Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Ushauri wa bure: Amekuambia kwa sababu anahofia siku moja lisije kuibuka na mko familia ukaumia!! Wanaumie msiwe makatili hivi jamani....


Nakushauri muoe awe MKEO na sahau yaliyopita. Usije ukamwacha ukaenda kuona aliyetoa ujauzito kadhaa. Kikubwa fungeni ndoa acheni kumuudhi Maulana
 
Ahsante kwa ushauri.
 
nilidhani atakwambia ana mtoto kumbe ni ishu ya kuisho kinyumba chuo?

Mambo ya kawaida sana hayo na hata mabinti wa kishua tuliwaona wanaishi kinyumba na washkaji wa kawaida tu.

Hasira zako zipo wapi labda maana hawa mabinti kukuta hawajachakatwa ni kama kutafuta shilingi iliyodondoka sokoni.
 
Mwanaume hasahau wala kusamehe bali anapotezea tu ila kwa mwanamke yeye anasamehe alafu kana siku atayafufua upyaaa
 
Ila huyo dada naye fala sana,atasemaje a negative past.Ila nawe umezidi,unamhukumu mtu wa past relationship?,hv ukija kumfumania utafanyaje ikiwa tu saa hiz msosi haupandi?...........Man Up!
 
Mkuu mpaka sasa sina majibu.
Mkuu hapo inaonyesha dhahiri huyo dada anakupenda sana, tena heshimu sana uamuzi wa yeye kukueleza hayo. Kafanya jambo la msingi sana mimi naona, kakueleza hali halisi ili apate kuwa huru kabisa.

kwanini nasema hivi? Just imagine, angekausha tu halafu itokee siku moja huna hili wala lile halafu ukutane na hizo habari kwa mtu wa nje anaemjua binti kwamba kipindi anasoma alikuwa anaishi hostel bubu (kaolewa kichuochuo) ungejisikiaje?

kakueleza sababu she give up everything she did before, kaamua kuanza safari mpya na wewe, kaamua kuwa huru. Hata ikitokea kuna siku zikakupata habari kama hizo hautokuwa suprised sababu tayari unajua..

Mkuu, nakusihi tu mpende huyo dada. Anapenda kuwa huru ndio maana kakueleza. Ingekuja kuwa case kubwa sana kama ungeyajua haya kutoka kwa mtu wa pembeni, muda huo ushachelewa. Just cool down and go on with that innocent lady
 
Ila huyo dada naye fala sana,atasemaje a negative past.Ila nawe umezidi,unamhukumu mtu wa past relationship?,hv ukija kumfumania utafanyaje ikiwa tu saa hiz msosi haupandi?...........Man Up!
Binti yupo honest ashukuru, mabinti karibu wote age 16 hadi 23 huwa wanachakatwa sana kwa mazingira tofauti.

Ni kawaida kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…