Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Watu wanaropoka tu hawaelewi jamaa anapitia maumivu kiasi Gani..mm nimeelewaMadam ndo kukaa kama mume na mke daa, we image , wanaamka asubui wote, anapikiwa jamaa, anafuliwa nguo, anasafishiwa ghetto, anapikiwa mchana na jioni, usiku anapiga game afu anakojoa ndani, asubui afaua shuka.
Kwa miaka kadhaa daaa.
Mimi mwenye siwezi hata kama alifanya kipindi sipo nae.
Mimi mwenye sijawahi kulala na binti all night.
Hata binti kuja ghetto kwangu. Daaa.
Naelewa maumivu ya jamaa asichukulie poa.
Ok mimi naamini wengi wenu mliopo humu kwenye huu uzi ni watu wazima.Ila wewe umeshikilia Bango hii inshu unataka huyo binti aachwe halafu wewe sijui unatafaidika vp
Mimi naona hapa, usimuache ni kitu past.Watu wanaropoka tu hawaelewi jamaa anapitia maumivu kiasi Gani..mm nimeelewa
Mpaka leo mkuu unaumia mkuu?????Mke wangu usiku wa manane baada ya shoo tukawa tubapiga story za ma ex.
Akanambia enzi anasoma ametoka shule dom akiwa form 3. Anakuna home dar. Kufika stend ubungo ghafla akamuona ticha wake wa geograph. Ticha akampanga pale wakaenda kulala lodge mbagala.. hata home hakufika wanajua bado yuko shule... aiseeeee niliumiaaaa.. wiki tatu sili vizurii roho inaniuma kuhusu yule ticha..
Mkuu nimekuelewa vyema.Barieda siku ukikua utagundua hii Dunia siyo yetu na tunapita tu- sijaona kosa la kumuacha huyo mwanamke. Kuna wenzako wameambulia wanawake majangili haswaaa na hawana chembe ya majuto.
Huyo wako Bora nafsi inamsuta anajutia.
Kaeni mlee mtoto wenu.
Narudia kukuasa ,mkataa pema......
Sina historia nzuri kwa 100%, lakini kumbuka katika suala la kuoa sisi tunazingatia historia ya mwamwanam
Sure mwanaume anatizama history ya mke anaemuoa thus why Mungu mwingi wa hekima aliweka bikra Kwa mwanamke na SIO mwanaume,,Sina historia nzuri kwa 100%, lakini kumbuka katika suala la kuoa sisi tunazingatia historia ya mwanamke.
Mkuu ngoja nikupe experience yangu iliyonikita mimi.Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.
Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.
Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
story Yako ni kama yangu..binafsi nilishindwa pokea hili pamoja na kuambiwa na viongoz WA dini wa Kila aina but nilishindwa kabisa kulipokea ktk moyo wangu..nikaamua potelea mbali ngoja tubreak out..Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.
AiseeeeMkuu ngoja nikupe experience yangu iliyonikita mimi.
Nilikutana nae kwenye kazi zetu za afya hizi.
Nilikaa nae kama mwaka na nusu kwenda miaka 2, siku moja katika kuongea maisha ya mda uliopita ambayo kila mmoja anajuta kufanya.
Yeye aliniambia kipindi anamaliza mtihani na kuondola shule hakwenda home alikutana na wanafuzi wa shule ya jirani ya boys ambao walizoeana,
Walikutana guest house na alifanya mapenzi na wanaume wawili mda mmoja alilalanao mpaka asubui.
Daaa mimi nilishituka kidogo tukio lile japo nilikaa kimya , yeye alinimbia anajuta mpaka leo kufanya vile.
Daaa niliumia sana tena sana. Nikawa napanga namna ya kumuacha kabisa. Ila nikajipa moyo mbona ni mtu mzuri tuu nikajifanya kupotezea .
Niliandelea nae mpaka mwaka jana mwezi wa 8 tulifunga ndoa.
Ila kisema ukweli ni ishu ambayo inanitesa sana mpaka leo. Sometime nikitana kusexy nae hisia zinakata kabisa. Sijamwambia lolote mpaka leo. Ila still naumia sana. Najaribu kusahau ila nashidwa.
Nilijaribu kuomba ushauri kwenye magroup ya ndoa , wengi waliniambia kuwa tangu awali ilitakiwa ufanye maamuzi kama utakuwa tayari au la.
Mimi nakushauri tuu kaa tulia kwa muda angalia moyo wako upoje hata kama umezaa nae ukishidwa move on na mwingine kaka.
Kaka kilichokukuta wewe ndicho kinachonitesa mimi,Mkuu ngoja nikupe experience yangu iliyonikita mimi.
Nilikutana nae kwenye kazi zetu za afya hizi.
Nilikaa nae kama mwaka na nusu kwenda miaka 2, siku moja katika kuongea maisha ya mda uliopita ambayo kila mmoja anajuta kufanya.
Yeye aliniambia kipindi anamaliza mtihani na kuondola shule hakwenda home alikutana na wanafuzi wa shule ya jirani ya boys ambao walizoeana,
Walikutana guest house na alifanya mapenzi na wanaume wawili mda mmoja alilalanao mpaka asubui.
Daaa mimi nilishituka kidogo tukio lile japo nilikaa kimya , yeye alinimbia anajuta mpaka leo kufanya vile.
Daaa niliumia sana tena sana. Nikawa napanga namna ya kumuacha kabisa. Ila nikajipa moyo mbona ni mtu mzuri tuu nikajifanya kupotezea .
Niliandelea nae mpaka mwaka jana mwezi wa 8 tulifunga ndoa.
Ila kisema ukweli ni ishu ambayo inanitesa sana mpaka leo. Sometime nikitana kusexy nae hisia zinakata kabisa. Sijamwambia lolote mpaka leo. Ila still naumia sana. Najaribu kusahau ila nashidwa.
Nilijaribu kuomba ushauri kwenye magroup ya ndoa , wengi waliniambia kuwa tangu awali ilitakiwa ufanye maamuzi kama utakuwa tayari au la.
Mimi nakushauri tuu kaa tulia kwa muda angalia moyo wako upoje hata kama umezaa nae ukishidwa move on na mwingine kaka.
Pole sana kaka.ssu
Sure mwanaume anatizama history ya mke anaemuoa thus why Mungu mwingi wa hekima aliweka bikra Kwa mwanamke na SIO mwanaume,,
Na mwanamke anaangalia future ya mwanaume ndipo anachagua kuish nae..thus why mwanaume ukitetereka kiuchumi mwanmke anakukimbia sabb ndio target yake... wakati mwanaume akijua history ya mke ni mbaya lazima ale Kona..case study mm mwenyewe
Niliona mke mwimba kwaya kabisa la T.A.G Hapa dar nikalipa mahar na kufunga ndoa na harusi ya kufa mtu... kuingia kwenye ndoa nakuta SIO bikra nikavumilia tu ijapokua upendo ulishuka.. mbele nikajua history yake ya nyuma daaah hapo tushazaaa watoto wawili ,, upendo ukaisha kabisa na ikageuka chuki kali na kutaka kulipa kisasi...nikaona nikiendelea nae maishan Zaid ya one day mtakuja kunisoma magazetini nimeua...!!!
Nikampa safar akasalim kwao..alivoenda tuu nikawatumia ujumbe ndugu zake woteeeee..mm na mwanao basiiii na sabb nikaziorozesha bila kuficha...karud kabwaga watoto nimewachukua nawalea kwetu...
Wengi walilaumu but kama ningeendelea kuish nae nazani ningefanya mbaya zaidi...sabb moyo wangu uligoma kupokea hyo situation..now am okay na maishan bila yy.
Pole sana.story Yako ni kama yangu..binafsi nilishindwa pokea hili pamoja na kuambiwa na viongoz WA dini wa Kila aina but nilishindwa kabisa kulipokea ktk moyo wangu..nikaamua potelea mbali ngoja tubreak out..
Pole sana kaka mpaka kufikia hatua hio ya kuachana daa, nayasikia maumivu yako kaka.story Yako ni kama yangu..binafsi nilishindwa pokea hili pamoja na kuambiwa na viongoz WA dini wa Kila aina but nilishindwa kabisa kulipokea ktk moyo wangu..nikaamua potelea mbali ngoja tubreak out..
yupo uko mahakaman sijui madawat ya usuluish anapambana..ninaitwa uko mara Kwa mara but moyon nishamfuta...Pole sana.
Mkeo huyo anahali gani kabisa??
Na alikuwa ni mtu gani kama utakuwa free kutujuza??
Au nayeye aliishi na mtu before wewe.
Acha tu mkuuu..hayat mamb yasikie tuPole sana kaka mpaka kufikia hatua hio ya kuachana daa, nayasikia maumivu yako kaka.
Haya mambo yanauma sana ,
Unakuta wewe ujawahi kufanya hivyo vitu.
Kama mimi hapa tangu nimezaliwa sijawahi kulala na binti wa mtu mpaka morning, hata kutongoza na kumvutia ghetto na kupiga, sijawahi wala.
Nikitongoza na mahusiano ya kawaida tuu na tunabreak, basi.
Inauma sana. Hii.
Daaa inauma acha nikijiangalia mimi mpaka namaliaza chuo sijawahi sexy na binti yoyote yule wa mtu. Nilikuja kusexy first time na malaya tuu tena wakununua tuu basi nikaacha.Kaka kilichokukuta wewe ndicho kinachonitesa mimi,
Mbo* haisimami wakati mwingine nikiingiwa na hilo suala.
Kaka viongozi wa dini walikuwa wansemaje ulivyowaambia daaa.story Yako ni kama yangu..binafsi nilishindwa pokea hili pamoja na kuambiwa na viongoz WA dini wa Kila aina but nilishindwa kabisa kulipokea ktk moyo wangu..nikaamua potelea mbali ngoja tubreak out..
Daaaaa, naona watu wanachukuria mepesi haya mamboyupo uko mahakaman sijui madawat ya usuluish anapambana..ninaitwa uko mara Kwa mara but moyon nishamfuta...
Wa kwangu ktk story ndipo alifunguka mwenyewe list ya jamaaa waliopita,,mimba alizitoa..kupigwa mtungo na mafundi watatu..na mwisho Kuna mme wa mtu alipita nyuma..yote haya niliyajua kipind yupo mjamzito anakaribia kujifungua asa anahofu wakisema ajifungue kwa operation na manesi wakiniambia sabb itakuaje..
Hvo akaamua kufunguka mwenyewe daaah..
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme)