende kukaa kwenu. Kaa mbali nao uwe unaenda kuwatembelea.
Bora hata dada yako aliamua kukufukuza nyumbani kiaina maana mkeo angeona rangi zote.
 
Iko hivi baada ya kutoka mjini nikiwa na mke wangu nilienda nyumbani kwa wazazi wangu baba na mama,
sasa pale kuna dada yangu ambeye namfuata yeye ameachika hivo yupo tu nyumbani anadanga

Ikumbukwe tulikuwa tunapika chakula cha pamoja tunakula kifamilia, tabia za dada yangu ni mchoyo wa chakula, anapika jikoni kila mtu anaona ila anaengda kula ndani kwake na mtoto wake mimi nikileta kitu cha kula nyumbani kinakuwa ni cha wote mpaka yeye huyu dada yangu amefuga ng'ombe wawili eti anataka mke wangu akachunge, nikazie kitu hapa, yaani mfano mkachinja kuku ikiwa ni zamu yake kupika, mtaletewa miguu kichwa shingo na mbawa.

Baba na mama hawasemi kitu kuhusu yeye japo wamemkanya mara kadhaa, nikawaambia wazazi wangu wachague moja, yeye ajipikie au mimi niwahame na narudi zangu mjini, mama alikubali dada ajipikie ila baba akamtetea kwa kumuomba aache hiyo tabia,

Hivo nikaona niwaache kuliko kukaa sehemu ambayo kila siku ni kesi ya chakula, mke wangu hakuwa na tatizo lolote kuhusu chakula ila yeye hatumii mlenda, hapo ndo dada yangu alipo mfanyia makusudi kwa kupika mlenda kila siku, japo nilijitahidi ndani dagaa zisikosekane na samaki kila wakati

Lakini sasa anatamani kuja mjini kunitembelea,
Umaskini mbaya sana.
 
Iko hivi baada ya kutoka mjini nikiwa na mke wangu nilienda nyumbani kwa wazazi wangu baba na mama,
sasa pale kuna dada yangu ambeye namfuata yeye ameachika hivo yupo tu nyumbani anadanga

Ikumbukwe tulikuwa tunapika chakula cha pamoja tunakula kifamilia, tabia za dada yangu ni mchoyo wa chakula, anapika jikoni kila mtu anaona ila anaengda kula ndani kwake na mtoto wake mimi nikileta kitu cha kula nyumbani kinakuwa ni cha wote mpaka yeye huyu dada yangu amefuga ng'ombe wawili eti anataka mke wangu akachunge, nikazie kitu hapa, yaani mfano mkachinja kuku ikiwa ni zamu yake kupika, mtaletewa miguu kichwa shingo na mbawa.

Baba na mama hawasemi kitu kuhusu yeye japo wamemkanya mara kadhaa, nikawaambia wazazi wangu wachague moja, yeye ajipikie au mimi niwahame na narudi zangu mjini, mama alikubali dada ajipikie ila baba akamtetea kwa kumuomba aache hiyo tabia,

Hivo nikaona niwaache kuliko kukaa sehemu ambayo kila siku ni kesi ya chakula, mke wangu hakuwa na tatizo lolote kuhusu chakula ila yeye hatumii mlenda, hapo ndo dada yangu alipo mfanyia makusudi kwa kupika mlenda kila siku, japo nilijitahidi ndani dagaa zisikosekane na samaki kila wakati

Lakini sasa anatamani kuja mjini kunitembelea,
Mkuu umetuletea stori ya ulafi huku sterling ni dada yakk na wewe ni mhusika.

Punguza shobo
Punguza gubu

Ugovi wa jikoni usiulete JF🤣
 
Once my mama say to me.....usije ukamnyima mtu chakula,baada ya mda mchache kina geuka mavi,ila ukarimu na utu,hudumu hadi kizazi chako,kauli hii ipo bado kichwani
 
Back
Top Bottom